Kama ilivyokuwa kwa Membe kutokudhuria pia Bashiru, mke wa Magufuli na wengine wengi hawajahudhuria

Kama ilivyokuwa kwa Membe kutokudhuria pia Bashiru, mke wa Magufuli na wengine wengi hawajahudhuria

Membe hakupata kuhudhuria wala kumlilia Magufuli kwenye kifo chake jambo ambalo mke wa Magufuli naye hajafanya kuhusu kifo cha Membe.

Ikumbukwe, wanazi wote wa upande wa Membe hawakuhudhuria ima ibada ama kuagwa kwa JPM vivyo hivyo wanazi wa JPM ukimwondoa (double agent Makonda) hawajajishughulisha kwalo.

Wapi Bashiru na yake jamaa Polepole?!

Funzo:

Malipo ni hapa hapa Duniani.

Kwani kuna mtu amewataka wahudhurie? Mbona mnajilazimishia wakati watu hawawahitaji? Kwa taarifa yako hata wangeenda wangishia kuwaudhi tu hao wahusika. Msijipe umuhimu msiokuwa nao.
 
Nimependa tu ulivyotumia either or ya Kiswahili yani ima ama. Waswahili wengi siku hizi utakuta wanasema eidha ama, mmebaki wachache mnaotumia ima ama

Wanalazimisha kutohoa either ya Kingereza, hii inaleta athari ya lugha maana kwenye Kiswahili kuna neno lengine liitwalo 'aidha' ambalo lina maana tofauti na either ya kizungu aidha ya Kiswahili linamaanisha sawa na kusema 'pia kwa upande mwengine'
Mfano: Rais amekemea mmomonyoko wa maadili, aidha, ameomba viongozi wa dini waelimeshe jamii juu ya maadili mema
Darasa huru.
 
Membe hakupata kuhudhuria wala kumlilia Magufuli kwenye kifo chake jambo ambalo mke wa Magufuli naye hajafanya kuhusu kifo cha Membe.

Ikumbukwe, wanazi wote wa upande wa Membe hawakuhudhuria ima ibada ama kuagwa kwa JPM vivyo hivyo wanazi wa JPM ukimwondoa (double agent Makonda) hawajajishughulisha kwalo.

Wapi Bashiru na yake jamaa Polepole?!

Funzo:

Malipo ni hapa hapa Duniani.
Mkuu wewe utakuwa bado na sonona nzito sana kuhusu kifo cha Magufuli. Omba sana uachiwe - uwe released toka kwenye maumivu hayo makali. Hakuna mapambano wala ushindi wa heri katika misiba. Sana sana kuna kujionyesha muflisi kimaadili na kiutu (moral bankruptcy).

Tena ni kama unamuadhirisha Mama Janet Magufuli; unaichafua taswira na haiba yake njema kama vile naye amekuwa mdau wa huu ushenzi wa kukomoana katika siasa uchwara. Labda ututhibitishie kuwa amekuruhusu umsemee hivyo. Did you clear with her? Eti kafanya tit for tat kutohudhuria msiba wa Membe! She has never been known to wallow in that kind of cesspit!
 
Bashiru ndio nani mbele ya JK,kinana ,samia kiufupi hatujaona pengo hata kama angekuwepo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hutazikwa na watu wote - wkt ukifa wengine watakuwa wagonjwa hawatakuja, wengine watakuwa safarini hawatakuja, wengine watauguza hawatakuja ......
Ishi kwa ibada acha uchonganishi
 
Hivi ujinga mnaotoa wapi nyie watu.Kwahiyo misiba niyakulazimishana.kwani inaongeza au kupunguza nini?.Hopeless kabisa.
 
Membe hakupata kuhudhuria wala kumlilia Magufuli kwenye kifo chake jambo ambalo mke wa Magufuli naye hajafanya kuhusu kifo cha Membe.

Ikumbukwe, wanazi wote wa upande wa Membe hawakuhudhuria ima ibada ama kuagwa kwa JPM vivyo hivyo wanazi wa JPM ukimwondoa (double agent Makonda) hawajajishughulisha kwalo.

Wapi Bashiru na yake jamaa Polepole?!

Funzo:

Malipo ni hapa hapa Duniani.
(Double agent 😅) !??
 
Hata wasipohudhuria hawana faida yoyote.
Membe hakupata kuhudhuria wala kumlilia Magufuli kwenye kifo chake jambo ambalo mke wa Magufuli naye hajafanya kuhusu kifo cha Membe.

Ikumbukwe, wanazi wote wa upande wa Membe hawakuhudhuria ima ibada ama kuagwa kwa JPM vivyo hivyo wanazi wa JPM ukimwondoa (double agent Makonda) hawajajishughulisha kwalo.

Wapi Bashiru na yake jamaa Polepole?!

Funzo:

Malipo ni hapa hapa Duniani.
 
Membe hakupata kuhudhuria wala kumlilia Magufuli kwenye kifo chake jambo ambalo mke wa Magufuli naye hajafanya kuhusu kifo cha Membe.

Ikumbukwe, wanazi wote wa upande wa Membe hawakuhudhuria ima ibada ama kuagwa kwa JPM vivyo hivyo wanazi wa JPM ukimwondoa (double agent Makonda) hawajajishughulisha kwalo.

Wapi Bashiru na yake jamaa Polepole?!

Funzo:

Malipo ni hapa hapa Duniani.
Kweli bado makamba
 
Kuna wazito wameenda kuhakikisha kama kweli amekufa gusa ninuke kachero mbobezi
Maana walidhani yeye hatakufa.

Bado makamba pia wanasubuli kuhakikisha hilo.

Cha kumshauli siku ya kifo chake ajifiche tu au aruke aende kwa watakatifu na maneno yake yatapata uhalali.
KATAJUTRAAAAAA
 
Back
Top Bottom