Kama kipato chako ni chini ya milioni Tano kwa mwezi wewe ni Maskini

Kama kipato chako ni chini ya milioni Tano kwa mwezi wewe ni Maskini

Milioni tano kwa mwezi ni kama 160,000 kwa siku, huwezi kumudu milo mitatu Serena Hotel, bado ni masikini wa kutupwa
Serena ya nini,wakati ninalima jamani.Ninakula nyumbani .Huko Serena ni nyie wajinga mnakuwa fursa kutajirisha wenye Serena.Badala ya kuwaza kuanzisha Serena yangu niwaze kwenda kula Serena jamani.
 
Uko sahihi mkuu ndomana huwaga sitaki kutaka kumiliki gari wakati mm ni maskini...kipato cha kuwa gari atleast uwe unapiga 10ml per month hapo gar halitokusumbua...jamaa yangu analipwa 800k kwa mwezi halafu ana gari la mkopo huwa namuonea huruma sana[emoji23]
Kama namuona brother angu.
Anapenda sana magari but the problem ni anakuambia gari imegeuka mke wa pili.
 
Eeh hiki ndio kile kinaitwa kiburi cha uzima ila hujafa hujaumbika yani leo na kesho unaweza kukatwa mguu kama mzee Seleman Bungara (Bwege) ukaanza kubebwa kama kabichi na wasamaria wema na hela yako haitaweza kuzuia mguu usikatwe. We unadhani yule mzee kwa miaka aliokaa bungeni anakosa hata billion kadhaa kwenye account zake?

Furaha yote ya pesa na utajiri huyeyuka ukianza kusumbuliwa na afya kuwa mgogoro.
Kwani hela za mishahara alikuwa anatunza tu hatumii? Usicheze na bilioni mzee,wanasiasa wengi hata M200 tu benki ni mtihani,bilionea msuya mwenyewe na utajiri na uwekezaji wake wote alikufa akaacha milioni 850 tu benki,sembuse mbunge tena wa upinzani?
Na kumbuka kadri unavyolipwa vizuri ndo unatumia pesa zaidi pia,kama unakumbuka kipindi cha Anna Makinda kama spika ashawahi kuwachana wabunge kuhusu kutumia pesa zao vizuri na kuwekeza kabla hawajastaafu au kukosa ubunge
Eeh hiki ndio kile kinaitwa kiburi cha uzima ila hujafa hujaumbika yani leo na kesho unaweza kukatwa mguu kama mzee Seleman Bungara (Bwege) ukaanza kubebwa kama kabichi na wasamaria wema na hela yako haitaweza kuzuia mguu usikatwe. We unadhani yule mzee kwa miaka aliokaa bungeni anakosa hata billion kadhaa kwenye account zake?

Furaha yote ya pesa na utajiri huyeyuka ukianza kusumbuliwa na afya kuwa mgogoro.

maana watoto wa wabunge wastaafu walikuwa wanajazana bungeni kwa spika kuomba misaada kutoka kwenye mfuko wa bunge
 
Wakati mshahara wa kawaida huko Ulaya kwa mwezi ni USD 6000
Screenshot_20240302_161832_Chrome.jpg

Takwimu za 2022.
 
Back
Top Bottom