Kama Israel imeweza kushawishi mataifa makubwa Duniani kuwa upande wao naona wana akili kubwa sana

Kama Israel imeweza kushawishi mataifa makubwa Duniani kuwa upande wao naona wana akili kubwa sana

Wewe unaweweseka na utawala wa Ayatollah kuliko Wairan wenyewe una matatizo gani ?
Wairan hawana shaida na Israel
Utawala wa Ayatollah ndo umeaapa kuifuta Israel kwenye ramani
Kuna wairan wanatamani utawala wa Ayatollah uanguke hata leo
 
Ikatokea umekutana na mtu anakusikiliza na unataka msaada wake ongea naye katika mtindo wa mutual benefit.

Muonyeshe interests zake atazipataje.
 
Mtaongea mengi Iran kaweka history kwanza aliwajulisha kabla ya masaa 72 kuwa atapiga wapi US, UK, France na Jordan, Egypt, UAE, Saud Arabia wakawa nazingoja hizo drones na Missiles pale Jordan.

Hata Israel alituma ndege zake zikawa zinazingojea drones na Missiles kwenye ardhi ya Jorda na zingine ndani ya Israel na juu ya hayo yote Iran kapiga target zake 💯

Nyie bakini mnabweka tu hapa, Iran haiwezekani hata US analijua hilo.
 
Wayahudi ndio wanaotawala Dunia.Wayahudi hawapo Israel pekee wapo Urusi,Iran,Usa,Ulaya yote wakimiliki mifumo yote ya kiuchumi.
Ukitaka kuuelewa ukuu wa wayahudi na kivipi wanatawala Dunia.Sekta zote Dunia sio sinema Muzik Hollywood ni wao,ukitaka kuwajua zaidi soma kuhusu top 13 illuminated bloodline family,hizi ni familia 13 ndizo zinaimiliki hii dunia wote Hawa wanavinasaba vya uyahudi na ndio umiliki uchumi wa Dunia.
China yupo mbioni kuchukua uongozi. So far wayahudi wangapi wanaitawala China ?
 
Wakuu naona watu wengi wanalalamika Israel kusaidiwa na mataifa makubwa hivyo kwa upande wangu naona tofauti

Kwanza ndege wanaofana wanaruka pamoja

Kama tunavyoona nchi zenye race Fulani zinaweza kusaidiana

Au nchi zenye mrengo wa dini Fulani zikisaidiana

Pia matajiri kwa matajiri husaidiana na maskini kwa maskini mara nyingi husaidiana hivyo ni kwanini ya kiasili kabisa

Sasa swali nalojiuliza ni kitu gani common kinachofanya mataifa makubwa kusaidia Israel , hata wakati mwingine nchi zinaingia hasara kubwa ya Kodi ya wananchi wao bila kujali pia kujiweka kwenye hatari ya kivita

Pia Sina uhakika Kama Israel wako NATO ambayo ingewapa sababu ya moja kwa moja kusaidiwa

Kwa hivyo nimegundua Hili taifa Lina akili kubwa Sana kuingiza mataifa makubwa vitani kukaa upande wao
Lakini pia Kuna uwezekano mkubwa Hawa watu wamekamata maeneo nyeti kabisa ya hayo mataifa
Haiwezekani utetekeze Kodi za wananchi wako na kuweka usalama wao hatarini kwenye vita ambayo haikuhusu

MWISHO naanza kuamini Hawa mijamaa lazima Yule Mungu wao wa Israel tuliyesoma habari zake aliyewasaidia kwa miaka maelfu iliyopita

Yuko upande wao

Maana aliwahidi mataifa watamtumikia Israel kwa hiyo amewapa akili ya kukaa na mataifa makubwa
Ni maoni yangu karibu ya kwako
Waliowatengenezea Taifa hilo ndio wanawasaidia kwa malengo ya kupanua himaya,ushawishi na hata kuitawala Dunia kupitia hao kwa kuwa Historia ya uwepo wao hapo zamani ipo haijalishi Imani yao.
 
