Kama ilivyokuwa kwa Membe kutokudhuria pia Bashiru, mke wa Magufuli na wengine wengi hawajahudhuria

Kama ilivyokuwa kwa Membe kutokudhuria pia Bashiru, mke wa Magufuli na wengine wengi hawajahudhuria

Membe hakupata kuhudhuria wala kumlilia Magufuli kwenye kifo chake jambo ambalo mke wa Magufuli naye hajafanya kuhusu kifo cha Membe.

Ikumbukwe, wanazi wote wa upande wa Membe hawakuhudhuria ima ibada ama kuagwa kwa JPM vivyo hivyo wanazi wa JPM ukimwondoa (double agent Makonda) hawajajishughulisha kwalo.

Wapi Bashiru na yake jamaa Polepole?!

Funzo:

Malipo ni hapa hapa Duniani.
Hao akina Bashiru na wote waliojihusisha na dikteta hawana maana kabisa.
 
We wenyewe Suzy Elias mbona hauhudhurii kumbukizi za kifo cha Jiwe? Ile ya kwanza hukuja Chato, na hii ya pili hukuonekana. Yaani mwaka huu mlimwacha mama Janeth akiwa mpweke anafarijiwa na wanafunzi wa shule za sekondari tu, nyie SG wote hamuonekani. Hii ni sawa kweli?

Uongozi wote wa serikali mkoa wa Geita na CCM Mkoa waliakacha kumbukizi ya miaka 2. Je, baada ya miaka 5 si itabaki familia yake tu ndo inayomkumbuka? Ila mitandaoni sasa mnavyojinasibu kuwa mlimpenda!
 
Membe hakupata kuhudhuria wala kumlilia Magufuli kwenye kifo chake jambo ambalo mke wa Magufuli naye hajafanya kuhusu kifo cha Membe.

Ikumbukwe, wanazi wote wa upande wa Membe hawakuhudhuria ima ibada ama kuagwa kwa JPM vivyo hivyo wanazi wa JPM ukimwondoa (double agent Makonda) hawajajishughulisha kwalo.

Wapi Bashiru na yake jamaa Polepole?!

Funzo:

Malipo ni hapa hapa Duniani.
Mtu mmoja aliwah kusema km vp kazikwe naye. Mtu akishaondoka ni kumtakia heri ya milele siyo Kila kukicha maneno maneno. Kwani kwenye msiba wako watahudhuria watu wote. Na je ni lazima wahudhurie. Mbona huzungumzii akina Kagame, Museven, nk ambao hawakufika kweny msiba wa huyo baba yako mzazi. Kwa kweli mnaudhi utadhani tangu Dunia imeumbwa ni yeye tu alistahili kuheshimiwa. Kumuabudu binadam mwenzio ni dalili za upungufu wa nguvu za kiume au ugumba kwa mwanamke.
 
We wenyewe Suzy Elias mbona hauhudhurii kumbukizi za kifo cha Jiwe? Ile ya kwanza hukuja Chato, na hii ya pili hukuonekana. Yaani mwaka huu mlimwacha mama Janeth akiwa mpweke anafarijiwa na wanafunzi wa shule za sekondari tu, nyie SG wote hamuonekani. Hii ni sawa kweli?

Uongozi wote wa serikali mkoa wa Geita na CCM Mkoa waliakacha kumbukizi ya miaka 2. Je, baada ya miaka 5 si itabaki familia yake tu ndo inayomkumbuka? Ila mitandaoni sasa mnavyojinasibu kuwa mlimpenda!
Hao wanafiki tu wanashindwa kutafuta pesa Kila kukicha wimbo wao ule ule utadhani hata wao wataishi milele au hawajawa kufiwa.
 
Si wote wanaoshindwa kuhudhuria misiba wanakuwa na chuki na marehemu. Wengine huwa wana mambo yanayowazuia wasifike kwenye msiba.

Kwanza mke wa Magufuli siyo mtu anayependa attention. Na kwa vile yeye na mke wa Membe wapo kwenye lile group lao, si ajabu mama wa watu akaenda kumwona na kumpa pole mjane mwenzie kimya kimya, nafasi itakaporuhusu.

