Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
- #441
Kwa hiyo bwana Robert haya ni maoni yako na mtazamo wako tu si uhalisi? Kwamba mtu anaepata 5m kwa mtazamo wako ni nasikini ila si uhalisia?
Umaskini na utajiri ni dhana aliyonayo mtu.
Ni mtazamo tuu.
Wapo Watu wanajiona matajiri na hawajawahi kushika pesa hata shilingi mia moja.
Umaskini wa Ulaya na umaskini wa Afrika ni tofauti.
Umaskini wa mjini na maskini wa kijijini ni tofauti.
Tukija kwenye uhalisia (mantiki), kwenye mantiki jambo likiwa kweli sehemu A lazima liwe kweli sehemu B.
Ni maoni na mtazamo tuu. Ndio maana humu kila mmoja anakuja na vile ajuavyo.
Ila wapo wale wafuatao upepo yaani waliokariri maoni na mitazamo ya wengine hasa wasomi waliozoea kukaririshwa na kupuuzia maoni na mitazamo yao