Kama humfikishi mwanamke kileleni hawezi kuwa msiri wako

Hizi mambo za kutiwa hovyohovyo ndio zinafanya waanze kulinganisha shoo za wanaume waliompitia

Yawezakuwa.
Lakini kwa wanawake niliowafanyia utafiti wengi wao wapenzi wao wa mwanzo waliwarubuni.
Na wanawake wanakuwaga waaminifu kwenye penzi la kwanza kuliko yanayofuatia.
Wakishaumizwa ndio wanatiwa ganzi
 
Nimekusoma
 
Endelea kumkojoza kwa speed ya 4G, akikubadlikia hutajua wapi umekosea na utabaki kuokota makopo

Kuna mwanamke hayupo na mmewe hua anakili mume alkua mpiga kazi hasa, tena chuma cha kikoloni lakin napozungumz apa mapadre na wazee wengine wa jadi na hata wale wa kanisa hakuna aliefua dafu ktk kuinusuru ndoa ile

Binafsi nshasema, mwanamke akizingua anasepa nnaanza upya.
 

Ulitaka asemeje?
Watoto wa siku hizi muwe mnajiongeza.
Kwa hiyo ulitaka aseme kuwa mumewe alikuwa sio mpiga show mzuri?

Hivi ni lini mtatumia akili zenu vizuri?

Alafu hakuna kitu kigumu kama mwanaume asiyeweza kukojoza kuanzisha mahusiano mapya.
Ni kumuomba tuu Mungu yasikukute
 
Pinned🤝👊
 
Taikon leo umetisha,sijaziona vya kutosha figurative uses of language.Kwa uzito wa ujumbe wako wa leo,tamathali za semi zikiwemo sitiali na tashbiha hazikuhitajika kabisa sababu kukojozwa ni suala mtambuka la maendeleo ya taifa.Siku nyingine hili la wanaume wanaopigwa na wake zao nalo ukaliangalie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…