Kama hakuna chochote kiserikali kumkumbuka Magufuli na sisi hatuna habari na mwaka mmoja wa Rais Samia

Kama hakuna chochote kiserikali kumkumbuka Magufuli na sisi hatuna habari na mwaka mmoja wa Rais Samia

Kwa sababu watanzania ni kizazi cha wezi na wavivu.

Wasiopenda kuishi kwa jasho lao.

Wanaoishi kwa unafiki na husda, tegemea matusi mengi kwenye mtandao huu ambao wengi wao ni kizazi cha short cuts au michongo.

Ila wenye kukuelewa tumekuelewa vizuri sana.

JPM ataendelea kuwa shujaa na Mzalendo wa kweli kuwahi kutokea katika nchi hii.

Usishangae kuona nchi kadhaa za nje zikimuenzi kuliko hapa kwetu.

Huku kwetu wanasuguana mabega kugombea ulaji usiku na mchana.

Ila waelewe tunaelekea 2025....na wale watu waliokuwa wakilia mabarabarani bado wako hai na hamasa yao iko palepale.

Kwa sasa wacha Putin atufundishe adabu wapenda bakuli.
Nawewe kunywa sumu ukamfuate huko aliko
 
Tunaona tu watu wakisifia mwaka mmoja wa rais Samia utafikiri Magufuli alikufa ili Samia awe rais.

Juhudi zozote za aina yoyote kumpotezea Magufuli haziwezi kufanikiwa.

Magufuli ametufunza na kutuongoza kwa mengi yenye uzalendo mkubwa. Ajabu hata wale vigogo waliyoimba kumsifia kama ndege kasuku wamekaa kimya wakati tunamaliza mwaka mmoja tangu tuomboleze kwa uchungu kifo cha shujaa wetu.

Wakati tunakaribia mwaka tangu umetutoka sisi tunaomboleza huku tukiona baadhi ya vijana wako wakisumbuliwa kutokana na kazi yao nzuri kupambana na fisadi na mabwana wa madawa ya kulevya magendo na dhulma dhidi ya wananchi wanyonge.

Hiyo tarehe 17 March siku uliyotutoka sisi tutakuomboleza hatumsikii yeyote hata wakimsifu kwa vinubi ikiwa hapendi jina lako litajwe.

Mungu akulaze mahali pema daima John Pombe Magufuli.
Wewe, Bashite na wenzako mkiomboleza inatosha sana.
Mkapa mwenyewe alofanya mageuzi makubwa nchini hajaanza kufanyiwa hivyo kitaifa. Mtademka sana na jina la yule kibaka wenu!
 
Hata wewe UTAKUFA.

Unafikiri wewe na ukoo wenu MTAISHI milele.
Mimi nalijua hilo ndio maana siwaombei wala kuzungumzia mabaya kwa waliotangulia kama wewe na chuki zako.kama vile wewe ni mwema sana na utaishi milele dunia tunapita punguza chuki kwa marehemu.
 
Magufuli hakufa tarehe 17.

Magufuli alikufa wiki moja kabla ya tarehe 17.

COVID-19 ikishaingia kwenye mapafu inakaba pale pale, unashindwa kupumua na hivyo kukata Moto muda huo huo.
Magufuli hakufa kwa korona kijana.Hata physician wake anajua hili.
 
Mimi nalijua hilo ndio maana siwaombei wala kuzungumzia mabaya kwa waliotangulia kama wewe na chuki zako.kama vile wewe ni mwema sana na utaishi milele dunia tunapita punguza chuki kwa marehemu.
Basi huyo MAGU WAKO HAKUJUA NA NDIO MAANA ALIKUWA ANAUA WATU OVYO OVYO huku wewe 8unashangilia.

Kifo ni kwa kila mtu.
 
Basi huyo MAGU WAKO HAKUJUA NA NDIO MAANA ALIKUWA ANAUA WATU OVYO OVYO huku wewe 8unashangilia.

Kifo ni kwa kila mtu.
Hakujua wakati Mara kwa Mara aliomba tumwombee, acheni chuki zenuu.
 
Tunaona tu watu wakisifia mwaka mmoja wa rais Samia utafikiri Magufuli alikufa ili Samia awe rais.

Juhudi zozote za aina yoyote kumpotezea Magufuli haziwezi kufanikiwa.

Magufuli ametufunza na kutuongoza kwa mengi yenye uzalendo mkubwa. Ajabu hata wale vigogo waliyoimba kumsifia kama ndege kasuku wamekaa kimya wakati tunamaliza mwaka mmoja tangu tuomboleze kwa uchungu kifo cha shujaa wetu.

Wakati tunakaribia mwaka tangu umetutoka sisi tunaomboleza huku tukiona baadhi ya vijana wako wakisumbuliwa kutokana na kazi yao nzuri kupambana na fisadi na mabwana wa madawa ya kulevya magendo na dhulma dhidi ya wananchi wanyonge.

Hiyo tarehe 17 March siku uliyotutoka sisi tutakuomboleza hatumsikii yeyote hata wakimsifu kwa vinubi ikiwa hapendi jina lako litajwe.

Mungu akulaze mahali pema daima John Pombe Magufuli.
Alisema tutamkumbuka. End. Haya maneno haya yatalitesa taifa na watawala usiku na mchana maana ndicho kitakachotokea. Trust me.
 
Back
Top Bottom