Kama ilipo Israel siyo Israel, Wayahudi wanaotajwa kwenye Quran na Biblia walikuwa wanaishi wapi?

Kama ilipo Israel siyo Israel, Wayahudi wanaotajwa kwenye Quran na Biblia walikuwa wanaishi wapi?

Kuna hoja ipo kuwa pale ilipo Israel kwa Sasa si Ardhi ya waisrael bali wapalestina.

Binafsi nakubaliana na hoja hiyo. Lakini swali la kujiuliza ni kwamba, kama ilipo Israel kwa Sasa siyo nchi ya waisrael, jee pale Mashariki ya kati, waisrael wanastahili kuwepo kwenye nchi Gani?

Quran na Biblia zina hadithi kuhusu wayahudi. Hao wayahudi wanaotajwa kwenye Quran na Biblia, zama hizo walikuwa wanaishi kwenye nchi gani ambayo kwa sasa haipo?
Map_Israel_Judea_926_BC-fr.svg.png

Picha inaonesha israeli ya kale takribani miaka 4000 nyuma kabla ya wa Palestine kuvamia, picha pia inaonesha wapalestina waliishi ukanda wa gaza


600px-Philistines_pentapolis.jpg



Picha inaonesha baada ya wapalestina kuvamia israeli yote na kuikalia ardhi yao na kwenye miji kama yerusalemu, Bethlehem, hii ni baada ya dola la roma

Sasa baadae israeli waliwafukuza wapalestina kwenye ardhi yao ndipo ilitokea vita vya waarabu na wayahudi miaka ya 90
 
Kuna hoja ipo kuwa pale ilipo Israel kwa Sasa si Ardhi ya waisrael bali wapalestina.

Binafsi nakubaliana na hoja hiyo. Lakini swali la kujiuliza ni kwamba, kama ilipo Israel kwa Sasa siyo nchi ya waisrael, jee pale Mashariki ya kati, waisrael wanastahili kuwepo kwenye nchi Gani?

Quran na Biblia zina hadithi kuhusu wayahudi. Hao wayahudi wanaotajwa kwenye Quran na Biblia, zama hizo walikuwa wanaishi kwenye nchi gani ambayo kwa sasa haipo?
Palikua na wayahudi wengi tu arabuni na hasa Yemenn, wayahudi wa kiarabu nk, uyahudi ni dini,kwa mujibu wa Quran manabii wote hawakuwa wayahudi bali waislam, kwenye Quran kuna myahudi halafu kuna mwana wa israel (muisrael),wewe unamaanisha yupi?
 
View attachment 3132551
Picha inaonesha israeli ya kale takribani miaka 4000 nyuma kabla ya wa Palestine kuvamia, picha pia inaonesha wapalestina waliishi ukanda wa gaza


View attachment 3132556


Picha inaonesha baada ya wapalestina kuvamia israeli yote na kuikalia ardhi yao na kwenye miji kama yerusalemu, Bethlehem, hii ni baada ya dola la roma

Sasa baadae israeli waliwafukuza wapalestina kwenye ardhi yao ndipo ilitokea vita vya waarabu na wayahudi miaka ya 90
Picha ya kuchora ya wanaojiita wayahudi/israel?..
 
Mayahudi bado yanasafari maana hayana nchi kwa sasa, maana nchi yao ya ahadi waliyohaidiwa hawajafika bado!Yanatapatapa!
 
Kabla ya 1948 ilikua hamna nchi inaitwa Israel
Umekosea kidogo.
Kingdom of Israel ilianza mwaka 1050 BCE. Mwaka 722 BCE kingdom ya Assyrian iliwapiga, na kuwachukua wayahudi mateka na kuwapeleka utumwani Babylon (Iraq ya leo). Ikabakia kingdom ya Judah iliyomegwa toka Israel kingdom mwaka 930BCE, ambayo nayo miaka ya 500 BCE ilipigwa na mfalme Nerbukadineza.

Waisrael wakiwa mateka waliishi utumwani Babylon kwa miaka 70, kisha wakarudi kwenye ardhi yao. Lakini mwaka 64 BCE warumi waliitawala Israel na maeneo mengine. Ni wakati wa utawala wa Warumi, jina Israel au Judah lilipigwa marufuku, na jina la Palestine (ambalo lilikuwa jina la eneo dogo pwani ya bahari) lilianza kutumika. Inasemwa kuwa Warumi walilifuta jina la Israel na Judah (Yudea) kama njia ya kuwaadhibu Wayahudi ambao kila mara waliugomea utawala wa Warumi. Baada ya kuanguka utawala wa Roman Empire mwaka 476, eneo la Israel na Judah ambalo sasa lilijulikana Palestine, lilitawaliwa na Byzentine, mpaka mwaka 1517 lilipochukuliwa na Ottoman Empire, iliyotawala mpaka 1917, ulipoingia utawala wa Waingereza.

