Kama Kazi ya Uenezi imemshinda Paul Christian Makonda nani ataiweza?

Kinana amewahi kuwa Mwenezi CCM?
 
Kinana amewahi kuwa Mwenezi CCM?
 
Kibali cha kutishia kuwapoteza watu
 
.....afanyiwe figisu na nani....wakati yeye mwenyewe mwehu
 
Bashite ni muuaji, hicho kibali kakitoa wapi?
 
Daudi ni zero brain yule. Huwezi kuwafokea watu hovyo. Yule hastahili hata ukatibu tarafa.
 
Nilipoona uenezi eti aliuweza kinana nikaishia hapo kuusoma uongo wako.
Huyo makonda ninani kwako?
Mada nyingine hazistahili jukwaani
 
Nilipoona uenezi eti aliuweza kinana nikaishia hapo kuusoma uongo wako.
Huyo makonda ninani kwako?
Mada nyingine hazistahili jukwaani
Ni mafaili tu yameingia virus hapo alikuwa atajwe Mh Nape Nauye
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…