Kama kipato chako ni chini ya milioni Tano kwa mwezi wewe ni Maskini

Kama kipato chako ni chini ya milioni Tano kwa mwezi wewe ni Maskini

Masikini ni mtu ambae hawezi kupata mahitaji ya msingi kama chakula,mavazi na malazi..

Kampeni iliopo duniani kwa sasa ni kupunguza masikini ila haimaanishi kuongeza matajiri kwa sababu kua tajiri sio hitaji la msingi la binadamu

Kama unasehemu ya kulala +unakula na kunywa+unapata mahitaji ya msingi Tambua kua unaendelea vizuri sana!! Hakuna kiwango cha fedha ambacho kinaweza kukutosheleza lakini hata wataalamu wamefanya tafiti kadhaa na kuthibitisha kua kama unaweza kutumia $5 kwa siku kwa nchi za kusini mwa Africa basi unaendelea vizuri..

Watz wengi wanakipato cha chini ya milioni1 kwa mwezi (sio nzuri na sio mbaya pia),Wenye kipato cha juu ya milioni 1>>> wengi bado wanaishi kwa kujibana sana..

Na hata ile 1% wanastress zao huko Masaki na Oysterbay
Acha kujifariji mkuu.

Kula, kuvaa na kulala ndani haitoshi.

Inatakiwa uwe kwanza na afya na uzima kisha uwe na uwezo wa kuamua yafuatayo;

1. Ule nini na sio kula kulingana na ulichonacho au ratiba.

2. Uwe na mavazi ya kuvaa pasipo kujua idadi ya nguo ulizinazo na uwezo wa kuwa nadhifu na kupendeza kila wakati kwa kubadilisha mavazi upendavyo kwa siku. Sio kuvaa nguo mpaka ifubae au watu kukukariri kwa mavazi yako.

3. Kulala sehemu isiyo na makekele ya shughuli za kibinadamu. Nyumba ya maana na madhari ya kuvutia yenye hewa safi na utulivu.

Mwisho uwe na uwezo wa kusafiri duniani na kuishi sio kukimbizana kutafuta hela ya kula.

#Kataa umasikini
#Umasikini ni laana
 
Acha kujifariji mkuu.

Kula, kuvaa na kulala ndani haitoshi.

Inatakiwa uwe kwanza na afya na uzima kisha uwe na uwezo wa kuamua yafuatayo;

1. Ule nini na sio kula kulingana na ulichonacho au ratiba.

2. Uwe na mavazi ya kuvaa pasipo kujua idadi ya nguo ulizinazo na uwezo wa kuwa nadhifu na kupendeza kila wakati kwa kubadilisha mavazi upendavyo kwa siku. Sio kuvaa nguo mpaka ifubae au watu kukukariri kwa mavazi yako.

3. Kulala sehemu isiyo na makekele ya shughuli za kibinadamu. Nyumba ya maana na madhari ya kuvutia yenye hewa safi na utulivu.

Mwisho uwe na uwezo wa kusafiri duniani na kuishi sio kukimbizana kutafuta hela ya kula.

#Kataa umasikini
#Umasikini ni laana
Watakuja kukupinga mkuu hawataki kusikia hili. Million 5 ni pesa ndogo sana kutimiza haya, mtu hata mara moja kwa mwaka hajaenda hata vacation tuachane na habari za Dubai tuseme tu hapa hapa nchini kutembelea tu hata mbuga za wanyama na familia, kulala tu hata pale Bilila au Grumeti, au Seronera halafu anakaza fuvu hapa kusema Million 5 ni tajiri. Sh3nzxy type!!

Hivi ushawahi waza hata mara moja in your lifetime uende ukafanye kitu ya trophy hunting huko kwenye hunting blocks Tanzania yetu hii hii?? Do you know the amount of experience do you get out of that adventure?? Unadhani Million 5 ita cater for that?? Tutafute pesa wakuu
 
Kwema Wakuu!

