Rwanda hawezi kuitisha Uganda, never everRwanda na Uganda watapigana Mara tu Corona itakapokwisha, Kagame anachosubiri ni kupata uhakika toka kwa Magufuli iwapo Tanzania itaendelea kuruhusu vifaa vya kivita vya Rwanda kupitia Dar port wakati WA kipindi chote cha vita.
Ila ninakubaliana na wewe kwamba Tanzania hatupo very much interested na EAC, kumbuka Tanzania kwa sasa ni mwenyekiti na katibu wa SADC, na mwezi uliopita tulifanikisha mkutano wa nchi za SADC kuhusu mapambano ya Corona.
Sent using Jamii Forums mobile app
Walishapigana ndani ya ardhi ya DRC na matokeo yake yanajulikana dunia nzima.Rwanda hawezi kuitisha Yuganda,,never ever
How many tests has uganda done?Weka kumbukumbu zako vizuri, Uganda imepima "almost twice than Kenya", tafuta taarifa wacha kujipa matumaini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huku Tanzania watu wameambiwa wana korona wakati hawana hata dalili! Miezi imepita, hata dalili hakuna!! Kuna agenda ya siri katika hili! Dunia inataka kuaminishwa kuwa tatizo ni kubwa ili ikubali chanjo ambayo itakuwa kwa mtindo wa scan fulani na watatumbukiza hapo 666!!Mkuu ameibua mjadala mkubwa sana, nina amini asemacho ni kweli. Hisia zangu zinaniambia sample zinakuwa contaminated wakati wa kuchukua, kusafirisha, au huko maabara.
Au reagent zina tatizo na hii ilitokea hata marekani walitupa na kuagiza mpya. Mwisho inaweza kuwa kweli kuna hujuma ya ndani au toka nje ya nchi.
Mjadala mzuri sana huu maana mimi nimewahi kuambiwa nina damu group flani na kukapita miaka nikaenda kupima Hifadhi (bank) ya Taifa ya damu salama nikaambiwa nina group jingine tofauti na la p0mwazo na zote ni taasisi kubwa za serikali.
Mmmh nyie watu wa consipiracy theory na mambo ya 666 mnaweza kutuchanganya zaidi.Hh
Huku Tanzania watu wameambiwa wana korona wakati hawana hata dalili! Miezi imepita, hata dalili hakuna!! Kuna agenda ya siri katika hili! Dunia inataka kuaminishwa kuwa tatizo ni kubwa ili ikubali chanjo ambayo itakuwa kwa mtindo wa scan fulani na watatumbukiza hapo 666!!
Kina Brigedia James kazini walikuwa more interested kuiba dhahabu,badala ya kufightWalishapigana ndani ya ardhi ya DRC na matokeo yake yanajulikana dunia nzima.
Sent using Jamii Forums mobile app
And you implemented none of the recommendations from the SADC meeting. Why join multilateral organizations if you know you will not follow any of the rules?Rwanda na Uganda watapigana Mara tu Corona itakapokwisha, Kagame anachosubiri ni kupata uhakika toka kwa Magufuli iwapo Tanzania itaendelea kuruhusu vifaa vya kivita vya Rwanda kupitia Dar port wakati WA kipindi chote cha vita.
Ila ninakubaliana na wewe kwamba Tanzania hatupo very much interested na EAC, kumbuka Tanzania kwa sasa ni mwenyekiti na katibu wa SADC, na mwezi uliopita tulifanikisha mkutano wa nchi za SADC kuhusu mapambano ya Corona.
Sent using Jamii Forums mobile app
Why are you always talk nonsense?And you implemented none of the recommendations from the SADC meeting.Why join multilateral organizations if you know you will not follow any of the rules?
It is not that you are not interested in eac, it is that Kenya controls the eac economically and logistically and that hurts Tanzania, so you turn to seek solace among other beaten countries in sadc, but even in SADC you do not have a voice apart from the token you have been given. south africa controls sadc.
Hh
Huku Tanzania watu wameambiwa wana korona wakati hawana hata dalili! Miezi imepita, hata dalili hakuna!! Kuna agenda ya siri katika hili! Dunia inataka kuaminishwa kuwa tatizo ni kubwa ili ikubali chanjo ambayo itakuwa kwa mtindo wa scan fulani na watatumbukiza hapo 666!!
Itakusaidia nini ukijua?Kwani wewe ni mwanasayansi? Umesomea sayansi gani?
Katika utafiti kuna "replication" kurudia utafiti kwa njia ile ile ukapata majibu yale yale. Hicho ndicho unashauri. Alichofanya Rais ni kuthibitisha uwezo na uhalali (Reliability and Validity) wa vipimo hivyo. Alichogundua ndicho hicho na kuagiza Taasisi za kitaaluma kufanya tafiti zaidi.Badala ya ku-retest watu kutumia aina tofauti ya kipimo unaenda kutest mbuzi na mapapai!! Kweli?!
Tatizo la kujifanya unajua kila kitu ndo hii. Rapid test ishalalamikiwa huko duniani hatujaanza sisi sasa ukiniuliza nilitaka atoe suluhisho gani nashindwa nikujibuje coz ipo wazi.
Ishu kubwa ni kudiscredit taasisi kabla hujabaini tatizo lilipo.
Achana na mambo ya lock down..Kitu kimenifanya nikose kuamini Mapadlocks anachosema ni kuwa Karibia kila nchi ya Afrika ikiwemo Kenya, zinatumia reagents na swabs na testing kits za WHO. Sasa itakuwaje, kati ya nchi zaidi ya hamsini ambazo zinapewa testing kits na WHO ni nchi moja tu inacomplain. Kwanza nchi ambayo ni kichwa ngumu imekataa kufanya hata partial lockdown?
I respect that! I stand corrected! This is the type of conversations I want.
Mpima papai ndo anatutakia mema?Achana na mambo ya lock down..
Unawaamini WHO
People who took you as slaves ..do you think their children change that much
Boss usipende kuamini kila kitu
Ushaskia Neo colonialism
Unahisi wazungu wanatutakia mema sana...?
Hata baadhi ya wa africa hatutakiani mema ndo iwe whites ??
Sent using Jamii Forums mobile app
Tumefanya partial lockdown inayoendana na mazingira yetu. Tumefunga shule na vyuo vyote. Kenya hamna la kujisifia! Kwa sababu lockdown yenu ni ya kiwango cha chini sana na level ya maambukizi na vifo havina tofauti na Tanzania. Kenya Hanna ubavu wa kufanya total lockdown kama Rwanda.Kitu kimenifanya nikose kuamini Mapadlocks anachosema ni kuwa Karibia kila nchi ya Afrika ikiwemo Kenya, zinatumia reagents na swabs na testing kits za WHO. Sasa itakuwaje, kati ya nchi zaidi ya hamsini ambazo zinapewa testing kits na WHO ni nchi moja tu inacomplain. Kwanza nchi ambayo ni kichwa ngumu imekataa kufanya hata partial lockdown?
Ndo maana nmekwambia achana na mambo ya COViD ..my thing is about Neo Colonialism..and not all whites want best for usMpima papai ndo anatutakia mema?
Ukiwa unajua science unaweza kuwa na uelewa kwamba Mbuzi ni warm blood na wananyonyesha na wana sifa nyingi zinazofanana na binadamu na kundi la mammals kiujumla kama bat wanabeba coronavirus basi si ajabu mbuzi wakiwa na coronavirus!je hawa ndio mbuzi wa koronaaa??😂
View attachment 1438957