Bams
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 19,362
- 48,879
Ukiwapima kikazi kati ya makonda vs makalla, utagundua makalla ni mwepesi sana, makonda jitu la kazi wengine wote hamna kitu. Akishindwa paul siamini kama kuna mwengine ataiwezea hiyo shughuli
Makonda hawezi kufanikisha kitu chochote kinachohitaji akili na hekima