Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Basi hili sio moja wapo, nenda ufanye utafiti.Kuna mambo hayahitaji utafiti
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi hili sio moja wapo, nenda ufanye utafiti.Kuna mambo hayahitaji utafiti
Kasema hajafanya research.Mkishiba magimbi na uozo wa madem zenu.
Mna kuja kuleta research zilizo kosa miguu Wala shingo
Basi hili sio moja wapo, nenda ufanye utafiti.
Mala nyingi mtu mwenye kauli kama hii ni mtu ambaye hata laki8 Kwa mwezi huionagiMilioni Tano tu Kwa mwenzi unalipaje bills na watoto wanakula na kuvaa nini walau million sitini unaweza ishi standard life.
Hakuna jambo lisilohitaji utafiti.Utafiti kwa jambo ambalo halihitaji utafiti Mkuu.
Hakuna jambo lisilohitaji utafiti.
Sawa.Yapo mengi mno mkuu
Sawa.
Kila pesa ni ndogo kutegemeana na hali ya maisha yako. Ikiwa unaishi kwa anasa hata 10 million kwa mwezi itakuwa haitoshi😃😃
Hizo ni pesa ndogo mkuu
hii ndio tunaita kufuruAfya kila mtu anaweza kuwa nayo.
Lakini utajiri ni zawadi ya wateule wachache
Umetumia common sense kugrade umasikini??Ndio maana kuna vitu vya common sense. Yaani hauhitaji uwe umesoma au mfanya utafiti
Sasa hata ukijipa stress ndio inabadilisha nini kwenye uhalisia wako. Kwamba ukinuna sana ndio utakuwa tajiri ghafla😂Sema kujifariji ni vizuri
Umetumia common sense kugrade umasikini??
Acha propaganda mzee, hili uliloandika linahitaji tafiti.
Katika utajiri unatakiwa kumshukuru Mungu basi ni Afya, huyu kijana akakae pale Mwaisela au Sewa Haji kwa masaa kumi na mbili atabadili kauli yakehii ndio tunaita kufuru
Sasa hata ukijipa stress ndio inabadilisha nini kwenye uhalisia wako. Kwamba ukinuna sana ndio utakuwa tajiri ghafla😂
Katika utajiri unatakiwa kumshukuru Mungu basi ni Afya, huyu kijana akakae pale Mwaisela au Sewa Haji kwa masaa kumi na mbili atabadili kauli yake
Eeh hiki ndio kile kinaitwa kiburi cha uzima ila hujafa hujaumbika yani leo na kesho unaweza kukatwa mguu kama mzee Seleman Bungara (Bwege) ukaanza kubebwa kama kabichi na wasamaria wema na hela yako haitaweza kuzuia mguu usikatwe. We unadhani yule mzee kwa miaka aliokaa bungeni anakosa hata billion kadhaa kwenye account zake?Katika utajiri unatakiwa kumshukuru Mungu basi ni Afya, huyu kijana akakae pale Mwaisela au Sewa Haji kwa masaa kumi na mbili atabadili kauli yake
Khahahahaha.Kitu cha kuvutia ni kuwa wew pia ni takataka,
Kingine, madeni ya nchi hayatuhusu, wew kuwa na pesa nying zako zinatosha, usiamze kuleta maneno mingi,