Kuna aina tatu za Maskini.
1. Maskini wa kutupwa (Fukara)
2. Maskini wa kawaida
3. Maskini aliyechangamka.

1. Maskini Fukara
Maskini Fukara hili kundi ni wale Watu ambào kula yao ni mshikeshike, hawana pakuishi, yaani hawa ndio huitwa hohehahe. Hawa kwa asilimia kubwa wamekata tamaa ya maisha. Na ukikutana nao moja kwa moja umaskini ndio utambulisho wao.

2. Maskini wa Kawaida.
Hili ni kundi ambalo wengi tupo hapa.
Hawa wanapata kiasi mahitaji yao ya msingi lakini sio Quality. Yaani atakula ndio chakula lakini sio mlo kamili.
Yaani yeye kila siku maugali na maharage sio shida. Kuvaa nguo za mtumba ni jambo la kawaida. Mpya ni mara mojamoja.

Makazi yao ni vibanda fulani ambavyo vinawastiri na baridi, jua na mvua. Ingawaje wao wenyewe huita nyumba lakini kimsingi sio nyumba.

3. Maskini waliochangamka.
Kundi hili ni lile la wenye vipato ambavyo ni kati ya milioni moja mpaka tano.
Kwa Tanzania kundi hili nalo hujiona limetoboa lakini kimsingi ni kundi maskini tuu kwani vipato vyao haviwezi kukidhi mahitaji ya msingi kwa kiwango kikubwa.

Mfano mtu mwenye kipato cha milioni moja mpaka tano hana uwezo wa kula milo mitatu kamili mwaka mzima pasipo kupasua matairi. Hapohapo hana uwezo wa kuishi kwenye makazi mazuri na kuvaa nguo Standard. Ni lazima kimoja atashindwa. Hapohapo awe anabima nzuri ya afya. Gari nzuri ambayo mafuta kwake sio tatizo, huku anasomesha watoto shule nzuri. Utagundua hicho kipato ni kidogo mno.

Kundi hili linanafasi ya kupambana na kuingia kundi la matajiri daraja la chini ambao kipato chao ni milioni 10 mpaka milioni mia moja.
Ishu inakuja pale ambapo Watanzania wengi tukishapata tumilioni mbili kwa mwezi ndio tunaona tumeshatoboa na tunaanza kubweteka ilhali kimsingi bado tupo tabaka la juu la maskini.

Unapoambiwa nchi yako ni maskini elewa kuwa robo tatu ya wananchi vipato vyao kwa mwezi havitoboi milioni tano.

Ukisikia mtu anakuita Maskini na unajiona una maisha mazuri. Sijui gari, nyumba na unapesa za kubadilisha mboga alafu muda huohuo kipato chako halifiki milioni tano jua anahaki ya kukuita hivyo.

Ingawaje umaskini kwa upande mwingine ni mtazamo. Mtu anaweza kuwa Maskini wa kipato lakini akawa anajiona tajiri(mental illness) alafu yupo mwenye kipato cha milioni 100 alafu anajiona maskini(hana shukrani).

Ijumaa Kareem
Tufanye huyu mtu Yuko sekta binafsi maana ndo mishahara wengi wanapata
Nssf- 500,000
Tra- 1178000 kodi inayoenda serikalini
Take home 3322000
Hapo ndo anaweza kuangalia matumizi binafsi yakoje kama ni mtu wa starehe bado itakuwa Hela mdogo sana
 
Tufanye huyu mtu Yuko sekta binafsi maana ndo mishahara wengi wanapata
Nssf- 500,000
Tra- 1178000 kodi inayoenda serikalini
Take home 3322000
Hapo ndo anaweza kuangalia matumizi binafsi yakoje kama ni mtu wa starehe bado itakuwa Hela mdogo sana

Kama atakuwa mbinafsi ni hela ya kati. Yaani mtu asiyesaidia ndugu
 
Back
Top Bottom