Naona umehama mada
Ukawa interested na Mungu wa Israel

Ok labda nikueleweshe
Kwa asili makabila yote Tanzania na pengine Africa yalikuwa na Miungu yao asili
Fuatilia historia utajua

Lakini pia hata wazungu kabla ya Injili ya kufika kwao kupitia kwa mtume Paulo walikuwa na Miungu yao pia
Kama ambavyo tunaona wahindi asilimia kubwa wanabudu

Vile vile hata wazee wa Wana wa Israel walikuwa na Miungu yao
Ambayo waliibudu
Maana kwa asili Waisrael Babu yao Ibrahimu alitokea uru ya wakaldayo
Ambayo ndo Iraq ya Sasa hivi na zamani pia iliitwa Babeli

Kwa hiyo Mungu Alianza kuijifunua kwa Ibrahimu miaka zaidi ya elfu sita iliyopita na baada ya Ibrahimu kumwamini kati mamillion ya watu waliokuwepo akawwka Agano kuitwa jina la Mungu wa Ibrahimu Isaka na Israel na uzao wote wa Ibrahimu
"Mungu wa Israel" Wewe asili yako ipi ? Hili swali linaweza kuwa gumu kwako tufanye hivi, Wewe kabila gani ?
 
Naona umehama mada
Ukawa interested na Mungu wa Israel

Ok labda nikueleweshe
Kwa asili makabila yote Tanzania na pengine Africa yalikuwa na Miungu yao asili
Fuatilia historia utajua

Lakini pia hata wazungu kabla ya Injili ya kufika kwao kupitia kwa mtume Paulo walikuwa na Miungu yao pia
Kama ambavyo tunaona wahindi asilimia kubwa wanabudu

Vile vile hata wazee wa Wana wa Israel walikuwa na Miungu yao
Ambayo waliibudu
Maana kwa asili Waisrael Babu yao Ibrahimu alitokea uru ya wakaldayo
Ambayo ndo Iraq ya Sasa hivi na zamani pia iliitwa Babeli

Kwa hiyo Mungu Alianza kuijifunua kwa Ibrahimu miaka zaidi ya elfu sita iliyopita na baada ya Ibrahimu kumwamini kati mamillion ya watu waliokuwepo akawwka Agano kuitwa jina la Mungu wa Ibrahimu Isaka na Israel na uzao wote wa Ibrahimu
Hiki ndicho nilicho kuuliza katika swali langu ? au umejibu tu chochote kilichopo kichwani mwako
 
Hii ni kwa mujibu wa matamanio yako.

Kwani Jamhuri ya kiislam ya Iran ilijiweka yenyewe ?
Ndio Ayatollah amejiweka mwenyewe kwenye hiyo nafasi ambayo haigombewi na MTU yeyote

Aite uchaguzi HURU na haki kwenye hiyo nafasi tuone
 
mkuu inaonekana kuna vitu vingi hujui,

amerika ya kaskazini yote, australia na hio israel kote huko hao ni walowezi wa kiingereza,.... pale amerika ya kaskazini wameua sana wenyeji ili wao wamiliki ardhi ile, kule australia pia wameua sana wenyeji, wale unaowaona ni walowezi wa kiingereza!

hao wanaoitwa Israel ni walowezi wa kiingereza, sema wanashindwa kusafiaha (kuua wenyeji wote kama walivyofanya amerika na australia) kwa sababu dunia kwa sasa ipo wazi, ingekua miaka ya 1600 huko wangesafisha ile ardhi......
 
Israel ni vibaraka wa Marekani. Wapo Middle East kuleta vurugu na ubabe ili Marekani aweze kutawala Middle East yote kwa ufasaha. Iran ndio kisiki kilichobakia ambacho wakifanikiwa kukilegeza basi watatawala vizuri na kuwaendesha kama walivyofanikiwa kututawala Africa
 
Back
Top Bottom