Kama Kazi ya Uenezi imemshinda Paul Christian Makonda nani ataiweza?

Kama Kazi ya Uenezi imemshinda Paul Christian Makonda nani ataiweza?

Sio kama kazi ilimshinda, ila amewekwa mahali pa utawala zaidi, muwakilishi wa mama.
 
Wazungu wanasema the Bone that Failed the Heyna, who can?

Kazi ya Uenezi ndani ya ccm aliyeiweza kwa ufasaha alikuwa Abdulrahman Kinana miaka ya 2010.

Tangu hapo Chama cha Mapinzudi hakijawahi kupata mtu sahihi, hata walipojaribu kuteua watu wenye dosali ktk jamii bado napo imekuwa ngumu kufikia mafanikio wayatakayo.

Inaskitisha kuwa ndani ya miaka mitano tu tayari nafasi hiyo imeshikwa na Viongozi zaidi ya wa nne.

Hii maana yake ni nini? Kutapa tapa?

Alianza Hamphrey Polepole, Shaka Abdul Shaka na baadae Mjema kabla ya Paul Makonda.

Kama hawa wote hawakideliver Results je nani anaweza ktk mazingira ya namna hii.

Pole sana Ndugu Mwenezi Mpya, nakupa pole kwa sababu una kazi ngumu sana ya Kuperform zaidi ya Paul Makonda.

Kazi ambayo sioni kama utatoboa, Expectation za Chama chako ni kubwa kuliko uhalisia.

Changa vizuri karata zako lakini ujiandae kwa lolote.

Mfupa uliomshinda Fisi nani atauweza?
Maza Aliambiwa Makonda atakuja kugombea Urais ,Maza anaogopa utadhani atatawala milele
 
Sasa usipowaharasi, Taifa litaendaje kwa kasi inayotakiwa?
Kazi ya Chama Cha siasa yapasa kuwa Ni kuwapa watu dhamana ya uongozi na kufuatilia utendaji wao!
Kimantiki, viongozi wote, hata Rais wanapaswa kudhughulikiwa na Chama!

Sikushangai Sana, akili za kiafrika ndo hizo!

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Usinishangae mimi maana mimi naamini Makonda alikuwa sahihi lakini Haikukubalika kwa wazito na haiwezi kukubalika ile style kwa sababu itaonekana wanamfuata yule Jamaa na style zake zilivyokuwa za Uongozi !
 
Wazungu wanasema the Bone that Failed the Heyna, who can?

Kazi ya Uenezi ndani ya ccm aliyeiweza kwa ufasaha alikuwa Abdulrahman Kinana miaka ya 2010.

Tangu hapo Chama cha Mapinzudi hakijawahi kupata mtu sahihi, hata walipojaribu kuteua watu wenye dosali ktk jamii bado napo imekuwa ngumu kufikia mafanikio wayatakayo.

Inaskitisha kuwa ndani ya miaka mitano tu tayari nafasi hiyo imeshikwa na Viongozi zaidi ya wa nne.

Hii maana yake ni nini? Kutapa tapa?

Alianza Hamphrey Polepole, Shaka Abdul Shaka na baadae Mjema kabla ya Paul Makonda.

Kama hawa wote hawakideliver Results je nani anaweza ktk mazingira ya namna hii.

Pole sana Ndugu Mwenezi Mpya, nakupa pole kwa sababu una kazi ngumu sana ya Kuperform zaidi ya Paul Makonda.

Kazi ambayo sioni kama utatoboa, Expectation za Chama chako ni kubwa kuliko uhalisia.

Changa vizuri karata zako lakini ujiandae kwa lolote.

Mfupa uliomshinda Fisi nani atauweza?
CCM NI SIKIO LA KUFA.Ndio maana inatapatapa kila kukicha.wala hawajui cha kufanya.
 
Wazungu wanasema the Bone that Failed the Heyna, who can?

Kazi ya Uenezi ndani ya ccm aliyeiweza kwa ufasaha alikuwa Abdulrahman Kinana miaka ya 2010.

Tangu hapo Chama cha Mapinzudi hakijawahi kupata mtu sahihi, hata walipojaribu kuteua watu wenye dosali ktk jamii bado napo imekuwa ngumu kufikia mafanikio wayatakayo.

Inaskitisha kuwa ndani ya miaka mitano tu tayari nafasi hiyo imeshikwa na Viongozi zaidi ya wa nne.

Hii maana yake ni nini? Kutapa tapa?

Alianza Hamphrey Polepole, Shaka Abdul Shaka na baadae Mjema kabla ya Paul Makonda.

