Suzy Elias
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 1,067
- 6,200
Hivi huyo Bashiru ana cheo gani Kwa sasa?🤣🤣🤣🤣Sasa kwani hatazikwa Tena ameagwa na wazito wengi sembuse hao vidagaa, pamchoyo Po mmabelu mwee
Kuagwa na wazito ndiyo nn Acha ushamba wewe?Sasa kwani hatazikwa Tena ameagwa na wazito wengi sembuse hao vidagaa, pamchoyo Po mmabelu mwee
Kifo SI sawa na sherehe ya send-off party kuwa itafanyika mnamo,hakina taarifa.Membe hakupata kuhudhuria wala kumlilia Magufuli kwenye kifo chake jambo ambalo mke wa Magufuli naye hajafanya kuhusu kifo cha Membe.
Ikumbukwe, wanazi wote wa upande wa Membe hawakuhudhuria ima ibada ama kuagwa kwa JPM vivyo hivyo wanazi wa JPM ukimwondoa (double agent Makonda) hawajajishughulisha kwalo.
Wapi Bashiru na yake jamaa Polepole?!
Funzo:
Malipo ni hapa hapa Duniani.
hao wazito wana mapembe kichwaniSasa kwani hatazikwa Tena ameagwa na wazito wengi sembuse hao vidagaa, pamchoyo Po mmabelu mwee
Kuna wazito wameenda kuhakikisha kama kweli amekufa gusa ninuke kachero mbobeziSasa kwani hatazikwa Tena ameagwa na wazito wengi sembuse hao vidagaa, pamchoyo Po mmabelu mwee
Hata sie raia wa Magufuli hatujahudhuria. Tupo bize na shughuli zetu za kila siku.Membe hakupata kuhudhuria wala kumlilia Magufuli kwenye kifo chake jambo ambalo mke wa Magufuli naye hajafanya kuhusu kifo cha Membe.
Ikumbukwe, wanazi wote wa upande wa Membe hawakuhudhuria ima ibada ama kuagwa kwa JPM vivyo hivyo wanazi wa JPM ukimwondoa (double agent Makonda) hawajajishughulisha kwalo.
Wapi Bashiru na yake jamaa Polepole?!
Funzo:
Malipo ni hapa hapa Duniani.
Wamelipwa ujira wao,kama noma na iwe nomaMembe hakupata kuhudhuria wala kumlilia Magufuli kwenye kifo chake jambo ambalo mke wa Magufuli naye hajafanya kuhusu kifo cha Membe.
Ikumbukwe, wanazi wote wa upande wa Membe hawakuhudhuria ima ibada ama kuagwa kwa JPM vivyo hivyo wanazi wa JPM ukimwondoa (double agent Makonda) hawajajishughulisha kwalo.
Wapi Bashiru na yake jamaa Polepole?!
Funzo:
Malipo ni hapa hapa Duniani.
Nimependa tu ulivyotumia either or ya Kiswahili yani ima ama. Waswahili wengi siku hizi utakuta wanasema eidha ama, mmebaki wachache mnaotumia ima amaMembe hakupata kuhudhuria wala kumlilia Magufuli kwenye kifo chake jambo ambalo mke wa Magufuli naye hajafanya kuhusu kifo cha Membe.
Ikumbukwe, wanazi wote wa upande wa Membe hawakuhudhuria ima ibada ama kuagwa kwa JPM vivyo hivyo wanazi wa JPM ukimwondoa (double agent Makonda) hawajajishughulisha kwalo.
Wapi Bashiru na yake jamaa Polepole?!
Funzo:
Malipo ni hapa hapa Duniani.
Si wote wanaoshindwa kuhudhuria misiba wanakuwa na chuki na marehemu. Wengine huwa wana mambo yanayowazuia wasifike kwenye msiba.Membe hakupata kuhudhuria wala kumlilia Magufuli kwenye kifo chake jambo ambalo mke wa Magufuli naye hajafanya kuhusu kifo cha Membe.
Ikumbukwe, wanazi wote wa upande wa Membe hawakuhudhuria ima ibada ama kuagwa kwa JPM vivyo hivyo wanazi wa JPM ukimwondoa (double agent Makonda) hawajajishughulisha kwalo.
Wapi Bashiru na yake jamaa Polepole?!
Funzo:
Malipo ni hapa hapa Duniani.