Watu wanahangaika na issue ya Kariakoo wewe unaleta majungu. Unawaza chuki mpaka lini. Mbona hizi chuki hazikiwepo kwa Nyerere Mkapa au Maalim Seif?.Membe hakupata kuhudhuria wala kumlilia Magufuli kwenye kifo chake jambo ambalo mke wa Magufuli naye hajafanya kuhusu kifo cha Membe.
Ikumbukwe, wanazi wote wa upande wa Membe hawakuhudhuria ima ibada ama kuagwa kwa JPM vivyo hivyo wanazi wa JPM ukimwondoa (double agent Makonda) hawajajishughulisha kwalo.
Wapi Bashiru na yake jamaa Polepole?!
Funzo:
Malipo ni hapa hapa Duniani.
Wakihudhuria hao halafu ndo inakuwaje?Membe hakupata kuhudhuria wala kumlilia Magufuli kwenye kifo chake jambo ambalo mke wa Magufuli naye hajafanya kuhusu kifo cha Membe.
Ikumbukwe, wanazi wote wa upande wa Membe hawakuhudhuria ima ibada ama kuagwa kwa JPM vivyo hivyo wanazi wa JPM ukimwondoa (double agent Makonda) hawajajishughulisha kwalo.
Wapi Bashiru na yake jamaa Polepole?!
Funzo:
Malipo ni hapa hapa Duniani.
Makonda ndio alikuwa mtoto pendwa wa Magufuli na kahudhuria Msiba. Wewe una lako jamboMembe hakupata kuhudhuria wala kumlilia Magufuli kwenye kifo chake jambo ambalo mke wa Magufuli naye hajafanya kuhusu kifo cha Membe.
Ikumbukwe, wanazi wote wa upande wa Membe hawakuhudhuria ima ibada ama kuagwa kwa JPM vivyo hivyo wanazi wa JPM ukimwondoa (double agent Makonda) hawajajishughulisha kwalo.
Wapi Bashiru na yake jamaa Polepole?!
Funzo:
Malipo ni hapa hapa Duniani.
Mbunge wa Viti maalum.Hivi huyo Bashiru ana cheo gani Kwa sasa?🤣🤣🤣🤣
Hao kutokwenda familia ya Membe au Membe mwenye atapata hasara gani?! Simply nothing.Membe hakupata kuhudhuria wala kumlilia Magufuli kwenye kifo chake jambo ambalo mke wa Magufuli naye hajafanya kuhusu kifo cha Membe.
Ikumbukwe, wanazi wote wa upande wa Membe hawakuhudhuria ima ibada ama kuagwa kwa JPM vivyo hivyo wanazi wa JPM ukimwondoa (double agent Makonda) hawajajishughulisha kwalo.
Wapi Bashiru na yake jamaa Polepole?!
Funzo:
Malipo ni hapa hapa Duniani.
Id yako ya marytina imepigwa ban?Kwa hiyo wasipohudhuria ndio roho yake haiendi inakopaswa kwenda? Au wao wakihudhuria ndio moja Kwa moja peponi.
Hata tufe woooote, Mie as long nikikumbuka Jiwe is no longer, roho yangu burudani sana.
Cha msingi na sisi tuliokuwa tuna muunga mkono jpm mpaka pale kifo kilipotutenganisha tumefurahishwa na kifo cha wale wazuri hawafi.Sasa kwani hatazikwa Tena ameagwa na wazito wengi sembuse hao vidagaa, pamchoyo Po mmabelu mwee
Hapo kuna malipo gani?? Maziko ya JPM yalifanyika ilivyopaswa na ya BM yanaenda kama olivyopaswa.Membe hakupata kuhudhuria wala kumlilia Magufuli kwenye kifo chake jambo ambalo mke wa Magufuli naye hajafanya kuhusu kifo cha Membe.
Ikumbukwe, wanazi wote wa upande wa Membe hawakuhudhuria ima ibada ama kuagwa kwa JPM vivyo hivyo wanazi wa JPM ukimwondoa (double agent Makonda) hawajajishughulisha kwalo.
Wapi Bashiru na yake jamaa Polepole?!
Funzo:
Malipo ni hapa hapa Duniani.
Ndio tofauti ya kifo Cha Maalim seif na Magufuli. Maalim Seif kaaja wazanzibar wamoja ila Magufuli kaacha watu wanashangilia vifo na mgawanyiko. Kesho akifa mama Magufuli Kuna watu watashangangilia and vice versa, tunakoelekea siko.Cha msingi na sisi tuliokuwa tuna muunga mkono jpm mpaka pale kifo kilipotutenganisha tumefurahishwa na kifo cha wale wazuri hawafi.
Khaaaaa 😀 😀 yale mashuzi ya Simba mlivimbiwa mpk mkaomba poo...mkasema sasa baaaasiiOngea yote lakini Kaa ukijua yanga ya tisa Sasa hivi tumekupumulia nyuma mpaka hujuwezi
kwa hivyo Membe hatozikwa au vipi? Au hatapewa punguzo la dhambi kwa vile hao vigogo hawapo kwenye kuaga?Membe hakupata kuhudhuria wala kumlilia Magufuli kwenye kifo chake jambo ambalo mke wa Magufuli naye hajafanya kuhusu kifo cha Membe.
Ikumbukwe, wanazi wote wa upande wa Membe hawakuhudhuria ima ibada ama kuagwa kwa JPM vivyo hivyo wanazi wa JPM ukimwondoa (double agent Makonda) hawajajishughulisha kwalo.
Wapi Bashiru na yake jamaa Polepole?!
Funzo:
Malipo ni hapa hapa Duniani.
Haya maswali mngeyarudisha na walivyogomea mazishi ya Magufuli walipunguza nini?Sasa kwani hatazikwa Tena ameagwa na wazito wengi sembuse hao vidagaa, pamchoyo Po mmabelu mwee
Walipogomea mazishi ya mwamba hakuzikwa?Kwa hiyo wasipohudhuria ndio roho yake haiendi inakopaswa kwenda? Au wao wakihudhuria ndio moja Kwa moja peponi.
Hata tufe woooote, Mie as long nikikumbuka Jiwe is no longer, roho yangu burudani sana.
Viongozi wetu wa juu wangetoka kukemea,Tunakoelekea siko kuzuri, kesho akifa mama yake Magufuli watu washangilie?. Hii chuki ikipandwa tutafika sehemu waliyofikia Rwanda mwaka 1994.
Kutokuhudhuria kwao ndio kutamfufua Mpendwa wetu Mwendakuzimu Shujaa wa Africa ?Membe hakupata kuhudhuria wala kumlilia Magufuli kwenye kifo chake jambo ambalo mke wa Magufuli naye hajafanya kuhusu kifo cha Membe.
Ikumbukwe, wanazi wote wa upande wa Membe hawakuhudhuria ima ibada ama kuagwa kwa JPM vivyo hivyo wanazi wa JPM ukimwondoa (double agent Makonda) hawajajishughulisha kwalo.
Wapi Bashiru na yake jamaa Polepole?!
Funzo:
Malipo ni hapa hapa Duniani.
Haswaaaaa, Burdaaaaaaan KabisaKwa hiyo wasipohudhuria ndio roho yake haiendi inakopaswa kwenda? Au wao wakihudhuria ndio moja Kwa moja peponi.
Hata tufe woooote, Mie as long nikikumbuka Jiwe is no longer, roho yangu burudani sana.