Membe hakupata kuhudhuria wala kumlilia Magufuli kwenye kifo chake jambo ambalo mke wa Magufuli naye hajafanya kuhusu kifo cha Membe.
Ikumbukwe, wanazi wote wa upande wa Membe hawakuhudhuria ima ibada ama kuagwa kwa JPM vivyo hivyo wanazi wa JPM ukimwondoa (double agent Makonda) hawajajishughulisha kwalo.
Wapi Bashiru na yake jamaa Polepole?!
Funzo:
Malipo ni hapa hapa Duniani.
Darasa huru.Nimependa tu ulivyotumia either or ya Kiswahili yani ima ama. Waswahili wengi siku hizi utakuta wanasema eidha ama, mmebaki wachache mnaotumia ima ama
Wanalazimisha kutohoa either ya Kingereza, hii inaleta athari ya lugha maana kwenye Kiswahili kuna neno lengine liitwalo 'aidha' ambalo lina maana tofauti na either ya kizungu aidha ya Kiswahili linamaanisha sawa na kusema 'pia kwa upande mwengine'
Mfano: Rais amekemea mmomonyoko wa maadili, aidha, ameomba viongozi wa dini waelimeshe jamii juu ya maadili mema
Acha uchokoziJiwe is no longer, roho yangu burudani sana.
Mkuu wewe utakuwa bado na sonona nzito sana kuhusu kifo cha Magufuli. Omba sana uachiwe - uwe released toka kwenye maumivu hayo makali. Hakuna mapambano wala ushindi wa heri katika misiba. Sana sana kuna kujionyesha muflisi kimaadili na kiutu (moral bankruptcy).Membe hakupata kuhudhuria wala kumlilia Magufuli kwenye kifo chake jambo ambalo mke wa Magufuli naye hajafanya kuhusu kifo cha Membe.
Ikumbukwe, wanazi wote wa upande wa Membe hawakuhudhuria ima ibada ama kuagwa kwa JPM vivyo hivyo wanazi wa JPM ukimwondoa (double agent Makonda) hawajajishughulisha kwalo.
Wapi Bashiru na yake jamaa Polepole?!
Funzo:
Malipo ni hapa hapa Duniani.
(Double agent 😅) !??Membe hakupata kuhudhuria wala kumlilia Magufuli kwenye kifo chake jambo ambalo mke wa Magufuli naye hajafanya kuhusu kifo cha Membe.
Ikumbukwe, wanazi wote wa upande wa Membe hawakuhudhuria ima ibada ama kuagwa kwa JPM vivyo hivyo wanazi wa JPM ukimwondoa (double agent Makonda) hawajajishughulisha kwalo.
Wapi Bashiru na yake jamaa Polepole?!
Funzo:
Malipo ni hapa hapa Duniani.
Iv ule mzoga tayri umefukiwa nahisi harufu ya uvundoSasa kwani hatazikwa Tena ameagwa na wazito wengi sembuse hao vidagaa, pamchoyo Po mmabelu mwee
Kufukiwa sio kuzikwaKuzikwa atazikwa tu, ata na manispaa
Membe hakupata kuhudhuria wala kumlilia Magufuli kwenye kifo chake jambo ambalo mke wa Magufuli naye hajafanya kuhusu kifo cha Membe.
Ikumbukwe, wanazi wote wa upande wa Membe hawakuhudhuria ima ibada ama kuagwa kwa JPM vivyo hivyo wanazi wa JPM ukimwondoa (double agent Makonda) hawajajishughulisha kwalo.
Wapi Bashiru na yake jamaa Polepole?!
Funzo:
Malipo ni hapa hapa Duniani.
Kweli bado makambaMembe hakupata kuhudhuria wala kumlilia Magufuli kwenye kifo chake jambo ambalo mke wa Magufuli naye hajafanya kuhusu kifo cha Membe.
Ikumbukwe, wanazi wote wa upande wa Membe hawakuhudhuria ima ibada ama kuagwa kwa JPM vivyo hivyo wanazi wa JPM ukimwondoa (double agent Makonda) hawajajishughulisha kwalo.
Wapi Bashiru na yake jamaa Polepole?!
Funzo:
Malipo ni hapa hapa Duniani.
Mmefukia ndunduka wenuSasa kwani hatazikwa Tena ameagwa na wazito wengi sembuse hao vidagaa, pamchoyo Po mmabelu mwee
kwa hivyo hakuna mantiki ya kulinganishwa kwa matukio hayo mawili, kila mmoja amezikwa kivyake.Walipogomea mazishi ya mwamba hakuzikwa?
Tungepiga nyundo takichwa arudi huko
KATAJUTRAAAAAAKuna wazito wameenda kuhakikisha kama kweli amekufa gusa ninuke kachero mbobezi
Maana walidhani yeye hatakufa.
Bado makamba pia wanasubuli kuhakikisha hilo.
Cha kumshauli siku ya kifo chake ajifiche tu au aruke aende kwa watakatifu na maneno yake yatapata uhalali.