Hao akina Bashiru na wote waliojihusisha na dikteta hawana maana kabisa.Membe hakupata kuhudhuria wala kumlilia Magufuli kwenye kifo chake jambo ambalo mke wa Magufuli naye hajafanya kuhusu kifo cha Membe.
Ikumbukwe, wanazi wote wa upande wa Membe hawakuhudhuria ima ibada ama kuagwa kwa JPM vivyo hivyo wanazi wa JPM ukimwondoa (double agent Makonda) hawajajishughulisha kwalo.
Wapi Bashiru na yake jamaa Polepole?!
Funzo:
Malipo ni hapa hapa Duniani.
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Kwa hiyo wasipohudhuria ndio roho yake haiendi inakopaswa kwenda? Au wao wakihudhuria ndio moja Kwa moja peponi.
Hata tufe woooote, Mie as long nikikumbuka Jiwe is no longer, roho yangu burudani sana.
Mtu mmoja aliwah kusema km vp kazikwe naye. Mtu akishaondoka ni kumtakia heri ya milele siyo Kila kukicha maneno maneno. Kwani kwenye msiba wako watahudhuria watu wote. Na je ni lazima wahudhurie. Mbona huzungumzii akina Kagame, Museven, nk ambao hawakufika kweny msiba wa huyo baba yako mzazi. Kwa kweli mnaudhi utadhani tangu Dunia imeumbwa ni yeye tu alistahili kuheshimiwa. Kumuabudu binadam mwenzio ni dalili za upungufu wa nguvu za kiume au ugumba kwa mwanamke.Membe hakupata kuhudhuria wala kumlilia Magufuli kwenye kifo chake jambo ambalo mke wa Magufuli naye hajafanya kuhusu kifo cha Membe.
Ikumbukwe, wanazi wote wa upande wa Membe hawakuhudhuria ima ibada ama kuagwa kwa JPM vivyo hivyo wanazi wa JPM ukimwondoa (double agent Makonda) hawajajishughulisha kwalo.
Wapi Bashiru na yake jamaa Polepole?!
Funzo:
Malipo ni hapa hapa Duniani.
Kumbe magufuli alikuwa na raiya??? OooooshHata sie raia wa Magufuli hatujahudhuria. Tupo bize na shughuli zetu za kila siku.
Hao wanafiki tu wanashindwa kutafuta pesa Kila kukicha wimbo wao ule ule utadhani hata wao wataishi milele au hawajawa kufiwa.We wenyewe Suzy Elias mbona hauhudhurii kumbukizi za kifo cha Jiwe? Ile ya kwanza hukuja Chato, na hii ya pili hukuonekana. Yaani mwaka huu mlimwacha mama Janeth akiwa mpweke anafarijiwa na wanafunzi wa shule za sekondari tu, nyie SG wote hamuonekani. Hii ni sawa kweli?
Uongozi wote wa serikali mkoa wa Geita na CCM Mkoa waliakacha kumbukizi ya miaka 2. Je, baada ya miaka 5 si itabaki familia yake tu ndo inayomkumbuka? Ila mitandaoni sasa mnavyojinasibu kuwa mlimpenda!
Hata Hivyo hao anaosema hata km wangehudhuria ndiyo wangebadilisha ukweli kuwa mtu kafa!! Ni ushamba na umbea tu kwa kudandia mambo yasiyo mhusu.Si wote wanaoshindwa kuhudhuria misiba wanakuwa na chuki na marehemu. Wengine huwa wana mambo yanayowazuia wasifike kwenye msiba.
Kwanza mke wa Magufuli siyo mtu anayependa attention. Na kwa vile yeye na mke wa Membe wapo kwenye lile group lao, si ajabu mama wa watu akaenda kumwona na kumpa pole mjane mwenzie kimya kimya, nafasi itakaporuhusu.
Tusipende kutafuta sababu kwa kila jambo. Wapo ndugu ambao wanashindwa kuhudhuria misiba mpaka ya wazazi wao kutokana na sababu mbalimbali.
Suzy Elias, sijaona cha maana ulichokiandika hapa.. !! Kuhudhuria msiba ni utashi wa mtu mwenyewe..!! Ipo misiba mingi sana huko mitaani watu wa karibu huwa hawahudhurii kwa sababu mbalimbali. Kama mtu hajahudhuria, na hajatoa sababu, hakuna atakayemuuliza.Membe hakupata kuhudhuria wala kumlilia Magufuli kwenye kifo chake jambo ambalo mke wa Magufuli naye hajafanya kuhusu kifo cha Membe.
Ikumbukwe, wanazi wote wa upande wa Membe hawakuhudhuria ima ibada ama kuagwa kwa JPM vivyo hivyo wanazi wa JPM ukimwondoa (double agent Makonda) hawajajishughulisha kwalo.
Wapi Bashiru na yake jamaa Polepole?!
Funzo:
Malipo ni hapa hapa Duniani.
Ongea yote lakini Kaa ukijua yanga ya tisa Sasa hivi tumekupumulia nyuma mpaka hujuweziKwa hiyo Bashiru na Janeth ni watu wazito?
Hata Kinana hajahudhuria, lakini Lukuvi amehudhuria.Membe hakupata kuhudhuria wala kumlilia Magufuli kwenye kifo chake jambo ambalo mke wa Magufuli naye hajafanya kuhusu kifo cha Membe.
Ikumbukwe, wanazi wote wa upande wa Membe hawakuhudhuria ima ibada ama kuagwa kwa JPM vivyo hivyo wanazi wa JPM ukimwondoa (double agent Makonda) hawajajishughulisha kwalo.
Wapi Bashiru na yake jamaa Polepole?!
Funzo:
Malipo ni hapa hapa Duniani.
Hawa jamaa wanapenda sana habari za kutumia misibaSukuma Gang mbona mna gubu sana na mambo ya misiba mna mambo ya kizamani sana. Aliyekufa kafa siyo lazima wote wafike msibani.
Mmeona nawapuuza na nyuzi zenu uchwara mmeamua kunifuata mpaka huku π π πOngea yote lakini Kaa ukijua yanga ya tisa Sasa hivi tumekupumulia nyuma mpaka hujuwezi
[emoji23][emoji23][emoji23]mchana mwema mkuuMmeona nawapuuza na nyuzi zenu uchwara mmeamua kunifuata mpaka huku [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Membe hakupata kuhudhuria wala kumlilia Magufuli kwenye kifo chake jambo ambalo mke wa Magufuli naye hajafanya kuhusu kifo cha Membe.
Ikumbukwe, wanazi wote wa upande wa Membe hawakuhudhuria ima ibada ama kuagwa kwa JPM vivyo hivyo wanazi wa JPM ukimwondoa (double agent Makonda) hawajajishughulisha kwalo.
Wapi Bashiru na yake jamaa Polepole?!
Funzo:
Malipo ni hapa hapa Duniani.
Membe hakupata kuhudhuria wala kumlilia Magufuli kwenye kifo chake jambo ambalo mke wa Magufuli naye hajafanya kuhusu kifo cha Membe.
Ikumbukwe, wanazi wote wa upande wa Membe hawakuhudhuria ima ibada ama kuagwa kwa JPM vivyo hivyo wanazi wa JPM ukimwondoa (double agent Makonda) hawajajishughulisha kwalo.
Wapi Bashiru na yake jamaa Polepole?!
Funzo:
Malipo ni hapa hapa Duniani.