Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
- Thread starter
- #61
Sabay rekodi zake mahakamani ni chafu....wangempaWampe sabaya maana ndugai hana uvumilivu SABAYA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sabay rekodi zake mahakamani ni chafu....wangempaWampe sabaya maana ndugai hana uvumilivu SABAYA
Maza Aliambiwa Makonda atakuja kugombea Urais ,Maza anaogopa utadhani atatawala mileleWazungu wanasema the Bone that Failed the Heyna, who can?
Kazi ya Uenezi ndani ya ccm aliyeiweza kwa ufasaha alikuwa Abdulrahman Kinana miaka ya 2010.
Tangu hapo Chama cha Mapinzudi hakijawahi kupata mtu sahihi, hata walipojaribu kuteua watu wenye dosali ktk jamii bado napo imekuwa ngumu kufikia mafanikio wayatakayo.
Inaskitisha kuwa ndani ya miaka mitano tu tayari nafasi hiyo imeshikwa na Viongozi zaidi ya wa nne.
Hii maana yake ni nini? Kutapa tapa?
Alianza Hamphrey Polepole, Shaka Abdul Shaka na baadae Mjema kabla ya Paul Makonda.
Kama hawa wote hawakideliver Results je nani anaweza ktk mazingira ya namna hii.
Pole sana Ndugu Mwenezi Mpya, nakupa pole kwa sababu una kazi ngumu sana ya Kuperform zaidi ya Paul Makonda.
Kazi ambayo sioni kama utatoboa, Expectation za Chama chako ni kubwa kuliko uhalisia.
Changa vizuri karata zako lakini ujiandae kwa lolote.
Mfupa uliomshinda Fisi nani atauweza?
Ndo maana wamemtoa kwenye ueneziMakonda hajakishurutisha Chama kimpe mafungu ya ziara!
Alichofanya ni kuwasilisha mpango kazi wa ziara zake, then Chama kikaridhia na kumpa mafungu na magari,
Kama ziara zake ni uharibifu wa Kodi, Basi peleka lawama zako kwa chama
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Usinishangae mimi maana mimi naamini Makonda alikuwa sahihi lakini Haikukubalika kwa wazito na haiwezi kukubalika ile style kwa sababu itaonekana wanamfuata yule Jamaa na style zake zilivyokuwa za Uongozi !Sasa usipowaharasi, Taifa litaendaje kwa kasi inayotakiwa?
Kazi ya Chama Cha siasa yapasa kuwa Ni kuwapa watu dhamana ya uongozi na kufuatilia utendaji wao!
Kimantiki, viongozi wote, hata Rais wanapaswa kudhughulikiwa na Chama!
Sikushangai Sana, akili za kiafrika ndo hizo!
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Yaan katibu mwenezi anatembelea magari 20 yule jamaa nimemdharau sanaVyovyote vile ni matumizi mabaya ya kodi za Watanzania.
Msafara kama ule wa Bashite hata PM Sunak wa Uingereza hana
Halafu linganisha hali za uchumi wa Tz na UK
Yule jamaa wa hovyo sanaYaan katibu mwenezi anatembelea magari 20 yule jamaa nimemdharau sana
CCM NI SIKIO LA KUFA.Ndio maana inatapatapa kila kukicha.wala hawajui cha kufanya.Wazungu wanasema the Bone that Failed the Heyna, who can?
Kazi ya Uenezi ndani ya ccm aliyeiweza kwa ufasaha alikuwa Abdulrahman Kinana miaka ya 2010.
Tangu hapo Chama cha Mapinzudi hakijawahi kupata mtu sahihi, hata walipojaribu kuteua watu wenye dosali ktk jamii bado napo imekuwa ngumu kufikia mafanikio wayatakayo.
Inaskitisha kuwa ndani ya miaka mitano tu tayari nafasi hiyo imeshikwa na Viongozi zaidi ya wa nne.
Hii maana yake ni nini? Kutapa tapa?
Alianza Hamphrey Polepole, Shaka Abdul Shaka na baadae Mjema kabla ya Paul Makonda.
Kama hawa wote hawakideliver Results je nani anaweza ktk mazingira ya namna hii.
Pole sana Ndugu Mwenezi Mpya, nakupa pole kwa sababu una kazi ngumu sana ya Kuperform zaidi ya Paul Makonda.
Kazi ambayo sioni kama utatoboa, Expectation za Chama chako ni kubwa kuliko uhalisia.
Changa vizuri karata zako lakini ujiandae kwa lolote.
