Stephen Ngalya Chelu
JF-Expert Member
- Oct 31, 2017
- 8,252
- 18,335
Kinachonifurahishaga ni jinsi hawa 'watu wa Mungu' wanavyowatukana watu wanaokuja na hoja zinazokinzana na Mungu. Huwa najiuliza kwa matusi hayo mbinguni wataenda kweli?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu fala tu, hawezi kukupatia hata senti moja
Kumbe Mungu ana upendeleo!!!Eeh Mwenye Enzi Mungu, nakuomba msahama kwa kwa niaba ya huyu mleta uzi, wewe ni Muweza wa Yote, unayempa umtakaye na kumnyima umtakaye.
Endelea kutuzidishia imani, matumaini na mapendo, tunapoendelea na mwaka huu mpya, ili wewe uweze kudhihirka kwa wale wenye subra na wakutumainiao. AMEN
Ngoja nijaribu upande wa pili hakuna namna.Ukifikiria sana haya maisha sometimes unaweza kufuru,ila yote kwa yote Mungu yupo ila ndo yataka uvumilivu sana,wakati umekata tamaa,akili yako imefika mwisho ndo unaona majibu
Sijui situation unayopitia ila kwenye maisha Kuna kuanguka na kuinuka,usikate tamaa mizimu Ina ghalimu lazima utoe kafara n.k.
Tushangae wote, Kama Mungu muweza wa yote mpaka umuandae!!Mmhh maandalizi tena yaani Mungu mwenye mamlaka na muumba wa mbingu na ardhi na vyote vilivyomo umfanyie maandalizi tena..
Sasa na waganga nao wasemaje maan kule ndio mambo ya kuku mbuzi ni kawaida.
Kinachonifurahishaga ni jinsi hawa 'watu wa Mungu' wanavyowatukana watu wanaokuja na hoja zinazokinzana na Mungu. Huwa najiuliza kwa matusi hayo mbinguni wataenda kweli?
Duuh!!! sawayani hilo tu? best, Mungu hakupi unachokitaka anakupa unachostahili kwahiyo ww huamini kuna Mungu?
Exactly 💯Na kama yupo hana nguvu.
Mkuu nishajiandaa kufa, Anytime ikitokea ni Sawa.kila nikiona kichwa cha huu uzi nacheka!..
jamaa kachapa bila mbwembwe kikatili sana halafu hapohapo anatafuta mizimu!.. aangalie isijekufika mwisho wa mwaka yeye ndo akageuka kuwa huyo mzimu!..🤣
Sawa
Kabla hujafikiria kumuomba Mungu hakikisha alivyokupa kama akili na afya umevitumia kwa ukamilifu,,,unaweza pia kutumia na akili za wanadamu wengine kupitia USHAURI..
Zaidi ya hapo tafuta sadaka umpelekee Mwamposa.
imeandikwa usimjaribu bwana mungu wako kwa chochote hata kwa maombi bali muombe kwa moyo wako wote na kwa akili zako zote utamuona
Yericko huwa hayupo serious.ZABURI 14 : 1
"Mpumbavu amesema moyoni, Hakuna Mungu !"
Mwambie Mpumbavu mwenzio Yericko Nyerere akuonyeshe mizimu ya mababu zake ukaiabudu uenda inaweza kukusaidia na kutatua matatizo yako!
Lakini katika maisha yangu hajanifanyia chochote CUTE ❤️Mungu yupo na ana Nguvu sana
Mwanzoni nilikuwa namuamini Mungu.Hauna imani kama unaamini kuna mizimu na mashetani basi amini kuna malaika na kuna mungu
Ki ukwel nimecheka sana kuna watu mmeshindikana
Hakuna Jehanam mkuu wala moto wa milele.Na kinachowafanya wamuamini Mungu ni kwa sababu ya stori ya kusadikika ( MOTO WA MILELE)
SawaNakushauri uache kuomba.
The kingdom of heaven suffers violence, and the violent takes it by force. Mathew 11:12.
Unachokitaka kichukue kwa nguvu, sio kuomba, utangoja sana.
We Mlokole una uhakika kwamba Mimi ni Mzinzi na Mlevi?hapo hapo ni mzinzi wa kutupwa, mlevi wa kutupwa halafu unataka Mungu abariki uzinzi.
sasa akikupa si utaishia kuhonga tu
Sawa MkuuMungu yupo sema ujafanya sacrifice
Chinja jogoo rangi yyte pika kula supu,
Sheria chinja kwa mkono wako
Mungu anataka kafara(sacrifice) na hii ni siri ambayo viongozi wa dini weng hawakwambii ila wao wanafanya sana kafara
Mambo mengi sana.Ulikuwa unaomba nini??
Hujapata hata moja?Mambo mengi sana.