Kama haupo vizuri kiroho ni ngumu ku-run biashara kubwa

Kama haupo vizuri kiroho ni ngumu ku-run biashara kubwa

Hamna asiyeamin aliyewahi kufanikiwa, wewe bado mdogo!!!!

Ni lazima iwe na vitu vya spiritual unavyoviamini, na hiii ni Siri ya Kila mafanikio.

Sio biashara TU, hata kudumu na cheo.

Hiyo nguvu ya Spiritual yaweza kuwa ya YESU au Kishetani
Mimi bado mdogo umejulia wapi ?
Ingekua kuamini kuna leta mafanikio ungekuta walokole wanaongoza kwa mafanikio? Ila hakuna watu maskini kama walokole kwa Africa nzima , hata nyumba zao tu za ibada zimekaa kimaskini.

Kwahiyo hizo point zenu mkatishane na kondoo wenzako huko kanisani sio kwangu .
 
Pamoja sana mkuu lakini msijigawe huko mkuu.

Wabongo wa majuu hamna upendo mnajigawa.
Cc: fid Q
Tunaogopana kuna mambo ya kiduanzi sana huku...kuna jamaa nilimkuta pahala anaongea na simu kiswahili na kiswahili chake cha bongo kabisa,,,,,,sasa baada ya mazungumzo yake nikamsabahi...duuuh alinikataa kinoma noma mpaka nikaona haya....lakini baadae akapata utulivu ndio akaanza kunieleza visa mbali mbali vya sisi waswahili,,,,,,,,,na mitihani iliyomkuta,,,,,
 
Tunaogopana kuna mambo ya kiduanzi sana huku...kuna jamaa nilimkuta pahala anaongea na simu kiswahili na kiswahili chake cha bongo kabisa,,,,,,sasa baada ya mazungumzo yake nikamsabahi...duuuh alinikataa kinoma noma mpaka nikaona haya....lakini baadae akapata utulivu ndio akaanza kunieleza visa mbali mbali vya sisi waswahili,,,,,,,,,na mitihani iliyomkuta,,,,,
Daah kaka wekeza nyumbani
 
Sure, watu wengine huomba kazi mahali wakakosa, kumbe mwenye biashara lazima aangalie king'amuzi kwanza kabla ya kukuajiri
Kweli kuna mfanyakazi mwenzetu anafanya biashara ya mikopo ya kausha damu sasa ukienda kukopa pesa hakupi kwanza lazima akwambie ukae nje kwanza kama nusu saa ndiyo anatoka nje kukupa jibu, na jibu lake inategemea na nyota yako ina nguvu au haina nguvu.
Na ukikopa pesa ata elf kumi kuilipa ni ngumu unashangaa matatizo yanaongezeka.
 
Back
Top Bottom