Hivyo Israel ilikuwepo hapo kale kama kingdom, jina likabadilishwa, na baadaye mwaka 1947, vizazi vingi baadaye wakalirudisha jina, siyo kama kingdom bali kama nchi, japo kwa sasa eneo likiwa dogo sana kuliko lile lililokuwa la Israel na Judah kingdoms.
 
Palikua na wayahudi wengi tu arabuni na hasa Yemenn, wayahudi wa kiarabu nk, uyahudi ni dini,kwa mujibu wa Quran manabii wote hawakuwa wayahudi bali waislam, kwenye Quran kuna myahudi halafu kuna mwana wa israel (muisrael),wewe unamaanisha yupi?
Lione hili mbumbumbu, uyahudi sio dini ni kablia au jamii ya watu wa israeli
 
Ya nini kuandikia mate ndugu?

View attachment 3132512

Anayekataa mataifa mawili ni nani?

Kung'aka kwenu kupo kwenye kukerwa na maswali ya wazi kama haya!
Oslo Accord inasemaje? Nani aliikwamisha?

Unachotakiwa kujua ni kuwa ndani ya Israel kuna watu hawataki kabisa kusikia Taifa la Palestine. Na hawa ndio walimwua Yizack Rabin kwa sababu ya kusaini Oslo Accord.

Lakini pia ndani ya Waarabu kuna watu hawataki kusikia habari ya mataifa mawili. Wanasema wayahudi wanatakiwa kumalizwa, eti quran ndiyo inaagiza hivyo. Na hao ndo walim-assasinate Yasar Arafat kwa sababu ile ile iliyomwua Yizack Rabin.
 
Umekosea kidogo.
Kingdom of Israel ilianza mwaka 1050 BCE. Mwaka 722 BCE kingdom ya Assyrian iliwapiga, na kuwachukua wayahudi mateka na kuwapeleka utumwani Babylon (Iraq ya leo). Ikabakia kingdom ya Judah iliyomegwa toka Israel kingdom mwaka 930BCE, ambayo nayo miaka ya 500 BCE ilipigwa na mfalme Nerbukadineza.

Waisrael wakiwa mateka waliishi utumwani Babylon kwa miaka 70, kisha wakarudi kwenye ardhi yao. Lakini mwaka 64 BCE warumi waliitawala Israel na maeneo mengine. Ni wakati wa utawala wa Warumi, jina Israel au Judah lilipigwa marufuku, na jina la Palestine (ambalo lilikuwa jina la eneo dogo pwani ya bahari) lilianza kutumika. Inasemwa kuwa Warumi walilifuta jina la Israel na Judah (Yudea) kama njia ya kuwaadhibu Wayahudi ambao kila mara waliugomea utawala wa Warumi. Baada ya kuanguka utawala wa Roman Empire mwaka 476, eneo la Israel na Judah ambalo sasa lilijulikana Palestine, lilitawaliwa na Byzentine, mpaka mwaka 1517 lilipochukuliwa na Ottoman Empire, iliyotawala mpaka 1917, ulipoingia utawala wa Waingereza.

Hivyo Israel ilikuwepo hapo kale kama kingdom, jina likabadilishwa, na baadaye mwaka 1947, vizazi vingi baadaye wakalirudisha jina, siyo kama kingdom bali kama nchi, japo kwa sasa eneo likiwa dogo sana kuliko lile lililokuwa la Israel na Judah kingdoms.
Dogo ni mbumbumbu sana hata kabla ya miaka 1948 hakukuwa na Tanzania wala kenya wala Nigeria

Zamani dunia ilikuwa haina nchi za kisiasa sehemu nyingi zilikuws na wafalme na machifu, hivyo mwaka 1948 Israel iliunda nchi ya kisiasa na sio kwamba ndio ilianza kuweko mfano tanzania tuliunda nchi miaka ya 1960 haimaanishi kwamba ndio tunaanza kuishi bali ndio tumeengia kwenye mfumo wa kisiasa
 
Hakuna nchi iliyoitwa israel kabla ya 1948.
Ilikuwepo, ilitawaliwa kifalme kuanzia Mfalme Sauli kisha Mfalme Daudi kisha Mfalme Suleiman karne nyingi kabla ya Kristo.

