Idimi
JF-Expert Member
- Mar 18, 2007
- 15,328
- 11,192
Ni kweli, ila gharama za maisha kule kwao ni kubwa kuliko hapa kwetuWakati mshahara wa kawaida huko Ulaya kwa mwezi ni USD 6000
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli, ila gharama za maisha kule kwao ni kubwa kuliko hapa kwetuWakati mshahara wa kawaida huko Ulaya kwa mwezi ni USD 6000
na huo mshara ukiupigia mahesabu kwa mazingira ya Ulaya ni sawa na mshahara wa laki tatu hapa Tanzania , Tafsiri ya umasikini haipimwi kimtazamo.Wakati mshahara wa kawaida huko Ulaya kwa mwezi ni USD 6000
Mwalimu wa physics 😁Nadunda na laki 5 yangu kwa mwezi na sijawahi kukopa.
Serena ya nini,wakati ninalima jamani.Ninakula nyumbani .Huko Serena ni nyie wajinga mnakuwa fursa kutajirisha wenye Serena.Badala ya kuwaza kuanzisha Serena yangu niwaze kwenda kula Serena jamani.Milioni tano kwa mwezi ni kama 160,000 kwa siku, huwezi kumudu milo mitatu Serena Hotel, bado ni masikini wa kutupwa
Matajiri wa JF mna mbwembwe sana aiseee!! 😂😂😂😂Pambaneni
Kama namuona brother angu.Uko sahihi mkuu ndomana huwaga sitaki kutaka kumiliki gari wakati mm ni maskini...kipato cha kuwa gari atleast uwe unapiga 10ml per month hapo gar halitokusumbua...jamaa yangu analipwa 800k kwa mwezi halafu ana gari la mkopo huwa namuonea huruma sana[emoji23]
Kwani hela za mishahara alikuwa anatunza tu hatumii? Usicheze na bilioni mzee,wanasiasa wengi hata M200 tu benki ni mtihani,bilionea msuya mwenyewe na utajiri na uwekezaji wake wote alikufa akaacha milioni 850 tu benki,sembuse mbunge tena wa upinzani?Eeh hiki ndio kile kinaitwa kiburi cha uzima ila hujafa hujaumbika yani leo na kesho unaweza kukatwa mguu kama mzee Seleman Bungara (Bwege) ukaanza kubebwa kama kabichi na wasamaria wema na hela yako haitaweza kuzuia mguu usikatwe. We unadhani yule mzee kwa miaka aliokaa bungeni anakosa hata billion kadhaa kwenye account zake?
Furaha yote ya pesa na utajiri huyeyuka ukianza kusumbuliwa na afya kuwa mgogoro.
Eeh hiki ndio kile kinaitwa kiburi cha uzima ila hujafa hujaumbika yani leo na kesho unaweza kukatwa mguu kama mzee Seleman Bungara (Bwege) ukaanza kubebwa kama kabichi na wasamaria wema na hela yako haitaweza kuzuia mguu usikatwe. We unadhani yule mzee kwa miaka aliokaa bungeni anakosa hata billion kadhaa kwenye account zake?
Furaha yote ya pesa na utajiri huyeyuka ukianza kusumbuliwa na afya kuwa mgogoro.
He never said he's a rich person. He was just trying to explain what is the meaning of "being poor" and "being rich"Wenye hela hawawezi weka avatar kama aliyoweka yeye.. hizo editing za picha zinapatikana infinix sijui 🤣
Ni maskini mwenzetu, aje tupeleke CV kwa Boss la DP World
Hili ni bandiko la hohe hahe...
He never said he's a rich person. He was just trying to explain what is the meaning of "being poor" and "being rich"
😃😃Matajiri wa JF mna mbwembwe sana aiseee!! 😂😂😂😂
na huo mshara ukiupigia mahesabu kwa mazingira ya Ulaya ni sawa na mshahara wa laki tatu hapa Tanzania , Tafsiri ya umasikini haipimwi kimtazamo.
Ni kweli, ila gharama za maisha kule kwao ni kubwa kuliko hapa kwetu
Kipato changu kwa mwezi ni Tsh 4,999,000/= kumbe mimi bado ni maskini.Mtaa ninakoishi watashangaa sana kusikia na mimi niko katika kundi la masikini.
Wakati mshahara wa kawaida huko Ulaya kwa mwezi ni USD 6000
AiseeeWakati mshahara wa kawaida huko Ulaya kwa mwezi ni USD 6000