Ha ha hahaha hela nitoe wapi Mkuu!?Anachambua kwa kina"ila jamaa hela atakuwa nayo maana ni mwana jf
Sent using Jamii Forums mobile app
Machuma chuma haya yasiwatisheMKUU Kwan Unahisi Wakati RUSSIA Anayauza Hayo Ma S Hakujua Kama TURKEY Ni Mwanachama Halali Wa NATO !?
Jamaa Walitazama Mpaka Kesho Kutwa Yao Kabla Yakufikia Maamuzi Yakuyauza Hayo Madude
Wafanye Watakavyoyafanya Wakiamuliwa Kuchapwa Wanachapwa Mpaka wanakaa Pembeni[emoji4][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu unajua maana ya neno ANA KARIBU?I knew you gonna answer like this.
Nakurudisha nyuma ulisema hivi
Swali langu liko palepale Mrusi anakiwanda cha iPhone? Mchina anacho
Da uchambuzi mrua kabisa,umekata kiu yangu kabisa.France aliiuzia Argentina makombora ya Exocet ya kutungua meli. Argentina ilivoingia vita vya Falkland na Uingereza, France akazuia kutoa codes za makombora na hivo hayakutumika zaidi.
Iran kipindi cha Shah iliuziwa F-14 Tomcats, mapinduzi ya kiislamu yalivyotokea ikazuiliwa kupata supply na maintenance. Hata kwenye vita na Iraq ilishindwa kuzitumia ipasavyo.
Mfano S-400 inabidi uwe unanunua yale makombora yake kutoka Urusi sasa ukivurugana nao watakuuzia vipi. Na pia Turkey anajua kuwa NATO hawatompa air defence system hivyo hawezi kucompromise system za Russia, najua lazima kwenye mkataba wa kuuziana kuna makubaliano ya kuzuia system hiyo usikaguliwe na wengine.
Na ikumbukwe silaha zinazouzwa zinakuwa ni export version ya silaha inayotumika na nchi. Kwahiyo kuna tofauti kidogo kwenye mifumo.
Mwisho kabisa. Wakileta jeuri hizo batteries zitaharibiwa na jeshi la Urusi lenyewe, kinyago ukikichonga wewe hakikutishi.
Da hii nayo Ni fact ambayo nilikua siijui.Asante ndugu kwa ufafanuzi huu,nimejifunza Jambo hapa.The following export product groups represent the highest dollar value in Russian global shipments during 2018. Also shown is the percentage share each export category represents in terms of overall exports from Russia.
Mineral fuels including oil: US$237.6 billion (52.9% of total exports)
Iron, steel: $23.4 billion (5.2%)
Cereals: $10.5 billion (2.3%)
Gems, precious metals: $10.1 billion (2.2%)
Machinery including computers: $9.2 billion (2%)
Wood: $9 billion (2%)
Fertilizers: $8.2 billion (1.8%)
Aluminum: $6.6 billion (1.5%)
Copper: $5.4 billion (1.2%)
Electrical machinery, equipment: $4.9 billion (1.1%)
Kingine, mauzo ya Russia kwa Africa ni kama 3% tu ya exports zote. Na hizo ni kwa Algeria, Morroco, Egypt na nchi zenye mazoea na manunuzi uko. Wewe mbongo ni vigumu ukutane nazo lakini mifumo ya kompyuta iyo ndo waweza: eg.Telegram na Karspersky.
Hoja Nikwamba Mrussi Hana Kiwanda Cha Iphone Ila Anakiwanda Ama Viwanda Vya CmI knew you gonna answer like this.
Nakurudisha nyuma ulisema hivi
Swali langu liko palepale Mrusi anakiwanda cha iPhone? Mchina anacho
Hakuna Turkey Atakachopeww Zaidi Ya Kuwataka Wafanye Mazungumzo tuHa ha hahaha hela nitoe wapi Mkuu!?
Nimetoa mtazamo wangu tu.Humu JF Kuna wataalamu wa kila fani.nilijua tu kuwa Kuna watu wataniondolea kiu ya maoni yangu.
Nipe Nondo zako Mkuu.
Ila bado Nina wasiwasi huko the dako hii Vita itachukua sura mpya,NATO wamekutana kujadili hatima ya mwanachama wao.Turky.Na Turkey amekwisha fungulia wakimbizi wameisha Anza kuingia Bulgaria.Europe wameanza kutafakari Jambo hilo.lnawezekana NATO wasiingie kijeshi lakini vipi wakimpa Turkey sophisticated weapons kumpiga Urusi Hali itakuaje?
