Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Nimetoka kumaliza shughuli muda mfupi uliopita👇😁😁😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona niwe msoma comments😅Ukiona umeleta uzi wa mapenzi ukakosa comments za hawa watu cocastic ,Lamomy , BICHWA KOMWE - ,@Nifah,mshamba_hachekwi ,Mzee wa kupambania, @Depal,Demi jua mada yako haina mashiko😁 just kidding.
Mpo vizuri hiyo sekta
Changia chochote mkuu😂Naona niwe msoma comments😅
Ingekua kaandika mwanamke ningekubali
Naam ciccy, Unique Flower
Kukojozwa kutamu jamani..... Uwwwiii🤣
Wanaume tuna kazi jamani, kwa hiyo na kwenye kukojoa huko, viti maalum vinatakiwa. Huko kila mmoja apambane, tutawapakia mkongo mkimbie familia shauri zenu.
Hivi kuna wanaume huwa wanashindwa kuwafanya hivyo wapenzi/wake zao?
Labda kama upo kwenye mahusiano na mwanamke asie na hisia zozote na wewe unalazimisha mapenzi kwa kupitia udhaifu wake pengine unamtatulia shida zake kwasababu una pesa
Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
hakuna kitu chema unaweza fanya kwa mwanamke akakuona mwamba hasa wakati huu wa gigy generation...TUSIPONZANE,mwanamke ni sawa na Andazi tu
Unashangaa mtoa mada mkewe anapigwapigwa hovyo nje ya ndoa,hapo ndo uamini mapenzi hayana formula.Mwalimu wangu aliyenifundisha somo moja la saikolojia,nilishangaa naye anachapiwa,nikabaki nasema hiii baghosha.
KIZAZI HIKI MNAHANGAIKA SANA NA MAMBO MADOGO. SISI MIAKA YETU TULIKUWA HATA KUZUNGUMZIA HILI JAMBO TUNAONA NI UPUUZI SABABU NI SAWA NA KUZUNGUMZIA KWA KIREFU SUALA LA SAMAKI KUTOWEZA KUOGELEA. YAANI IKAWA NI ISSUE KUBWA . NINYI MNAPOTEZA MUDA SANA KWA MAMBO HAYA. UANAUME NI SUALA MTAMBUKA SANA NA KUHANGAIKA NA KU MPLEASE MWANAMKE NI KUCHOSHA AKILI. UTAMFIKISHA KILELENI ATAENDA KULIWA SABABU KUNA MTU ANAONEKANA ANA MJALI SANA AU ANA PESA SANA ZAIDI YAKO. AU ANA HURUMA SANA, AU ANA UPENDO SANA, AUA ILITOKEA TU..... FANYENI KAZI VIJANA.
Ni suala la hisia kuwa na mwanamke asie na hisia na wewe ni ngumu sana kumridhisha na ujiandae kujishusha sana hadi siku atakaouvunja moyo wakoWapo wengi.
Waulize wanawake watakuambia
One of the best comment ever...yaani mwanamke akiamua mwenyewe kiridhika ...kidole TU kinatosha kumkojolesha ..sio hizo mbwembwe zingine
Ni suala la hisia kuwa na mwanamke asie na hisia na wewe ni ngumu sana kumridhisha na ujiandae kujishusha sana hadi siku atakaouvunja moyo wako
Inaonesha unaendeshwa Sana na wanawake ukishatambua dhamani Yako huwezi kujisumbua kumridhisha mwanamke.Swali tu mbona wao Huwa wanalala tu kama magogo??????
Wanawake wenyewe pesa wanatafuta.Pesa inamkojozaje Mwanamke na wewe?
Kule kwa Bushman ambako hawatumii pesa wanafanyaje kukojoza wake zao?
Kanuni ya kumkojoza Mwanamke inategemea na mwanamke mwenyewe.