Mpigania uhuru wa pili
JF-Expert Member
- Apr 12, 2023
- 3,380
- 6,376
Unajua maana ya gdp per capita incomeHoja yako ni ipi?
Huo ni ufukara hatujafika level hata ya maskini wa Kawaida. Achilia mbali maskini aliyechangamka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajua maana ya gdp per capita incomeHoja yako ni ipi?
Huo ni ufukara hatujafika level hata ya maskini wa Kawaida. Achilia mbali maskini aliyechangamka.
Dada tanzania per capita $1,327 (nominal, 2023 est.) Kwa mwaka mzima
Chukua hiyo hela izidishe mara 2500 alafu gawanya kwa 12 utapa kama laki mbili hiko ndo kipato kwa watanzania wengi kwa mwezi na wanaishi hatakama ni kwa shida
Sasa mambo hayaendi kwa hisia kama unavyotakaHaijalishi ukweli uko hivyo, hata Kama haipati kwa pamoja lakini laki5 ni ndogo labla awe kajenga au hana familia inayo mtegemea
Unajua maana ya gdp per capita income
Unatafuta umaarufu kwa mambo ya kijinga in short wewe ni mjingaIshu sio kuishi.
Kuishi mtu anaweza kuishi tuu hata kule kwa hadzabe wanaishi.
Mada inasema kama upo chini ya milioni tano wewe bado upo kwenye kundi la watu Maskini.
Hivyo funga mkanda.
Wewe unaleta mihemko ya kijinga mara natafuta umaarufu, sasa umaarufu utanisaidia nini Mimi Kwa ujinga wako
Acha kudanganya watuPato la mtu mmoja hapa Tanzania ni gdp per capita $1,327 (nominal, 2023 est.) Kwa mwaka ukizidisha kwa rate ya dollar ya sasa ni kama million 3 kwa mwaka ukigawanya kwa 12 utapa kama laki 2 karibia laki 3 hiko ndo kipato cha kila mtanzania kwa mwezi
Narudia tena Unajua maana ya gdp per capita incomeHoja yako ni ipi?
Hivyo vitu vya shule unashindwa kuvieleza kwa lugha rahisi, hivi utaweza kupata kweli hiyo milioni tano
Unajua maan ya gdp per capita incomeAcha kudanganya watu
Unatafuta umaarufu kwa mambo ya kijinga in short wewe ni mjinga
Ungejua maana ya gdp per capia income usingeongea huo ujinga wako
Zinaitwa maskini kwa kutumia gdp per capita income kipindi cha magufuli gdp per capita ilipanda tukaondoka kwenye nchi maskiniKwa uelewa wako, achana na huo uliokariri huko shule na hizo gdp ulizokaririshwa na watu,
Unafikiri ni kwa nini nchi ya Tanzania na za Afrika zinaitwa maskini (wakimaanisha Umaskini uliopitiliza, Fukara)?
Pato la mtu mmoja hapa Tanzania ni gdp per capita $1,327 (nominal, 2023 est.) Kwa mwaka ukizidisha kwa rate ya dollar ya sasa ni kama million 3 kwa mwaka ukigawanya kwa 12 utapa kama laki 2 karibia laki 3 hiko ndo kipato cha kila mtanzania kwa mwezi
Sio hisia huwo ndio uhalisia ila isije Kuwa na zungumza na wewe huna familia huto elewa wallahSasa mambo hayaendi kwa hisia kama unavyotaka
Na Mimi nazungumzia nini?Zinaitwa maskini kwa kutumia gdp per capita income
Zinaitwa maskini kwa kutumia gdp per capita income kipindi cha magufuli gdp per capita ilipanda tukaondoka kwenye nchi maskini kipindi cha samia gdp per capita imeshuka tumerudi tena kwenye kundi la nchi maskiniSasa mtu anayeingiza kwa mwezi laki tatu huyo si fukara.
Unategemea atamudu mahitaji yake ya msingi?
Sio fukara tu, ni hohehaheSasa mtu anayeingiza kwa mwezi laki tatu huyo si fukara.
Unategemea atamudu mahitaji yake ya msingi?
Wewe unatumia hisia na sio gdp per capita incomeNa Mimi nazungumzia nini?
Huo umaskini Unafikiri wanarejea umaskini wa kiwango kipi?
You mean mental illness?Poverty is a state of mind.
Sio hisia huwo ndio uhalisia ila isije Kuwa na zungumza na wewe huna familia huto elewa wallah
Mfn;chakula 10 kwa siku lak3 imekata vipi hiyo laki5
Na ujuaji wako wote hujui maana ya gdp per capita incomeSasa mtu anayeingiza kwa mwezi laki tatu huyo si fukara.
Unategemea atamudu mahitaji yake ya msingi?
Unazungumzia umaskini na maskini sio majiri wa kihaya kama ww boss kaa kwa kutulia na ndinga lako la milion 250Milioni Tano tu Kwa mwenzi unalipaje bills na watoto wanakula na kuvaa nini walau million sitini unaweza ishi standard life.