Itakua unamuomba aliyekaimishwa madaraka ya MunguHabari zenu Wanajamiiforums.
Kwa mda niliotumia kumuomba Mungu na kutokupata majibu yoyote, nahitimisha kuwa nguvu za Mungu si nyingi kama tulivyoaminishwa.
Aisee nataka kuamia Mizimuni, Anayejua namna ya kutambikia Mizimu anielekeze, Mungu aliyeletwa na meli kwenye maisha yangu amefeli (Hana impact yoyote).
Am done.
Mtu akiamini mizimu ipo, Lakini haamini Mungu yupo. Huyo bado anakuwa kigeugeu. Mguu mmoja nje, mguu mwingine ndani.
Haiwezekani mtu uamini kuna nguvu za mizimu, Halafu usiamini uwepo wa Mungu.
Kwa sababu hata hiyo mizimu ni ya kufikirika tu, Haipo.
Mtu anakuwa kabadilisha "imani" ya kuamini tu.
Umetoka kuamini Mungu ambaye hayupo, Unakwenda kuamini mizimu ambayo haipo vilevile.
[/QUOT
We kijana umeelewa nilichokiandika hapo, Maoni yangu ni kuwa Nina mashaka na uwezo wa Mungu means bado nipo dilemma maana nimemuomba kwa mda mrefu na sijaona matokeo.
Kwahiyo pia nataka nijaribu Mizimu nione.
Samahani unaweza kuthibitisha kuwa Mizimu ni viumbe vya kufikirika?
Kwa utafiti wangu mdogo nilioufanya Kwa asilimia kubwa huenda Mizimu inafanya kazi.
Haya moja Ndugu.Hujapata hata moja?
Hekima ya Mungu siyo ya mwanadamu. Unapoomba, usiache kuruhusu hekima ya Mungu itende kazi. Ebu fikiria sala ile ya Kristu Masiha wetu.Nilipokuwa deep kwenye dini maisha yangu yalikuwa magumu kama chuma Cha pua nimetoka uko uko ila waya ni mkali sana unaweza ukadata na kupagawa Kuna mida huelewi maisha yanataka nn? Kmmk
Inategemea na asili yenu, asili zingine sio nzuri na sio za kupata mafanikio unayoyataka. Lakini jaribu kua na imani, usiwe vuguvugu, chagua mojaHii nataka niipractice sio kuwa tu na imani.
Nataka nione upande wa pili kama utakuwa na matokeo.
He is an illusion.HE IS STILL GOD,hata asipojibu maombi , yeye Bado ni MUNGU...
Kuto kupata majibu ya maombi wala usimlaumu Mungu wala dini wala mtu yeyote, changamoto ni wewe mwenyewe,Habari zenu Wanajamiiforums.
Kwa mda niliotumia kumuomba Mungu na kutokupata majibu yoyote, nahitimisha kuwa nguvu za Mungu si nyingi kama tulivyoaminishwa.
Aisee nataka kuamia Mizimuni, Anayejua namna ya kutambikia Mizimu anielekeze, Mungu aliyeletwa na meli kwenye maisha yangu amefeli (Hana impact yoyote).
Am done.
Watoto wachanga na wadogo wanaoteseka na kupata shida hapa duniani, Je na wao wanakuwa wamekosa imani hadi wateseke?Kuto kupata majibu ya maombi wala usimlaumu Mungu wala dini wala mtu yeyote, changamoto ni wewe mwenyewe,
IMANI Mkuu hauna imani... full stop 🛑
Mbona wenzako wanajibiwa... Mkuu inabidi ujiulize kwanini mimi!?
Huyo Mungu ameshindwa kutekeleza, kutenda na kujibu maombi ya maelfu ya watu.Mungu yupo .mwambie atatenda
Ukiona Mungu anahangaikiwa na watu ajulikane yupo badala ya kuja yeye mwenyewe kujidhihirisha yupo, Fahamu kwamba huyo Mungu alitengenezwa na watu tu.Kinachonifurahishaga ni jinsi hawa 'watu wa Mungu' wanavyowatukana watu wanaokuja na hoja zinazokinzana na Mungu. Huwa najiuliza kwa matusi hayo mbinguni wataenda kweli?
Kwa sababu tayari ulikua na option BLakini katika maisha yangu hajanifanyia chochote CUTE ❤️
Mungu awasaidie hao watoto kwani amewazaa yeye?Watoto wachanga na wadogo wanaoteseka na kupata shida hapa duniani, Je na wao wanakuwa wamekosa imani hadi wateseke?
View attachment 3190912
Hivi huyo Mungu hajui kwamba watoto wachanga na wadogo hawana ufahamu wa kuwa na imani?
Kwa nini huyo Mungu Hawasaidii watoto wachanga na wadogo wasio na imani hadi wanabaki kuteseka?
Kwa nini huyo Mungu anaruhusu na kuacha watoto wadogo wateseke, ilhali anajua kwamba hawana ufahamu wa kuwa na imani?
Hivi huyo Mungu wako anajielewa kweli?
Usimuombe Mungu moja kwa moja huwa yupo bize na mambo mengiHabari zenu Wanajamiiforums.
Kwa mda niliotumia kumuomba Mungu na kutokupata majibu yoyote, nahitimisha kuwa nguvu za Mungu si nyingi kama tulivyoaminishwa.
Aisee nataka kuamia Mizimuni, Anayejua namna ya kutambikia Mizimu anielekeze, Mungu aliyeletwa na meli kwenye maisha yangu amefeli (Hana impact yoyote).
Am done.
Free will; una uhuru wakufanya chochote na kwa chochote utakacho ukifanya uwe tayari kuwajibika kwa matokeo yake kiwe kibaya ama kizuri.Watoto wachanga na wadogo wanaoteseka na kupata shida hapa duniani, Je na wao wanakuwa wamekosa imani hadi wateseke?
View attachment 3190912
Hivi huyo Mungu hajui kwamba watoto wachanga na wadogo hawana ufahamu wa kuwa na imani?
Kwa nini huyo Mungu Hawasaidii watoto wachanga na wadogo wasio na imani hadi wanabaki kuteseka?
Kwa nini huyo Mungu anaruhusu na kuacha watoto wadogo wateseke, ilhali anajua kwamba hawana ufahamu wa kuwa na imani?
Hivi huyo Mungu wako anajielewa kweli?
Ili Mungu akusikie na kukupa yale unayomuomba, kuna vigezo na masharti. Baadhi ya vigezo vipo katika Andiko hili:Habari zenu Wanajamiiforums.
Kwa mda niliotumia kumuomba Mungu na kutokupata majibu yoyote, nahitimisha kuwa nguvu za Mungu si nyingi kama tulivyoaminishwa.
Aisee nataka kuamia Mizimuni, Anayejua namna ya kutambikia Mizimu anielekeze, Mungu aliyeletwa na meli kwenye maisha yangu amefeli (Hana impact yoyote).
Am done.