Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
How?Unayumbisha hali yangu ya kiroho
Mimi bado mdogo umejulia wapi ?Hamna asiyeamin aliyewahi kufanikiwa, wewe bado mdogo!!!!
Ni lazima iwe na vitu vya spiritual unavyoviamini, na hiii ni Siri ya Kila mafanikio.
Sio biashara TU, hata kudumu na cheo.
Hiyo nguvu ya Spiritual yaweza kuwa ya YESU au Kishetani
Ni Kweli mkuu lakini safari tunayo Mimi na wewe.Taifa bado lina safari ndefu sana.
Pamoja sana mkuu lakini msijigawe huko mkuu.Inanisaidia kupata ladha ya kinyumbani...huku upweke sana
Pamoja mkuuNapita hivi
Tunaogopana kuna mambo ya kiduanzi sana huku...kuna jamaa nilimkuta pahala anaongea na simu kiswahili na kiswahili chake cha bongo kabisa,,,,,,sasa baada ya mazungumzo yake nikamsabahi...duuuh alinikataa kinoma noma mpaka nikaona haya....lakini baadae akapata utulivu ndio akaanza kunieleza visa mbali mbali vya sisi waswahili,,,,,,,,,na mitihani iliyomkuta,,,,,Pamoja sana mkuu lakini msijigawe huko mkuu.
Wabongo wa majuu hamna upendo mnajigawa.
Cc: fid Q
Daah kaka wekeza nyumbaniTunaogopana kuna mambo ya kiduanzi sana huku...kuna jamaa nilimkuta pahala anaongea na simu kiswahili na kiswahili chake cha bongo kabisa,,,,,,sasa baada ya mazungumzo yake nikamsabahi...duuuh alinikataa kinoma noma mpaka nikaona haya....lakini baadae akapata utulivu ndio akaanza kunieleza visa mbali mbali vya sisi waswahili,,,,,,,,,na mitihani iliyomkuta,,,,,
mkuu, unajua nini kuhusu secret societies kama illuminati, freemason, knight templar, skull and bones e.t.cHuu ujinga utausikia nchi maskini tu.
Hips zako zinaamsha hisia zangu.How?
Kunywa bia 😜Hips zako zinaamsha hisia zangu.
Washirikina haoSure, watu wengine huomba kazi mahali wakakosa, kumbe mwenye biashara lazima aangalie king'amuzi kwanza kabla ya kukuajiri
Kweli kuna mfanyakazi mwenzetu anafanya biashara ya mikopo ya kausha damu sasa ukienda kukopa pesa hakupi kwanza lazima akwambie ukae nje kwanza kama nusu saa ndiyo anatoka nje kukupa jibu, na jibu lake inategemea na nyota yako ina nguvu au haina nguvu.Sure, watu wengine huomba kazi mahali wakakosa, kumbe mwenye biashara lazima aangalie king'amuzi kwanza kabla ya kukuajiri
We umeshawai kufanya kazi na Wahindi au Waarabu kwa ukaribu na familia zao?Hayo mambo ni kwa africa huko kwingine hawana hizo mambo sana.
It's a main pillarPrayer is a pillar.
Uko sahihi kabsaWakuu ulimwengu wa biashara upo kiroho zaidi
Ukiachana na kuwa smart kichwani Ila inabidi uwe vizuri kiroho.
Nimefanya biashara kubwa nimejionea hili swala.
Don't hustle in vain nigga
Pray pray pray.