Mfupa uliomshinda Fisi nani atauweza?
kabla ya march 2025 atachaguliwa tena mwingine,ndani ya ccm uenezi sasa hivi ni mwaka mojamoja, kila mtu apitie kuongeza cv,kama wamemkosa mtu sahihi waache tu wazi hiyo nafasi ukizingatia takriban miaka 48 ya utawala wao watakuwa na lipi jipya la kuenezaWazungu wanasema the Bone that Failed the Heyna, who can?
Kazi ya Uenezi ndani ya ccm aliyeiweza kwa ufasaha alikuwa Abdulrahman Kinana miaka ya 2010.
Tangu hapo Chama cha Mapinzudi hakijawahi kupata mtu sahihi, hata walipojaribu kuteua watu wenye dosali ktk jamii bado napo imekuwa ngumu kufikia mafanikio wayatakayo.
Inaskitisha kuwa ndani ya miaka mitano tu tayari nafasi hiyo imeshikwa na Viongozi zaidi ya wa nne.
Hii maana yake ni nini? Kutapa tapa?
Alianza Hamphrey Polepole, Shaka Abdul Shaka na baadae Mjema kabla ya Paul Makonda.
Kama hawa wote hawakideliver Results je nani anaweza ktk mazingira ya namna hii.
Pole sana Ndugu Mwenezi Mpya, nakupa pole kwa sababu una kazi ngumu sana ya Kuperform zaidi ya Paul Makonda.
Kazi ambayo sioni kama utatoboa, Expectation za Chama chako ni kubwa kuliko uhalisia.
Changa vizuri karata zako lakini ujiandae kwa lolote.
Mfupa uliomshinda Fisi nani atauweza?
Si alikua anafanya kazi lakini
Amos Makalla atakuja na ngapi?
kabla ya march 2025 atachaguliwa tena mwingineWazungu wanasema the Bone that Failed the Heyna, who can?
Kazi ya Uenezi ndani ya ccm aliyeiweza kwa ufasaha alikuwa Abdulrahman Kinana miaka ya 2010.
Tangu hapo Chama cha Mapinzudi hakijawahi kupata mtu sahihi, hata walipojaribu kuteua watu wenye dosali ktk jamii bado napo imekuwa ngumu kufikia mafanikio wayatakayo.
Inaskitisha kuwa ndani ya miaka mitano tu tayari nafasi hiyo imeshikwa na Viongozi zaidi ya wa nne.
Hii maana yake ni nini? Kutapa tapa?
Alianza Hamphrey Polepole, Shaka Abdul Shaka na baadae Mjema kabla ya Paul Makonda.
Kama hawa wote hawakideliver Results je nani anaweza ktk mazingira ya namna hii.
Pole sana Ndugu Mwenezi Mpya, nakupa pole kwa sababu una kazi ngumu sana ya Kuperform zaidi ya Paul Makonda.
Kazi ambayo sioni kama utatoboa, Expectation za Chama chako ni kubwa kuliko uhalisia.
Changa vizuri karata zako lakini ujiandae kwa lolote.
Mfupa uliomshinda Fisi nani atauweza?
kitengo cha propaganda kina ulaji tu mzuri,ujue kutengeneza fitinaNani anajua nafasi hiyo ya uenezi katika chama malipo yake yapoje
Uenezi una tija gani kwenye taifa hili?Si alikua anafanya kazi lakini
Wewe huna kibali machoni pa Mungu!! Mafanikio mnayoyataja ya Makonda ni kuita watu kusikiliza kero zao na kuwaambia wasijaribu mahakamani,huko ni kwa ya wenye pesa tu!! Ccm imeunda serikali yenyewe pamoja na mahakama na jeshi la polisi. Vyombo hivi ndivyo vinalalamikiwa sana, na ukiangalia unagundua ccm ndiyo chanzo cha ufanisi mdogo wa vyombo hivyo na hasa kwa kuviingiza kwenye siasa.kuna wakati ccm huwa sielewi mkuu, ila Paul mimi mwenyewe niliweka imani kubwa sana...inawezekana uongozini kuna makundi...watu (baadhi ya viongozi kichama)hawapendi kuona Paul anapewa sifa binafsi na wananchi na makundi mengine mbalimbali...wana wivu wanaamua kumfanyia figisu. Ila naamini Paul ana kibali mbele za Mungu na mbele za watu... ni ngumu sana kumshusha mtu huyu
Shida yake ni UkatiliKigezo kikubwa katika nafasi hii ni laizma mtu uwe na mvuto mkubwa wa kisiasa makonda alifaa
HahahaIla mnavyomsifu Makonda huwa naona Kama unafiki.