Kama huna hela unaenda bar kufanya nini? Huo ndio mwanzo wa kuingia kwenye ushoga

Sungura hapingwi!
 
Nakazia
 
Hao mabaunsa wengi wao mashoga, hadi list yao ilitolewa
 
.....mbaya zaidi akinunuliwa siku moja, analeta mazoea kila akikuona anataka bure....afu bia zao ni Heineken na whidhoek, afu mie tajiri nakunywa kvant ndogo, nailambalamba almradi nisogeze muda wa bar kufungwa.....WANAKERA!!!
 
.....mbaya zaidi akinunuliwa siku moja, analeta mazoea kila akikuona anataka bure....afu bia zao ni Heineken na whidhoek, afu mie tajiri nakunywa kvant ndogo, nailambalamba almradi nisogeze muda wa bar kufungwa.....WANAKERA!!!
Wanakera wakikuona tu salamu nyingi wote hatuna hela tunajikaza halafu baadae watusnich
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…