Kama Kazi ya Uenezi imemshinda Paul Christian Makonda nani ataiweza?

Kama Kazi ya Uenezi imemshinda Paul Christian Makonda nani ataiweza?

Wazungu wanasema the Bone that Failed the Heyna, who can?

Kazi ya Uenezi ndani ya ccm aliyeiweza kwa ufasaha alikuwa Abdulrahman Kinana miaka ya 2010.

Tangu hapo Chama cha Mapinzudi hakijawahi kupata mtu sahihi, hata walipojaribu kuteua watu wenye dosali ktk jamii bado napo imekuwa ngumu kufikia mafanikio wayatakayo.

Inaskitisha kuwa ndani ya miaka mitano tu tayari nafasi hiyo imeshikwa na Viongozi zaidi ya wa nne.

Hii maana yake ni nini? Kutapa tapa?

Alianza Hamphrey Polepole, Shaka Abdul Shaka na baadae Mjema kabla ya Paul Makonda.

Kama hawa wote hawakideliver Results je nani anaweza ktk mazingira ya namna hii.

Pole sana Ndugu Mwenezi Mpya, nakupa pole kwa sababu una kazi ngumu sana ya Kuperform zaidi ya Paul Makonda.

Kazi ambayo sioni kama utatoboa, Expectation za Chama chako ni kubwa kuliko uhalisia.

Changa vizuri karata zako lakini ujiandae kwa lolote.

Mfupa uliomshinda Fisi nani atauweza?
Kazi hiyo ni nyepesi sana!
Unachotakiwa kufanya ni kuwa mwangalifu usiwaharass wakubwa !!
Makonda alidhani bado yupo kwenye dahari ile !
Ndicho kilichomcost ambacho piga ua huyu wa sasa hawezi kukifanya kamwe !
🙏
 
Kazi hiyo ni nyepesi sana!
Unachotakiwa kufanya ni kuwa mwangalifu usiwaharass wakubwa !!
Makonda alidhani bado yupo kwenye dahari ile !
Ndicho kilichomcost ambacho piga ua huyu wa sasa hawezi kukifanya kamwe !
🙏
Ccm hawana cha kueneza tena sana sana watawaonea hao viongozi wa Uenezei
 
Kazi hiyo ni nyepesi sana!
Unachotakiwa kufanya ni kuwa mwangalifu usiwaharass wakubwa !!
Makonda alidhani bado yupo kwenye dahari ile !
Ndicho kilichomcost ambacho piga ua huyu wa sasa hawezi kukifanya kamwe !
[emoji120]
Sasa usipowaharasi, Taifa litaendaje kwa kasi inayotakiwa?
Kazi ya Chama Cha siasa yapasa kuwa Ni kuwapa watu dhamana ya uongozi na kufuatilia utendaji wao!
Kimantiki, viongozi wote, hata Rais wanapaswa kudhughulikiwa na Chama!

Sikushangai Sana, akili za kiafrika ndo hizo!

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Sasa usipowaharasi, Taifa litaendaje kwa kasi inayotakiwa?
Kazi ya Chama Cha siasa yapasa kuwa Ni kuwapa watu dhamana ya uongozi na kufuatilia utendaji wao!
Kimantiki, viongozi wote, hata Rais wanapaswa kudhughulikiwa na Chama!

Sikushangai Sana, akili za kiafrika ndo hizo!

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Ukiwaharas ujue umejiharas na kujinajis. Hakujua mipaka yake. Hakuna mamlaka yasiyona mipaka
 
Hivi 2010 Kinana alikuwa mwenezi wa ccm???

Nakumbuka kuwa Kinana alikuwa katibu mkuu na Nape ndiye alikuwa mwenezi
 
Makonda hajakishurutisha Chama kimpe mafungu ya ziara!
Alichofanya ni kuwasilisha mpango kazi wa ziara zake, then Chama kikaridhia na kumpa mafungu na magari,
Kama ziara zake ni uharibifu wa Kodi, Basi peleka lawama zako kwa chama

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Vyovyote vile ni matumizi mabaya ya kodi za Watanzania.

Msafara kama ule wa Bashite hata PM Sunak wa Uingereza hana

Halafu linganisha hali za uchumi wa Tz na UK
 
Back
Top Bottom