Hoja ni Je hawa wa siku za leo ndo wametokana na kizazi hicho cha waisraeli wa kale? Na je ni wanaojiita wapalestina waliozaliwa hapo miaka ya leo hawana haki zozote?

Lakini mkitaka kulazimisha kupindisha historia kwa sababu za kidini hapo ndo mnakosea na mnaonekana hamjitambui
 
baba-mwajuma nikubaliane na wewe kuwa Wafilisti siyo wapalestina bali ni wagiriki.

Sasa kimetokea ni hadi wapalestina wa Sasa siyo wao (Kwa asilimia) wanaoamini na kuitunza Torah?

Wewe ukiwaangalia wengi wa wapalestina wa sasa wanaamini kuwa wao wanatokana na uzao wa Daudi?
Ndio mkuu wanaamini, in short cultural ya kipalestina ndio cultural pekee duniani iliobakia ya wayahudi wa Zamani, Soma Bible ama Torah utaelwa.

Nikupe mfano angalia hizi picha
images (48).jpeg

images (47).jpeg

Hao ni wanawake wa Kipalestina wakilia kukatwa kwa miti ya Olive, mti wa olive ni Symbol ya Palestina/Israel ya zamani enzi na enzi toka kipindi cha Yesu, Daud na Mussa unakuwa regarded kama mti mtakatifu. Unaweza uka Soma hapa umuhimu wa olive tree kwa imani ya Kiyahudi

So leo hii Wapalestina wanakufa kutetea hio miti, at same time kuna wazungu wametoka Ulaya wanaojiita wayahudi wanaikata as if it means nothing, mti mmoja wa Olive unaishi miaka 500 on average na mikongwe inafika miaka 2000 kuna miti imepandwa Yesu yupo hai hilo eneo na mpaka leo ipo, Je nani anatetea Mila ya Waisrael wa zamani hapo?

Si tu miti ukienda kwenye mavazi, miziki, vyakula, na kila aspect ya life style ya Wapalestina ndio ile ile utakayoiona kwenye Bible na Torah.

Hawa ni Wapalestina mavazi yao Ya Asili
images (49).jpeg
 
Kuna hoja ipo kuwa pale ilipo Israel kwa Sasa si Ardhi ya waisrael bali wapalestina.

Binafsi nakubaliana na hoja hiyo. Lakini swali la kujiuliza ni kwamba, kama ilipo Israel kwa Sasa siyo nchi ya waisrael, jee pale Mashariki ya kati, waisrael wanastahili kuwepo kwenye nchi Gani?

Quran na Biblia zina hadithi kuhusu wayahudi. Hao wayahudi wanaotajwa kwenye Quran na Biblia, zama hizo walikuwa wanaishi kwenye nchi gani ambayo kwa sasa haipo?
Qur'an iko wazi kabisa kuwa Bani Israel sio Wayahudi acha story na hakuna sehemu Qur'an imesema Israel ni ya Wayahudi sababu Israel sio nchi kutokana na Qur'an ni Yakobo na Bani Israel ni watoto wa Yakobo. Taifa linalo itwa Israel limetengenezwa na Uingereza kwa ajili ya siasa zao za dini walio jitungia na ukoloni walio uleta pale Palestine.

Qur'an inasema Wayahudi ni dini na Bani Israel ni kizazi cha Yakobo, sababu Yakobo alikuwa mcha Mungu sana .Mwenyezi Mungu ndio akawahidi kizazi chake sehemu takatifu sio kina nyaa na kina Biden 😄
 
Lione hili mbumbumbu, uyahudi sio dini ni kablia au jamii ya watu wa israeli
Uyahudi ni dini na ni jamii. Myahudi, jew, ni mtu anayefuata dini ya kiyahudi. Lakini tofauti na dini nyingine, wauminiwa dini ya kiyahudi ni descendants wa Yakobo (Israel).
A Jew is one who practices the Jewish religion, Judaism. This includes both converts and those who have been members of the Jewish religion since birth. A Jew is one who is a descendant of the ancient Israelite ethnic group, and therefore is a member of the Jewish people.
 
