Kama humfikishi mwanamke kileleni hawezi kuwa msiri wako

hakuna kitu chema unaweza fanya kwa mwanamke akakuona mwamba hasa wakati huu wa gigy generation...TUSIPONZANE,mwanamke ni sawa na Andazi tu

Ni kama ile kesi ya sungura na ndizi.
Ulichosema ni kwa mwanadamu yeyote. Bila kujali ni Mwanamke au mwanaume
 
Unashangaa mtoa mada mkewe anapigwapigwa hovyo nje ya ndoa,hapo ndo uamini mapenzi hayana formula.Mwalimu wangu aliyenifundisha somo moja la saikolojia,nilishangaa naye anachapiwa,nikabaki nasema hiii baghosha.

Sasa ukiwa mwalimu wa saikolojia na humkojozi mkeo unategemea nini?
Mtoa mada kaeleza alichoeleza kama hatimizi naye mada inamhusu
 

Kwa nini unafikiri kutimiza wajibu wako ni kum-please Mwanamke?
Yaani kumkojoza Mwanamke ambapo ni wajibu wa mwanaume yeyote rijali useme ni kum-please Mwanamke?

Hapa tunazungumzia wajibu wa mwanaume. Hata kufanya kazi ni wajibu wa mwanaume
 
Inaonesha unaendeshwa Sana na wanawake ukishatambua dhamani Yako huwezi kujisumbua kumridhisha mwanamke.Swali tu mbona wao Huwa wanalala tu kama magogo??????

Wajibu wako kama mwanaume unaijua?
Thamani yako ni pamoja na kuweza kumkojoza Mwanamke.
Uliza popote utaambiwa. Kaulize wazee wako hasa unaowaamini
 
Naomba kujuzwa, kuna siku nilikutana na muhaya, nikapigaaa akaanza kurusha yale maji, je huko ndio kumfikisha kileleni?

Maana kuna mwingine mnyamwezi yeye alikuwa anapigaa kelele tuuu na kupumuaa haraka na kukung'ang'aniaaa then analala , hamwagi mimaji kama ya wahaya, utofaut ni upi hapo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