Ukiwapima kikazi kati ya makonda vs makalla, utagundua makalla ni mwepesi sana, makonda jitu la kazi wengine wote hamna kitu. Akishindwa paul siamini kama kuna mwengine ataiwezea hiyo shughuli
Why?Makonda hawezi kufanikisha kitu chochote kinachohitaji akili na hekima
Kazi hiyo ni nyepesi sana!Wazungu wanasema the Bone that Failed the Heyna, who can?
Kazi ya Uenezi ndani ya ccm aliyeiweza kwa ufasaha alikuwa Abdulrahman Kinana miaka ya 2010.
Tangu hapo Chama cha Mapinzudi hakijawahi kupata mtu sahihi, hata walipojaribu kuteua watu wenye dosali ktk jamii bado napo imekuwa ngumu kufikia mafanikio wayatakayo.
Inaskitisha kuwa ndani ya miaka mitano tu tayari nafasi hiyo imeshikwa na Viongozi zaidi ya wa nne.
Hii maana yake ni nini? Kutapa tapa?
Alianza Hamphrey Polepole, Shaka Abdul Shaka na baadae Mjema kabla ya Paul Makonda.
Kama hawa wote hawakideliver Results je nani anaweza ktk mazingira ya namna hii.
Pole sana Ndugu Mwenezi Mpya, nakupa pole kwa sababu una kazi ngumu sana ya Kuperform zaidi ya Paul Makonda.
Kazi ambayo sioni kama utatoboa, Expectation za Chama chako ni kubwa kuliko uhalisia.
Changa vizuri karata zako lakini ujiandae kwa lolote.
Mfupa uliomshinda Fisi nani atauweza?
Ccm hawana cha kueneza tena sana sana watawaonea hao viongozi wa UenezeiKazi hiyo ni nyepesi sana!
Unachotakiwa kufanya ni kuwa mwangalifu usiwaharass wakubwa !!
Makonda alidhani bado yupo kwenye dahari ile !
Ndicho kilichomcost ambacho piga ua huyu wa sasa hawezi kukifanya kamwe !
🙏
Huyu ni nani Rais au makamu wake
Sasa usipowaharasi, Taifa litaendaje kwa kasi inayotakiwa?Kazi hiyo ni nyepesi sana!
Unachotakiwa kufanya ni kuwa mwangalifu usiwaharass wakubwa !!
Makonda alidhani bado yupo kwenye dahari ile !
Ndicho kilichomcost ambacho piga ua huyu wa sasa hawezi kukifanya kamwe !
[emoji120]
Amechezea sana kodi zetu. Na bado
Ukiwaharas ujue umejiharas na kujinajis. Hakujua mipaka yake. Hakuna mamlaka yasiyona mipakaSasa usipowaharasi, Taifa litaendaje kwa kasi inayotakiwa?
Kazi ya Chama Cha siasa yapasa kuwa Ni kuwapa watu dhamana ya uongozi na kufuatilia utendaji wao!
Kimantiki, viongozi wote, hata Rais wanapaswa kudhughulikiwa na Chama!
Sikushangai Sana, akili za kiafrika ndo hizo!
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Umesahau Nape alivyopambana na mawaziri mizigo!!Mbona Nape aliiweza Makonda sio kiongozi ni Jambazi.
Bashite huyoHuyu ni nani Rais au makamu wake
Jinga sana lile jamaaAmechezea sana kodi zetu. Na bado
Kwahio Chama kushughulikia viongozi waliopewa uongozi kwa ridhaa ya Chama, ni kukinajisi Chama?Ukiwaharas ujue umejiharas na kujinajis. Hakujua mipaka yake. Hakuna mamlaka yasiyona mipaka
Makonda hajakishurutisha Chama kimpe mafungu ya ziara!Jinga sana lile jamaa
Nape alikua hana kashfa za kuua watu yeye mwenyewe alikuja kutolewa Bastola na kutishiwa kuuwawa na wasiojulikana wa Makonda.Umesahau Nape alivyopambana na mawaziri mizigo!!
Umesahau siasa ya kuvuana magamba?
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kumwambia mwenyekiti wako nimpole ila wewe ungeshuhulikia watu wewe unaona kawaida? Hayo nimatusi.Kwahio Chama kushughulikia viongozi waliopewa uongozi kwa ridhaa ya Chama, ni kukinajisi Chama?
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Vyovyote vile ni matumizi mabaya ya kodi za Watanzania.Makonda hajakishurutisha Chama kimpe mafungu ya ziara!
Alichofanya ni kuwasilisha mpango kazi wa ziara zake, then Chama kikaridhia na kumpa mafungu na magari,
Kama ziara zake ni uharibifu wa Kodi, Basi peleka lawama zako kwa chama
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app