Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Changamoto zipo nyingiMsiwatusi wataalam wetu jamani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Changamoto zipo nyingiMsiwatusi wataalam wetu jamani.
Vizuri sana, unatakiwa uanzishe kiwanda cha magari, kinalipa sanaUhandisi wa Magari.
Okay. How?
Na bila kujali umepata bei gani kwa siku tenga 10% kama faida kisha hiyo usiiguse kabisaAhsante
[emoji23]Msiwatusi wataalam wetu jamani.
Gerage au kiwanda mkuu??Vizuri sana, unatakiwa uanzishe kiwanda cha magari, kinalipa sana
Yes bro #mshanajr saving muhimu but hawa vijana wa chuo wakipata boom lote wanalimalizia club and that is problem tena kubwa saanaNa bila kujali umepata bei gani kwa siku tenga 10% kama faida kisha hiyo usiiguse kabisa
Una ndoto ya nini?Sio rahisi hivyo. Pia sina dream ya kuanzisha kiwanda cha magari.
Ahsante. Ni kama ardhi, apartments n.k siyo?
Kuwa car dealer mkubwa ila si kumiliki kiwanda
Wenye ujuzi wa veta ndio waanzishe gereji, ila huyu wa chuo kikuu anatakiwa afungue kiwanda.Gerage au kiwanda mkuu??
Tatu acha na mambo ya dhuluma. Wengi wanakwama kwa sababu ya dhuluma. Babu yangu alinionya nisije kuwa mwizi au kuwa polisi alikataa kabisa....Kwanza kabisa ukitaka kufanikiwa acha na habari za wanawake tafuta mmoja sahihi kwako utafanikiwa sana. .
Pili angalia kampani yako. Mara nyingi sana marafiki wanachangia sana jinsi maisha yako yakakavyokua. Ukiwa na marafiki wa kubet, walevi nk kifupi marafiki wa hovyo na wewe utakuwa kijana wa hovyo
Tatu acha na mambo ya dhuluma. Wengi wanakwama kwa sababu ya dhuluma. Babu yangu alinionya nisije kuwa mwizi au kuwa polisi alikataa kabisa
Nne hii ingekuwa ya kwanza ila nishaandika hivyo mtumainie dana Mungu. .
Mwisho kabisa achana na mambo ya kukupotezea mda. Mfabo vijiwe, umbea na mitandao ya kijamii. Kwenye mitandao ya kujamii uwepo wako uwe wa faida sio kupoteza mda. .