Tusipende kutafuta sababu kwa kila jambo. Wapo ndugu ambao wanashindwa kuhudhuria misiba mpaka ya wazazi wao kutokana na sababu mbalimbali.
Hata Hivyo hao anaosema hata km wangehudhuria ndiyo wangebadilisha ukweli kuwa mtu kafa!! Ni ushamba na umbea tu kwa kudandia mambo yasiyo mhusu.
 
Membe hakupata kuhudhuria wala kumlilia Magufuli kwenye kifo chake jambo ambalo mke wa Magufuli naye hajafanya kuhusu kifo cha Membe.

Ikumbukwe, wanazi wote wa upande wa Membe hawakuhudhuria ima ibada ama kuagwa kwa JPM vivyo hivyo wanazi wa JPM ukimwondoa (double agent Makonda) hawajajishughulisha kwalo.

Wapi Bashiru na yake jamaa Polepole?!

Funzo:

Malipo ni hapa hapa Duniani.
Suzy Elias, sijaona cha maana ulichokiandika hapa.. !! Kuhudhuria msiba ni utashi wa mtu mwenyewe..!! Ipo misiba mingi sana huko mitaani watu wa karibu huwa hawahudhurii kwa sababu mbalimbali. Kama mtu hajahudhuria, na hajatoa sababu, hakuna atakayemuuliza.

ILa kuonyesha kukua kiakili, wengi huwa wanahudhuria hata kama aliyefariki hakuhudhuria msiba unaomuhusu. Unadhani kwanini hakuna atakayetoka hadharani na kuanza kutamba kuwa amemkomesha Membe kwa kutohudhuria msiba wake?
 
Membe hakupata kuhudhuria wala kumlilia Magufuli kwenye kifo chake jambo ambalo mke wa Magufuli naye hajafanya kuhusu kifo cha Membe.

Ikumbukwe, wanazi wote wa upande wa Membe hawakuhudhuria ima ibada ama kuagwa kwa JPM vivyo hivyo wanazi wa JPM ukimwondoa (double agent Makonda) hawajajishughulisha kwalo.

Wapi Bashiru na yake jamaa Polepole?!

Funzo:

Malipo ni hapa hapa Duniani.
Hata Kinana hajahudhuria, lakini Lukuvi amehudhuria.
 
Membe hakupata kuhudhuria wala kumlilia Magufuli kwenye kifo chake jambo ambalo mke wa Magufuli naye hajafanya kuhusu kifo cha Membe.

Ikumbukwe, wanazi wote wa upande wa Membe hawakuhudhuria ima ibada ama kuagwa kwa JPM vivyo hivyo wanazi wa JPM ukimwondoa (double agent Makonda) hawajajishughulisha kwalo.

Wapi Bashiru na yake jamaa Polepole?!

Funzo:

Malipo ni hapa hapa Duniani.

Huwezi kumlinganisha JPM na Membe. Membe alikuwa maarufu, lkn JPM alikuwa maarufu zaidi. Membe alikuwa mbunge na Waziri wa zamani tu. Yeye atasahaulika kwa kasi ya ajabu. Atakumbukwa na wapendwa wake tu.
 
Membe hakupata kuhudhuria wala kumlilia Magufuli kwenye kifo chake jambo ambalo mke wa Magufuli naye hajafanya kuhusu kifo cha Membe.

Ikumbukwe, wanazi wote wa upande wa Membe hawakuhudhuria ima ibada ama kuagwa kwa JPM vivyo hivyo wanazi wa JPM ukimwondoa (double agent Makonda) hawajajishughulisha kwalo.

Wapi Bashiru na yake jamaa Polepole?!

Funzo:

Malipo ni hapa hapa Duniani.

Ubaya unashindwa kwa Wema, Tumtangulize Mungu, wakati wewe ni fisadi la kutupwa, jamaa alikuwa wa hovyo sana.
 
Back
Top Bottom