Kama humfikishi mwanamke kileleni hawezi kuwa msiri wako

Heading imezungumzia kukojozwa na kutunziwa siri, ila content za Uzi umegusia vingi.

Na kama hiyo ndio factor kubwa, mara ngapi mahusiano yanavunjika sababu ya hela?

Hela haivunji mahusiano mkuu.
Hizo ni hadithi tuu.

Mwanamke ukimkojoza mahusiano kuyavunja utayavunja wewe(mwanaume).
 
Ngoja tutafute pesa kwanza harafu Hilo la kukojoza litafuta baadae
 

MWANAMKE kama hakojozwi hawezi kutulia mbona mnadanganywa sana mkuu.
Au kutulia unazungumzia nini?

Kukiwasha kwa Mwanamke sio lazima upige ile nganganga. Wengi mnafeli hapo.
Mapenzi ni hisia kwa upande wa wanawake. Ili akojoe lazima awe na hisia na wewe na aamue.

General rules zipo ila ndani yake kuna Exceptional ambao ni wachache
 
Huu ni ugonjwa mpya wa akili wataalamu toeni elimu, mgonjwa anawaza ngono tu, ngono asbh, ngono mchana, ngono ngono, akiwa kazini ngono, kanisani na msikitini ngono, msibani ngono, ugenini nyumban ngono, shuleni kazini ngono, ngono tu na mazagazaga yake kama haya ya mtoa mada, anawaza ngono kuliko kujiwazia hata yeye mwenyew ataishi vipi, atakula nini, atalala wapi, hawazi ndugu zake wala majirani zake, hawazi kesho wala keshokutwa, hawazi utajiri wake ataulindaje wala umasikini wake ataushindaje, hawazi kumsaidia mhitaji wa kupambana na adui zake, hawazi pepo wala jehanamu, anaweza ngono....tatizo kubwa zaidi mgonjwa wa ugonjwa huu anajiona ni mzima na hana tatizo lolote, siku ukiona kajitambua kuwa ni mgonjwa ujue amepona....magonjwa ya akili yote likiwepo na hili hayaponi kwa sangoma wala kwa maombi, yanatibiwa hospitali, tusimwangushe raisi Samia, amejenga hospitali kila mahali, hima twendeni tukapate tiba, dawa zipo, tupone, tujenge nchi.
 
Hizo Sheria ni zipi?

Ila tukirudi kwenye msingi wa Uzi wako, bado nasisitiza kumkojoza mwanamke sio sole factor ya kumridhisha mwanamke.

Waulize si wapo hapa.
Sasa Mwanamke anamkojozaje kama hajaridhika na wewe mkuu?
Hivi unaelewa unachozungumzia.
 
Ukiyachunguza sana utagundua Mapenzi ni UFALA Mkuu.

KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Hawaeleweki hao wadada akikupenda yy bn maisha utakula kwanza akikuona tu unavua keshaloa ukimlamba shingo anazimia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…