Kama hawa wote hawakideliver Results je nani anaweza ktk mazingira ya namna hii.

Pole sana Ndugu Mwenezi Mpya, nakupa pole kwa sababu una kazi ngumu sana ya Kuperform zaidi ya Paul Makonda.

Kazi ambayo sioni kama utatoboa, Expectation za Chama chako ni kubwa kuliko uhalisia.

Changa vizuri karata zako lakini ujiandae kwa lolote.

Mfupa uliomshinda Fisi nani atauweza?
kabla ya march 2025 atachaguliwa tena mwingine,ndani ya ccm uenezi sasa hivi ni mwaka mojamoja, kila mtu apitie kuongeza cv,kama wamemkosa mtu sahihi waache tu wazi hiyo nafasi ukizingatia takriban miaka 48 ya utawala wao watakuwa na lipi jipya la kueneza
 
Siku hizi hawafanyi uenezi, itikadi wala mafunzo; bali ni kusikiliza kero na kudhalilisha watumishi wa umma!
 
Nani anajua nafasi hiyo ya uenezi katika chama malipo yake yapoje
 
Wazungu wanasema the Bone that Failed the Heyna, who can?

Kazi ya Uenezi ndani ya ccm aliyeiweza kwa ufasaha alikuwa Abdulrahman Kinana miaka ya 2010.

Tangu hapo Chama cha Mapinzudi hakijawahi kupata mtu sahihi, hata walipojaribu kuteua watu wenye dosali ktk jamii bado napo imekuwa ngumu kufikia mafanikio wayatakayo.

Inaskitisha kuwa ndani ya miaka mitano tu tayari nafasi hiyo imeshikwa na Viongozi zaidi ya wa nne.

Hii maana yake ni nini? Kutapa tapa?

Alianza Hamphrey Polepole, Shaka Abdul Shaka na baadae Mjema kabla ya Paul Makonda.

Kama hawa wote hawakideliver Results je nani anaweza ktk mazingira ya namna hii.

Pole sana Ndugu Mwenezi Mpya, nakupa pole kwa sababu una kazi ngumu sana ya Kuperform zaidi ya Paul Makonda.

Kazi ambayo sioni kama utatoboa, Expectation za Chama chako ni kubwa kuliko uhalisia.

Changa vizuri karata zako lakini ujiandae kwa lolote.

Mfupa uliomshinda Fisi nani atauweza?
kabla ya march 2025 atachaguliwa tena mwingine
Nani anajua nafasi hiyo ya uenezi katika chama malipo yake yapoje
kitengo cha propaganda kina ulaji tu mzuri,ujue kutengeneza fitina
 
Kigezo kikubwa katika nafasi hii ni laizma mtu uwe na mvuto mkubwa wa kisiasa makonda alifaa
 
kuna wakati ccm huwa sielewi mkuu, ila Paul mimi mwenyewe niliweka imani kubwa sana...inawezekana uongozini kuna makundi...watu (baadhi ya viongozi kichama)hawapendi kuona Paul anapewa sifa binafsi na wananchi na makundi mengine mbalimbali...wana wivu wanaamua kumfanyia figisu. Ila naamini Paul ana kibali mbele za Mungu na mbele za watu... ni ngumu sana kumshusha mtu huyu
Wewe huna kibali machoni pa Mungu!! Mafanikio mnayoyataja ya Makonda ni kuita watu kusikiliza kero zao na kuwaambia wasijaribu mahakamani,huko ni kwa ya wenye pesa tu!! Ccm imeunda serikali yenyewe pamoja na mahakama na jeshi la polisi. Vyombo hivi ndivyo vinalalamikiwa sana, na ukiangalia unagundua ccm ndiyo chanzo cha ufanisi mdogo wa vyombo hivyo na hasa kwa kuviingiza kwenye siasa.
Huyu mwenezi nadhani kitu cha maana ilikuwa ni kukishauri chama chake kuona kinaboreshaje hizo taasisi zake zifanye kazi kwa weredi,wewe unashauri wananchi wasipeleke matatizo yao huko.
Labda kwa vile naye alikuwa mmoja wa waharibifu alipovamia clouds na hao hao na bado akawa salama. Ninapata shaka kuwepo kwa kundi kubwa la wajinga nchi hii ndio kinamuona Makonda ni malaika wao. Mnaambiwa kila siku jengeni taasisi imara, hamsikii. Huko Marekani wangekuwa na taasisi dhaifu watu kama kina Trump wangeguswa!!!
 
Back
Top Bottom