Northpole
JF-Expert Member
- Nov 18, 2023
- 590
- 853
Hakunaga maisha ya kawaida unless ni kauli ya kujifariji, kuna maisha ya umasikini na utajiribasi.Huo ni ukweli mtupu. Una 5M kwa mwezi halafu unaishi kwenye hotel ya nyota tano kwa maana unakula, unalala na unakunywa katika hoteli hiyo. Hapo unautafuta umasikini kwa kuishi maisha ambayo yapo juu ya kipato chako. Lakini kwa wale ambao wanaishi maisha ya kawaida hutwo tuela tunatosha kwa kubadilisha mboga, malazi na kinywaji bila wasiwasi.