Na wewe utakufa unafikiri utaishi mileleMagufuli hakufa tarehe 17.
Magufuli alikufa wiki moja kabla ya tarehe 17.
COVID-19 ikishaingia kwenye mapafu inakaba pale pale, unashindwa kupumua na hivyo kukata Moto muda huo huo.
Musiba kafia wapi?Ndiyo kipindi chao hiki cha kulia na kusaga meno
Kwa sababu watanzania ni kizazi cha wezi na wavivu.Tunaona tu watu wakisifia mwaka mmoja wa rais Samia utafikiri Magufuli alikufa ili Samia awe rais.
Juhudi zozote za aina yoyote kumpotezea Magufuli haziwezi kufanikiwa.
Magufuli ametufunza na kutuongoza kwa mengi yenye uzalendo mkubwa. Ajabu hata wale vigogo waliyoimba kumsifia kama ndege kasuku wamekaa kimya wakati tunamaliza mwaka mmoja tangu tuomboleze kwa uchungu kifo cha shujaa wetu.
Wakati tunakaribia mwaka tangu umetutoka sisi tunaomboleza huku tukiona baadhi ya vijana wako wakisumbuliwa kutokana na kazi yao nzuri kupambana na fisadi na mabwana wa madawa ya kulevya magendo na dhulma dhidi ya wananchi wanyonge.
Hiyo tarehe 17 March siku uliyotutoka sisi tutakuomboleza hatumsikii yeyote hata wakimsifu kwa vinubi ikiwa hapendi jina lako litajwe.
Mungu akulaze mahali pema daima John Pombe Magufuli.
Kwanini tusikumbuke ya Mkapa kwanza, ina maana Magufuli ana historia kubwa ya kutukuka nchi hii zaidi ya Mkapa? Sukuma Gang acheni ujinga!Tunaona tu watu wakisifia mwaka mmoja wa rais Samia utafikiri Magufuli alikufa ili Samia awe rais.
Juhudi zozote za aina yoyote kumpotezea Magufuli haziwezi kufanikiwa.
Magufuli ametufunza na kutuongoza kwa mengi yenye uzalendo mkubwa. Ajabu hata wale vigogo waliyoimba kumsifia kama ndege kasuku wamekaa kimya wakati tunamaliza mwaka mmoja tangu tuomboleze kwa uchungu kifo cha shujaa wetu.
Wakati tunakaribia mwaka tangu umetutoka sisi tunaomboleza huku tukiona baadhi ya vijana wako wakisumbuliwa kutokana na kazi yao nzuri kupambana na fisadi na mabwana wa madawa ya kulevya magendo na dhulma dhidi ya wananchi wanyonge.
Hiyo tarehe 17 March siku uliyotutoka sisi tutakuomboleza hatumsikii yeyote hata wakimsifu kwa vinubi ikiwa hapendi jina lako litajwe.
Mungu akulaze mahali pema daima John Pombe Magufuli.
Umewasahau Pole pole, Kingwangallah, Musiba, Kitilla Mkumbo, Mwigulu , Mpango, Jenista Mhagama!Kifo cha Magufuli ni fursa kwa samia ,Nape, Riziwani, makamba Jr . Ni kilio kwa Bashiru, sabaya, kalemani, wananchi wa chato, manyanga construction company limited , Job Ndingai, Kabudi, Lukuvi
Nani anakudanganya alikufa kwa covid?Magufuli hakufa tarehe 17.
Magufuli alikufa wiki moja kabla ya tarehe 17.
COVID-19 ikishaingia kwenye mapafu inakaba pale pale, unashindwa kupumua na hivyo kukata Moto muda huo huo.
Sasa kama sio corona alikufa kwa Polonium? Nani walihusika??Nani anakudanganya alikufa kwa covid?
Waliorudisha chama nyumbaniSasa kama sio corona alikufa kwa Polonium? Nani walihusika??
Akili kisoda,,,, huyo mungu unayemshukuru ndiye aliyemuumba huyo unayemuita dubwashaAkikumbukwa na Sabaya au Makonda inatosha. Hata Kanali Isaac Maliyamungu na Bob Astles walimkumbuka sana baba Jaffer Remo Amin, Feisal Wangita Amin, Tabani Amin, Machomingi Amin, na wale wengine almost 30 na ushee.
Tunakushukuru MUNGU kwa kutuondolea mbali lile dubwasha.
Hata wewe UTAKUFA.Na wewe utakufa unafikiri utaishi milele
Umewasahau Pole pole, Kingwangallah, Musiba, Kitilla Mkumbo, Mwigulu , Mpango, Jenista Mhagama!
Ila wee ni mpumbavu Sana.Hakuna mwenye kupoteza muda muhimu wa kukumbuka aliyekufa
Hakuna cha Covid-19 hapo. Habari za kifo chake zitakuwa heawani kuanzia 2024 kuelekea 2025. Dr Bashiru Ally Kakurwa anao mkanda mzimaNani anakudanganya alikufa kwa covid?
Ni aheri huyu mtu alikufa, ubaguzi na unyama wa Serikali yake havitasahaulika.Tunaona tu watu wakisifia mwaka mmoja wa rais Samia utafikiri Magufuli alikufa ili Samia awe rais.
Juhudi zozote za aina yoyote kumpotezea Magufuli haziwezi kufanikiwa.
Magufuli ametufunza na kutuongoza kwa mengi yenye uzalendo mkubwa. Ajabu hata wale vigogo waliyoimba kumsifia kama ndege kasuku wamekaa kimya wakati tunamaliza mwaka mmoja tangu tuomboleze kwa uchungu kifo cha shujaa wetu.
Wakati tunakaribia mwaka tangu umetutoka sisi tunaomboleza huku tukiona baadhi ya vijana wako wakisumbuliwa kutokana na kazi yao nzuri kupambana na fisadi na mabwana wa madawa ya kulevya magendo na dhulma dhidi ya wananchi wanyonge.
Hiyo tarehe 17 March siku uliyotutoka sisi tutakuomboleza hatumsikii yeyote hata wakimsifu kwa vinubi ikiwa hapendi jina lako litajwe.
Mungu akulaze mahali pema daima John Pombe Magufuli.
What a frivolous joke!Utake usitake, upende usinde JPM will remain best ever president we have had in our country and Africa in general.
Sukuma gaaaaang.Tunaona tu watu wakisifia mwaka mmoja wa rais Samia utafikiri Magufuli alikufa ili Samia awe rais.
Juhudi zozote za aina yoyote kumpotezea Magufuli haziwezi kufanikiwa.
Magufuli ametufunza na kutuongoza kwa mengi yenye uzalendo mkubwa. Ajabu hata wale vigogo waliyoimba kumsifia kama ndege kasuku wamekaa kimya wakati tunamaliza mwaka mmoja tangu tuomboleze kwa uchungu kifo cha shujaa wetu.
Wakati tunakaribia mwaka tangu umetutoka sisi tunaomboleza huku tukiona baadhi ya vijana wako wakisumbuliwa kutokana na kazi yao nzuri kupambana na fisadi na mabwana wa madawa ya kulevya magendo na dhulma dhidi ya wananchi wanyonge.
Hiyo tarehe 17 March siku uliyotutoka sisi tutakuomboleza hatumsikii yeyote hata wakimsifu kwa vinubi ikiwa hapendi jina lako litajwe.
Mungu akulaze mahali pema daima John Pombe Magufuli.