Kama kipato chako ni chini ya milioni Tano kwa mwezi wewe ni Maskini

Kama kipato chako ni chini ya milioni Tano kwa mwezi wewe ni Maskini

Khahahahaha.
Nadhani coment yangu inajielezea vizuri.
Tatizo ni pale watu wanapojizima data.
Hela nyingi za kwako kivip.

Kama unadhani kwamba vijisent unavyomiliki Kwa mda vinakupa jeuri pole yako.
Serikali ikishindwa kujiendesha hakuna rangi utaacha ona.
Kiufupi Nchi nzima ni Fukara,maskini mliochangamka.
Nyie kwenu Bora kuche tu basi.
Wasomi wasioweza kuisaidia Nchi,bali mizigo kama mizigo mingine tu.
Kwa hio mzee tusiwe na pesa kisa nchi inadaiwa ?
Nchi ikidaiwa kama unahela ni rahisi kuhamisha biashara zako,
Na mpaka ifike point ya nchi kushindwa kujiendesha sio leo wala kesho,
Mikopo ikizidi tunawapigia magot IMF wanatupa sheria mbili tatu za kupitisha tunaendelea na maisha,
So mim naona issue ya maden ya nch yasiingie hapa, hayo adeal nayo Mwigulu na Samia
 
Ni vizuri kujifariji.
Usijidangaye, material things wala sio utajiri mkuu. Kwa umri wangu, nimetambua na kuelewa afya na kumjua Mungu ndio utajiri na sio hizo blah blah.

Maandiko yako mengi huku mkuu unayaandika tokana na upepo wa umri wako kwa sababj bado unajitafuta. Ukishajitafuta na kujipata ndipo utaona hayo uyaonayo ya maana si kitu.
 
Usijidangaye, material things wala sio utajiri mkuu. Kwa umri wangu, nimetambua na kuelewa afya na kumjua Mungu ndio utajiri na sio hizo blah blah.

Maandiko yako mengi huku mkuu unayaandika tokana na upepo wa umri wako kwa sababj bado unajitafuta. Ukishajitafuta na kujipata ndipo utaona hayo uyaonayo ya maana si kitu.

Unaposema utajiri Unazungumzia mali na materials, na rasilimali.
Hata dini na mali inatambua tafsiri ya utajiri ni kuwa na mali nyingi, rasilimali nyingi.

Afya haijawahi kuwa sehemu ya utajiri.

Unaweza ukamjua Mungu lakini ukawa Maskini. Unaweza ukawa na afya na ukawa maskini.

Huyo Mungu mwenyewe anataka wenye utajiri wa mali wasaidie maskini.

Tuache kupotosha maana za msingi za maneno
 
Je, unauchukuliaje ule msemo wa "tajiri na mali zake, maskini na wanawe"?
Kuna vitu vingi sana mdogo wangu Mtibeli havijui tokana na umri wake. Hii Dunia ni "very complicated", kuna matajiri ila hawawezi kula chakula kwani wagonjwa na hata huo mlo mmoja haupiti wala haruhusiwi kula, anaona bora asingekuwa hata na 100 ila anakula na kuwa mwenye furaha. Kuna maskini anakula chochote na mwenye furaha na amani. Kuna mwenye miguu hawezi kutembea na kuna ambaye hana miguu ila anatembea.

Refer kwa Pogba anakiri ni bora alivyokuwa maskini alikuwa na furaha na amani kuliko sasa ni tajiri ila hana furaha wala amani.

Kwa umri wangu na baada ya kujipata kiuchumi, nakiri hakuna kitu bora kuliko kuwa na afya njema na kumjua Mungu wa kweli na Yesu Kristo aliyemtuma. Haya yote ni kujilisha upepo. Dunia inasumbua wanadamu hususani sisi Wanaume katika vitu vitatu. Utajiri(Mali za duniani), Umiliki(Utawala) na Mpenzi(Wanawake). Katika hilo Suleiman pamoja na utajiri na ufalme wake pamoja na kuwa na wanawake wengi, anakiri ni upuuzi mtupu na kujilisha upepo. Mkikua mtaelewa.
 
Kuna vitu vingi sana mdogo wangu Mtibeli havijui tokana na umri wake. Hii Dunia ni "very complicated", kuna matajiri ila hawawezi kula chakula kwani wagonjwa na hata huo mlo mmoja haupiti wala haruhusiwi kula, anaona bora asingekuwa hata na 100 ila anakula na kuwa mwenye furaha. Kuna maskini anakula chochote na mwenye furaha na amani. Kuna mwenye miguu hawezi kutembea na kuna ambaye hana miguu ila anatembea.

Refer kwa Pogba anakiri ni bora alivyokuwa maskini alikuwa na furaha na amani kuliko sasa ni tajiri ila hana furaha wala amani.

Kwa umri wangu na baada ya kujipata kiuchumi, nakiri hakuna kitu bora kuliko kuwa na afya njema na kumjua Mungu wa kweli na Yesu Kristo aliyemtuma. Haya yote ni kujilisha upepo. Dunia inasumbua wanadamu hususani sisi Wanaume katika vitu vitatu. Utajiri(Mali za duniani), Umiliki(Utawala) na Mpenzi(Wanawake). Katika hilo Suleiman pamoja na utajiri na ufalme wake pamoja na kuwa na wanawake wengi, anakiri ni upuuzi mtupu na kujilisha upepo. Mkikua mtaelewa.

Mkuu hapo Unazungumzia mambo mawili tofauti.
Kuna afya Vs Maradhi
Kuna utajiri Vs Umaskini
Kuna Haki Vs Dhulma
Kuna wema Vs Ubaya
Kuna Furaha Vs huzuni n.k.

Unaweza ukawa na pesa lakini usiwe na furaha.
Unaweza ukawa na Afya lakini usiwe na Furaha.
Unaweza ukawa maskini lakini usiwe na furaha au ukawa nayo.

Wewe ushaingia kwenye mkondo mbaya wa negativity.
 
Amka kwenye ndoto kijana ukapambane ndo utajua kumbe unaweza kuishi Kwa 1000, ikiwa unaishi Kwa shemeji ni rahisi kulopoka.

Upeo mdogo unaweza kukufanya usiwe na ufahamu wa mambo madogo.
Pesa haikufanyi uishi.
Hakuna sehemu nimezungumzia ishu ya kuishi.
Tajiri na maskini wote wanaishi.
Ila wanaishi katika ulimwengu tofauti ndani ya dunia moja
 
Upeo mdogo unaweza kukufanya usiwe na ufahamu wa mambo madogo.
Pesa haikufanyi uishi.
Hakuna sehemu nimezungumzia ishu ya kuishi.
Tajiri na maskini wote wanaishi.
Ila wanaishi katika ulimwengu tofauti ndani ya dunia moja
Don't be fool, less than 5,000,000 per month income huyo ni masikini? Umetumia benchmark ipi? Ndo mana namwambia Bado unakaa Kwa shemeji,

Amka ndotoni.
 
Upeo mdogo unaweza kukufanya usiwe na ufahamu wa mambo madogo.
Pesa haikufanyi uishi.
Hakuna sehemu nimezungumzia ishu ya kuishi.
Tajiri na maskini wote wanaishi.
Ila wanaishi katika ulimwengu tofauti ndani ya dunia moja
What is Poverty? Is a failure or unable to meet Basic needs, eg, Food, clothes and shelter.

Kwa definition Yako ya umaskini unachanganya needs vs wants.

Utakuwa Bado uko Kwa dada ukianza maisha utajua ukweli.
 
Back
Top Bottom