Sasa kwanini marekani Akifanya hivyo anaitwa muonevu?.wewe ndiye, hujui kitu kuhusu strategy za kijeshi, unavosikia askari wa Tanzania wamekufa kongo unapata pocha gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mrusi movie zake teknolojia yake ipo vizuri naye kama Hollywood! Niliona movie yao ya Allien wanavamia Dunia.Nyie ambao hamjaona move za Russia basi mjue hamjaniwekea muzi nzur na kali kali jaribun kutafuta mbona mtaelewa tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha haaa,Ndugu unazungumzia Russia ku pogwa block huko njiani Syiria,Kama Marekani alikua amewahi kisima Cha mafuta fulani huko Syiria Urusi hawezi kumtoa,halikadhalika Urusi akiwahi kisima cha mafuta huko Syiria Marekani hawezi kumtoa.Hali iliyotokea inafanana na hivyo nilivyokuambia.Urusi walikua wanaelekea kwenye eneo la kisima Cha mafuta lililokaliwa na Marekani,Marekani kweli waliwablock Warusi.Nendeni mkaangalie tu ubalozi wa Urrudi pale S
Acha upuzi. Sasa hivi US yupo Syria kwa mabavu umemsikia Russia anapiga bomu pale. Nako wachache sana.
Vip uliiona ile clip wa Russia wame pigwa block kule syria wakaambiwa warudi walikotoka. Ipo youtube.
Naona naongea na mtu ambae hajui nasema nini. Mi nimeingia pale Ubalozini kwao Selader Bridge O^bay Russia njaa tupu.
Halafu tullingia kuchukua Visa pale msasni ililokuwa Drive Inn msasani. Tofauti kubwa mchana na Usiku.
Bye for now & signing out naona napoteza muda wangu tu
Kosa kubwa analofanya Urusi ni kutosambaza bidhaa zake,nadhani athari na akili za ukomunist bado haijawatoka.Mrusi movie zake teknolojia yake ipo vizuri naye kama Hollywood! Niliona movie yao ya Allien wanavamia Dunia.
Bila shaka.K
Kosa kubwa analofanya Urusi ni kutosambaza bidhaa zake,nadhani athari na akili za ukomunist bado haijawatoka.
Nipe jina mkuuMrusi movie zake teknolojia yake ipo vizuri naye kama Hollywood! Niliona movie yao ya Allien wanavamia Dunia.
US Alienda SYRIA LIBYA IRAQ AFGHANISTAN Kwamualiko wanani nahuko kote alipoenda maraisi ama viongozi wamataifa husika hawajabakia salama.....
Mkuu unataka kusema Urusi kuna akina Jay z like lakin huku bongo ndo hatuwajui?!!T
Tanzania haiwezekani kubeba vitu vya Dunia nzima.Kuna nchi wanatumia bidhaa za kutoka Urusi pia.Pia Kuna nchi zinapata hizo Entertainment products Kama movies na music kutokea Urusi.Shida ninayoiona Ni Wao Urusi kutosambaza bidhaa zao Hadi huku Kwetu,nadhani hayo yalikua ni mapungufu ya Ukomunist.Hata wachina walikua hivyo,bidhaa zao wanauza ndani tu,walipofungua masoko bidhaa zao zilienea dunia mzima.
'Bongo tunayo Bongo movie kama US', Hollywood na bongo movie wapi na wapi! Nadhan umenielewa!Hoja wala haikua kugusa wala kutogusa mtoa hoja alisema urusi ina viwanda vyakila aina unavyovijua wewe wewe ukasema industry ya music
Kwan kutofika tanzania ndio kutokua na hio industry
Mbna maswali mepesi yanakua yanawapa shida kujibu
Kwamba industry ya US Ipo Juu Hakuna Anaebisha ila ukweli nikwamba hata RUSSIA Wanayo Hio Industry Nandio Ilikua Main Point
Sasa masuala yakuajiri sijui kufika kijijini kusikiliza yameingiaje hapa MKUU[emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaposifiaga urusi kwa siraha unafikiri nchi zingine hawatengenezi?!Kwahio hivyo ndio mrusi hana ama [emoji23][emoji23][emoji23]
Wakati mpaka kenya hapa wanavyo itakua RUSSIA
Ukiamaliza kuota urudi kuchangia mambo ya maana.
Sent using Jamii Forums mobile app
jamaa kasema Uwepo wa Urusi Syria ni mkakati kijeshi,ilo la kualikwa ni jambo jingine.Jamaa wanaitwa waomevu kwasababu tofauti na RUSSIA Kwamaana RUSSIA Yupo Kijeshi SYRIA Kwamualiko wa Al Assad US Alienda SYRIA LIBYA IRAQ AFGHANISTAN Kwamualiko wanani nahuko kote alipoenda maraisi ama viongozi wamataifa husika hawajabakia salama.....
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona umewaacha ndugu zako waturuki sasa unaishabikia Russiaππππ.Urusi yawaonya tena Uturuki iondoke kwenye mipaka ya Syria na Warudi kwao Uturuki kuna mashambulizi anataka kufanya Russia mwenyewe, taari Su-25 kama 30 zinajitaarisha na mashambulizi
#BREAKING: Minutes ago, #Russian officials warned #Turkish government to not have #Turkish Army troops outside their observation posts in #Idlib, #Syria because they will be targeted by #Russia Air Force!
Sent using Jamii Forums mobile app