Hii ndio tofauti kubwa pekee ni sawa leo watokee wa Catholic waseme kwao ni Vatican sababu ndio nyumbani kwa wa Rome lakini sababu Vatican hapatoshi tuchukue Rome pia. Wayahahudi ni dini na wanaweza kuwepo popote kuna waarabu wengi tu na ni mayahudi hakuna shida. Hawa wazungu waliotoka sijui Poland na nchi za ulaya mashariki ndio shida kubwa. Netanyau halikuwa jina lake alitoka Poland baada ya wao kuhamia Israel na jina akabadilisha Nentanyau.
Uongo
 
Qur'an inasema Wayahudi ni dini na Bani Israel ni kizazi cha Yakobo...
Kwa ivo hapa unataka kusema Hinduism ni dini lakini Hindi siyo watu?

Hoja yangu ni kuwa Jews (Wayahudi) ni watu na inawezekana Judaism ni sehemu ya Imani ya Wayahudi.
 
Kuna waislam, wasomi wa dini ya Kiislam ambao wanasema wazi kuwa Quran imetamka wazi kuwa Israel ni ardhi ya Wayahudi, na kama wao waislam watataka kuichukua ardhi hiyo, wataanguka na kushindwa.


JamiiForums





Quran Inasema Israel ni Ardhi ya Wayahudi​

1 of 16Next Last
Unsubscribe
•••
[IMG alt="Bams"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/28/28702.jpg?1421497843[/IMG]

Bams

JF-Expert Member​

Kuna waislam, wasomi wa dini ya Kiislam ambao wanasema wazi kuwa Quran imetamka wazi kuwa Israel ni ardhi ya Wayahudi, na kama wao waislam watataka kuichukua ardhi hiyo, wataanguka na kushindwa.

Moja ya maandiko wanayorejea kwenye Quaran, ni Sura 5 verse 21 kwenye kuran, ambayo inasema kuwa, "Israel ni ya Wayahudi".

Andiko zima, rejea hapa chini:

Khaleel Mohammed, Islamic Law scholar of the San Diego State University, noted that Sura 5 verse 21 of the Qur'an, and the medieval exegetes of the Qur'an, say that Israel belongs to the Jews. He translates it thus:

[Moses said]: O my people! Enter the Holy Land which God has written for you, and do not turn tail, otherwise you will be losers." Mohammed here understands "written" to mean this is the final word from God on the subject. In reaction, he was inundated with hate mail.[4]

And We said to the Children of Israel after Pharaoh, “Reside in the land, but when the promise of the Hereafter comes to pass, We will bring you all together.”

— Surah Al-Isra 17:104
Hahaha nyie tatizo lenu mnaongea na wajinga ambao hata Qur'an hawaifahamu. First the phrase (Land of Israel) has no mention in the Qur'an. So lets not fake the Qur'an to begin with.

Walio tajwa ni Bani Israel na hao Bani Israel ni kizazi cha Yakobo. If God wanted to say ; Jews, he would have used (Jews) not Bani Israel since Jews are already mentioned in other phrases in the Qur'an.

Secondly, ukiweka religion aside, if you have some common sense and read the Qur'an and Islamic literature, you would know that the Islamic God or even the Prophet definitely won’t give any land to Jews. In fact the Prophet before he died , he mentioned Bait Al Maqdes and Al Aqsa Masjid as holy to Muslims and he said the the Levant would be conquered so logically he won’t be giving it to Jews. The argument is really stupid when look at it from a logical sense.

Pia ukienda kwenye Taurati ukaisoma vizuri utaona Nabii Ibrahim alichukua ruhusa kutoka kwa nani ? Kutoka kwa
Abi Malik, King of the Philistines( We gave permission to Abraham) This is your Torah.

Israel ni taifa fake kama ukristo wenu ulivyo fake 😄
 
Oslo Accord inasemaje? Nani aliikwamisha?

Unachotakiwa kujua ni kuwa ndani ya Israel kuna watu hawataki kabisa kusikia Taifa la Palestine. Na hawa ndio walimwua Yizack Rabin kwa sababu ya kusaini Oslo Accord.

Lakini pia ndani ya Waarabu kuna watu hawataki kusikia habari ya mataifa mawili. Wanasema wayahudi wanatakiwa kumalizwa, eti quran ndiyo inaagiza hivyo. Na hao ndo walim-assasinate Yasar Arafat kwa sababu ile ile iliyomwua Yizack Rabin.

1. Wapi Palestina wamekataa two state solution?

2. Zaidi sana, nani yupo kwenye record anakataa two state solution?

Majibu yako tafadhali.
 
Back
Top Bottom