Sun is Sun
JF-Expert Member
- Mar 13, 2024
- 649
- 975
- Thread starter
-
- #121
Una experience na mambo ya asili?Inategemea na asili yenu, asili zingine sio nzuri na sio za kupata mafanikio unayoyataka. Lakini jaribu kua na imani, usiwe vuguvugu, chagua moja
Nimefanya hayo yote ila nimeambulia patupu.Ili Mungu akusikie na kukupa yale unayomuomba, kuna vigezo na masharti. Baadhi ya vigezo vipo katika Andiko hili:
:Ikiwa watu wangu, walioitwa kwa jina langu, wakijinyenyekeza na kuomba na kunitafuta uso wangu, na kuziacha njia zao mbaya, ndipo nitawasikia kutoka mbinguni, na kuwasamehe dhambi zao, na kuiponya nchi yao.” (2 Mambo ya Nyakati 7:14)
Aisee!!!Usimuombe Mungu moja kwa moja huwa yupo bize na mambo mengi
Watumie Malaika, wajulishe Malaika shida zako watamfikishia ujumbe
Hata mkuu wa mkoa tu huwezi kumuona kirahisi rahisi bila kupita kwa wasaidizi wake kwanza
Pia Mungu alishakupa kila kitu ni wewe tu kwenda kuchukua
Asante sanaAisee pole sana..
Nilikuwa namuamini yeye tu, Lakini alinisaliti.Kwa sababu tayari ulikua na option B
Akina nani hao wamejibiwa?Kuto kupata majibu ya maombi wala usimlaumu Mungu wala dini wala mtu yeyote, changamoto ni wewe mwenyewe,
IMANI Mkuu hauna imani... full stop 🛑
Mbona wenzako wanajibiwa... Mkuu inabidi ujiulize kwanini mimi!?
Wanaojibiwa ni wale wenye matatizo fekiKuto kupata majibu ya maombi wala usimlaumu Mungu wala dini wala mtu yeyote, changamoto ni wewe mwenyewe,
IMANI Mkuu hauna imani... full stop 🛑
Mbona wenzako wanajibiwa... Mkuu inabidi ujiulize kwanini mimi!?
Unenda kumuomba Mungu hela unafikiri ni mwanadamu? Kumuomba Mungu ni kumwabudu/kumcha siyo kuomba kama akina matonya.Habari zenu Wanajamiiforums.
Kwa mda niliotumia kumuomba Mungu na kutokupata majibu yoyote, nahitimisha kuwa nguvu za Mungu si nyingi kama tulivyoaminishwa.
Aisee nataka kuamia Mizimuni, Anayejua namna ya kutambikia Mizimu anielekeze, Mungu aliyeletwa na meli kwenye maisha yangu amefeli (Hana impact yoyote).
Am done.
Muogope Mungu wewe. Sisi anatujibu kila siku.Nilikuwa namuamini yeye tu, Lakini alinisaliti.
Asante sana ndiyo sifa kuu ya MunguHawai wala hakawii anakuja kwa wakati sahihi
Apo umenena aise Mungu anatenda na anajibu kwa wakati1. Mtu hujatubu madhambi yako ila unataka Mungu akutendee. ...Hilo sahau.
2. Mtu hutoi sadaka,zaka,malimbuko nk..bado unataka Mungu akuonekanie....Hilo sahau.
3.Mtu huna mahusiano mazuri na wenzako,ndugu zako na jamaa zako ..bado unataka Mungu akufanyie wepesi..Hilo sahau.
4. Mtu hujitoi Kwa kazi za Mungu,familia,jamii ..bado unataka Mungu ajibu maombi .Hilo sahau.
5.mtu unaishi Kwa kibri,unajisikia,si msikivu,hutaki ushauri,Wala huna chembe ya Huruma Kwa wenzako na Tabia ya wizi huachi...bado unataka Mungu akupe miujiza Hilo sahau..
6.mtu husomi neno la Mungu,hufungi..ukioomba Mungu unaomba Kwa kumshurutisha na malalamiko mengi..bado unataka MUNGU AKupende na kukutendea..Hilo sahau...
7.Mungu ana vigezo vyake..kama hutaki kuvijua ila unajiendea kama nyumbu...hakika sahau kupata majibu ...
8.mtu umekaa tu,hujaribu,huonyeshi jitihada Ili Mungu atie Kudra zake..wewe unataka maombi yashushe majibu kama Mana ..huna pa kushika Wala kuanzia huna connection...halafu eti Mungu mbona umeniachia...atakuacha kweli..
Kwa hiyo rekebisha njia zako...Mungu Hana sikio zito asisikie Maombi yako...
Narudia tena, jiulize mwenyewe unakwama wapi kwenye hayo maombi yako.Wanaojibiwa ni wale wenye matatizo feki
Kama alivyosema madam hapo, nimepitia comment zako. Inaonekana ulikua unaomba huku ukiwa dought/wasiwasi mashaka na unaemuomba. ((ulikua unaomba Ukimaliza kuna fikra zamashaka zinakuingia juu ya yale uliyoyaomba))Kwa sababu tayari ulikua na option B
Freewill haipo.Free will; una uhuru wakufanya chochote na kwa chochote utakacho ukifanya uwe tayari kuwajibika kwa matokeo yake kiwe kibaya ama kizuri.
Watoto wanakufa kwa njaa, vita, magonjwa halafu unasema wako normal?Kuhusu hao watoto, We ndio unawaona wanateseka, unajilinganisha na hali yako ila wao katika dunia yao wako normal...
Kuna watu kupata basic needs tu ni shida achilia mbali magari, nyumba na pesa.Wazazi wao ndio wanajisikia vibaya ila ni wajibu wao kwasababu waliamua kufanya hivyo.
Kuna kitu kinaitwa matumaini faraja(usawa kati ya furaha na huzuni) katika hili binadamu wote tupo sawa haijalishi unamali au hauna, kihisia wote tipo sawa ndio maana wote tunakuwa na matumaini ya kuendelea kuishi.
Pia material things vitu kama pesa ardhi magari nyumba ni vitu vya kumiliki tu, lakini sio utajili au vina thamani, huo uthamani wake tunaouona ni mtizamo tu, fikra(just perception) , tuliojengewa na mfumo wa maisha umeundwa katika namna ya kutufubaza, (illusion), mfano pesa ni number katika sarafu au karatasi.
Huyo Mungu waku wasaidia hayupo.Mungu awasaidie hao watoto kwani amewazaa yeye?
Kwahio kote kote ni moto tuNilipokuwa deep kwenye dini maisha yangu yalikuwa magumu kama chuma Cha pua nimetoka uko uko ila waya ni mkali sana unaweza ukadata na kupagawa Kuna mida huelewi maisha yanataka nn? Kmmk
NIwe mkweli mshikaj kanichekesha kabla sijasoma uzi wenyewekila nikiona kichwa cha huu uzi nacheka!..
jamaa kachapa bila mbwembwe kikatili sana halafu hapohapo anatafuta mizimu!.. aangalie isijekufika mwisho wa mwaka yeye ndo akageuka kuwa huyo mzimu!..🤣
Wee jamaa acha kumdhihak MUNGUau utapata balaa!!Habari zenu Wanajamiiforums.
Kwa mda niliotumia kumuomba Mungu na kutokupata majibu yoyote, nahitimisha kuwa nguvu za Mungu si nyingi kama tulivyoaminishwa.
Aisee nataka kuamia Mizimuni, Anayejua namna ya kutambikia Mizimu anielekeze, Mungu aliyeletwa na meli kwenye maisha yangu amefeli (Hana impact yoyote).
Am done.