Tetesi: Kama hili ni kweli, basi nakubaliana na Lissu kuhusu Dkt. Slaa

Pure gossip aka umbeya. Huna ushahidi wowote. Mwanaume gani anayejitambua anaweza kukaa chini na kuanza kuandika ujnga kama huu? Una tabia za kike wewe.
 
Hata Lipumba hakufikia level za Slaa aisee, Kauli kama vile Lissu kupigwa risasi ni jambo la kawaida, mikutano ya hadhara kufungiwa ni sawa, na Mbowe ni gaidi

Labda yule Selasini aliyehamia NCCR na baadaye kumpindua Mbatia
Mkuu kiukweli tukikumbuka tulikopita (2016 -2021),huyu Slaa ni mtu mbaya mno ana undumilakuwili flani,roho mbaya na mpenda fursa pia. Please Mbowe na viongozi wengine wa CHADEMA keep the guy in ignore list.
 
Acha uzushi.....Dkt Slaa hana mpango wa kujiunga na chama chochote, yule ni Jeshi la mtu mmoja!
 
Lissu alisema ACT hakijawahi kuwa chama cha upinzani na akatolea mfano marehemu mama Anna Mgwira wakati huo kachaguliwa na Magufuli kuwa mkuu wa mkoa, alisema alipewa nafasi hiyo kama malipo baada ya kuvuruga upinzani.
Lissu aliungana na ACT uchaguzi wa 2020
 
Ungejikita kwenye riwaya zako. Maneno meengi. Haya ni maudhui ya kutunga tu. Mimi binafsi sisomagi takataka zako, never! Mmelipwa na DP World huko misikitini kwenu hilo tunajua.
Pole sana dr Slaa.. kumbe na hii pia ni ID yako!!
 
Acha uzushi.....Dkt Slaa hana mpango wa kujiunga na chama chochote, yule ni Jeshi la mtu mmoja!
Wewe ni sawa sawa na samaki ambae hajui nini kinachoendelea nje ya maisha yake ya majini.

Mimi najua maana ya msemo "dunia kijiji". Ninataarifa nyingi, hata za kwako nikizihitaji nitazipata tu mkuu.
 
Acha uzushi.....Dkt Slaa hana mpango wa kujiunga na chama chochote, yule ni Jeshi la mtu mmoja!
Wewe ni sawa sawa na samaki ambae hajui nini kinachoendelea nje ya maisha yake ya majini.

Mimi najua maana ya msemo "dunia kijiji". Ninataarifa nyingi, hata za kwako nikizihitaji nitazipata tu mkuu.
 
Hivi Rose Kamili ni yule aliekua mbunge wa karatu viti maalum cdm?
 
Kwahiyo Dr atakapoenda utamfuata huangalii sera za chama?
 
Mm nilikua naamini dr yule Josephine ni mke wake wa kwanza? Kumbe alishatelekeza familia
 
Dr naona umekuja kujitetea na falsafa zako[emoji2]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…