Prakatatumba abaabaabaa
JF-Expert Member
- Aug 2, 2022
- 1,842
- 6,087
Sina kiongozi, Sina tegemezi yoyote yuleHuna familia.?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sina kiongozi, Sina tegemezi yoyote yuleHuna familia.?
Utoto unakusumbua ukikua utaacha
Watanzania wanaopata zaidi ya million 5 kwa mwezi hawafiki hata elfu 50 kati ya watanzania million 60+
Wenye hela muda wote wako jf 🤭Wenye hela hawawezi weka avatar kama aliyoweka yeye.. hizo editing za picha zinapatikana infinix sijui 🤣
Ni maskini mwenzetu, aje tupeleke CV kwa Boss la DP World
Kwamba nchi maskini ndo wanatumia hiko kigezo chakoSasa kwa utu uzima wako unapoambiwa upo nchi maskini Unafikiri wanamaanisha jambo gani?
Ndio maana laki5 kwa mtu mwenye familia ni hela ndogo mnoSina kiongozi, Sina tegemezi yoyote yule
Watanzania wengi wanapata chini ya hapo na wanafamiliaNdio maana laki5 kwa mtu mwenye familia ni hela ndogo mno
Msamehe 🙏akikuwa ataachaKwamba nchi maskini ndo wanatumia hiko kigezo chako
Unajua vigezo vya kujua hii nchi ni maskini
We endelea kutafuta umaarufu kwa kupost ujinga na utoto
Hawa wako wengi sana hapa mjini. Kuna mwingine ana kipato cha 2M kwa mwezi lkn ana familia kama yote halafu ana gari. Aisee utamuonea huruma.jamaa yangu analipwa 800k kwa mwezi halafu ana gari la mkopo huwa namuonea huruma sana![]()
Hujaelewa nacho maanisha hebu fanya mchanganuo tuone sio kupata kwa pamojaWatanzania wengi wanapata chini ya hapo na wanafamilia
Jamiiforum watu wana-fake sana maisha
Ndio maana natafuta pesa kabla ya hiyo familia haijaja, umeongea ukweli na uhalisia lakini.Ndio maana laki5 kwa mtu mwenye familia ni hela ndogo mno
Wengine wanapata laki 5 Kwamwezi na Bado Wana magari, sema haya mambo ni priority tu,Uko sahihi mkuu ndomana huwaga sitaki kutaka kumiliki gari wakati mm ni maskini...kipato cha kuwa gari atleast uwe unapiga 10ml per month hapo gar halitokusumbua...jamaa yangu analipwa 800k kwa mwezi halafu ana gari la mkopo huwa namuonea huruma sana[emoji23]
Kwamba nchi maskini ndo wanatumia hiko kigezo chako
Unajua vigezo vya kujua hii nchi ni maskini
We endelea kutafuta umaarufu kwa kupost ujinga na utoto
Unaweza ukawa maarufu kwa mambo ya kijinga kumbuka hata mwijaku na baba levo ni maarufu
Dada tanzania per capita $1,327 (nominal, 2023 est.) Kwa mwaka mzimaHujaelewa nacho maanisha hebu fanya mchanganuo tuone sio kupata kwa pamoja
Tunazungumzia Laki 5Watanzania wengi wanapata chini ya hapo na wanafamilia
Jamiiforum watu wana-fake sana maisha
Pato la mtu mmoja hapa Tanzania ni gdp per capita $1,327 (nominal, 2023 est.) Kwa mwaka ukizidisha kwa rate ya dollar ya sasa ni kama million 3 kwa mwaka ukigawanya kwa 12 utapa kama laki 2 karibia laki 3 hiko ndo kipato cha kila mtanzania kwa mweziMoja ya kigezo cha umaskini ni pamoja na pato la mtu mmojammoja.
Ndio hapo nikakuambia kama upo chini ya milioni tano bado upo kwenye daraja la Umaskini.
Wewe kipi hapo unaona hakipo sawa.
Maana wenye hivyo vipato vya hiyo milioni tano wenyewe wanajua nazungumzia nini. Lakini wewe kwa vile huna hicho KIPATO huwezi Elewa
Unajua maana ya gdp per capita income nisije nikawa napoteza mdaTunazungumzia Laki 5
Kodi Laki 2 kwa mwezi
Chakula 10×30=300,000
Hapo tu ela imeisha
Hoja yako ni ipi?Pato la mtu mmoja ni $1,327 (nominal, 2023 est.) Kwa mwaka ukizidisha kwa rate ya dollar ya sasa ni kama million 3 kwa mwaka ukigawanya kwa 12 utapa kama laki 2 karibia laki 3 hiko ndo kipato cha kila mtanzania kwa mwezi
Haijalishi ukweli uko hivyo, hata Kama haipati kwa pamoja lakini laki5 ni ndogo labla awe kajenga au hana familia inayo mtegemeaUnajua maana ya gdp per capita income