Kama hayati Magufuli alikiwa dhalimu mbona anakumbukwa na raia wanyonge kila kona na wanamchukia rais Samia?

Mkuu ingekuwa vyema kujitofautisha naye kwa kuthibitisha uongo wake kwa kuonyesha vivid facts jinsi ambavyo Mwendazake hakuhusika kwenye kifo au upotevu wa Ndugu Ben saanane!

Otherwise nawe ni wale wale!
Vivid facts zinadhibitishwa mahakamani, sio pengine.CDM wengi wanaishi kwa hisia tu.
 
Wewe ndiyo unanipotezea muda. Magufuli mwenyewe anajuwa kuwa alikopi material ya Dr Y Phillip wa Netherlands na ndiyo maana alishindwa kumjibu Ben Saanane. Unahangaika kukaza fuvu kujifanya uko very academic.

Kama PhD ya Magufuli ingekuwa halali basi ange PROVE mwenyewe akiwa bado yuko hai kwa jinsi ile ile ambayo alikuwa wa kwanza kuhakiki Bastola wakati RC wa Dar Makonda aliposema wananchi wote wa Dar wakahakiki silaha. Kwa vile alikosa ushahidi ndipo akaamua kumteka na kumuua Ben Saanane
 
Kwa hiyo laymen siyo binadamu?
 
Vitu vyote unatakiwa kuwa, na udhibitisho kuwa, ni kweli au uongo. Usipende kuishi kwa kusikia uongo. Leo naomba, ujifunze usipende kuamini na kuongea uongo. Labda nikuulize, ulimwona akimuua? Hayo ni maneno ya waongo.
Unatumia nguvu nyingi sana kumtetea Magufuli kwa vitendo vyake vya ukatili. Kwani wewe ni Mtanzania wa namna gani ambaye huamini kuwa Magufuli alimuua Ben Saanane? Unataka ushahidi gani?
 
Neno unyonge ni uduanzi mtupu. Utamwaminishaje raia aliyeko kwenye nchi yake huru kuwa mnyonge? Wakoloni ndio walitufanya tuwe wanyonge, baada ya uhuru unyonge unatoka wapi? Viongozi wenye kaliba ya Jiwe hawafai🤔
 
Kama Magufuli aliweza kushiriki zoezi la kuhakiki bastola lililoitishwa na RC wa Dar es Salaam, Bwana Bashite, nini kilimshinda kuonyesha uhalisia wa PhD yake?
 
Dah, kumbe mwamba kapita shule za ukweli, Sasa utamlinganishaje na mtu aliyefukuzwa seminary kwa utovu wa nidham, ikabidi akajishikize private school, no wonder hakuweza kwenda University direct ikabidi aunge unge na vi diploma vya ualim
 
Vyeti vyako feki vilikuponza
 
Vitu vyote unatakiwa kuwa, na udhibitisho kuwa, ni kweli au uongo. Usipende kuishi kwa kusikia uongo. Leo naomba, ujifunze usipende kuamini na kuongea uongo. Labda nikuulize, ulimwona akimuua? Hayo ni maneno ya waongo.
😁
 
Vitu vyote unatakiwa kuwa, na udhibitisho kuwa, ni kweli au uongo. Usipende kuishi kwa kusikia uongo. Leo naomba, ujifunze usipende kuamini na kuongea uongo. Labda nikuulize, ulimwona akimuua? Hayo ni maneno ya waongo.
Fact kama wewe huna usidhani wote hatuna. Uthibitisho wa Magufuli kumuua Ben Saanane utakuja kutolewa Mahakamani kwenye wakati mwafaka.

Kaa kwa utulivu dada DAMA2025
 
Fact kama wewe huna usidhani wote hatuna. Uthibitisho wa Magufuli kumuua Ben Saanane utakuja kutolewa Mahakamani kwenye wakati mwafaka.

Kaa kwa utulivu dada DAMA2025
Ndugu, mazungumzo yangu na ww niliyafanya almost five days ago. Lakin, obviously niligundua kuwa huna uwezo wa kujibu hoja kiweledi. Nikaamua kukupotezea, kwa kuwa siku taka kupoteza muda na bumunda. Nimejenga hoja zangu nzuri nikitegemea utajibu, lakin mara kwa, mara, ukanijibu up you tu. Nikaamua kukupotezea tu. Huna hoja zaid ya uchawa na ushabiki mandaz.
 
Wewe ni mpumbavu. Ungekuwa umenipotezea using jibu post yangu. Wewee ni kiazi mbatata tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…