Kama ilivyokuwa kwa Membe kutokudhuria pia Bashiru, mke wa Magufuli na wengine wengi hawajahudhuria

Kama ilivyokuwa kwa Membe kutokudhuria pia Bashiru, mke wa Magufuli na wengine wengi hawajahudhuria

Membe hakupata kuhudhuria wala kumlilia Magufuli kwenye kifo chake jambo ambalo mke wa Magufuli naye hajafanya kuhusu kifo cha Membe.

Ikumbukwe, wanazi wote wa upande wa Membe hawakuhudhuria ima ibada ama kuagwa kwa JPM vivyo hivyo wanazi wa JPM ukimwondoa (double agent Makonda) hawajajishughulisha kwalo.

Wapi Bashiru na yake jamaa Polepole?!

Funzo:

Malipo ni hapa hapa Duniani.
Kwa hiyo wamemkomesha marehemu sio?
 
Kuzika sio Jambo la lazima kama watu woooootee wahudhurie jmniii na pia tusiwahukumu watu Kwa Hilo maana binaadamu inawezekana alikuwa na matatizo au hakujisikia kwenda!mm nawapa kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere ktk kifo cha Oscar Kambona hakuhudhuria na vile walivyokuwa enzi zao,tena basi wakati meili wa Kambona unafika uwanja wa ndege wa Dar Mwalimu alipishana nao yy akisafiri nje ya nchi lkn haikuwa nongwa WA maneno ,sasa kama Membe hakuhudhuria mashishi ya Makufuli na mke wa Makufuli na Hilo kundi linaloitwa Lao hawakuhudhuria Kwa Membe shida iko wapi?
 
Dunia inaenda kwa kasi sana tena sana!
 
Back
Top Bottom