Smartkahn
JF-Expert Member
- Jun 22, 2020
- 594
- 1,061
Uwepo wa mwanadamu hauishii kwenye material world tu. Haya mambo unayoyashuhudio na kukuvunja moyo ni sehemu ndogo sana ya mchakato.Freewill haipo.
Huna freewill.
Kwa mfano, Huna uhuru wa kurudi mwaka 1980.
Hukuwa na freewill ya kuchagua uzaliwe ama usizaliwe, Umeshtukia tu umesha zaliwa bila kuamua mwenyewe.
Hivyo hakuna freewill.
Watoto wanakufa kwa njaa, vita, magonjwa halafu unasema wako normal?
Una utimamu huko kichwani kweli wewe?
Nenda Ethiopia huko Tigray, Cabo Delgado Msumbiji, Sudan kusini, Somalia Uone jinsi watoto wanavyo kufa kwa njaa na ukame!
Halafu wewe unakula na kushiba unasema eti hawateseki!!
Gentleman, Do you have common sense?
Ebu tembea uone!
View attachment 3191266
Kuna watu kupata basic needs tu ni shida achilia mbali magari, nyumba na pesa.
Kuna watu hata mlo mmoja tu kwa siku hawapati.
Maji hawapati.
Makazi na malazi hawana.
Na kama unataka kuwe hakuna changamoto yoyote hapa duniani, basi hakukua na maana yoyote ya sisi kuwepo hapa duniani.
Ni sawasawa unaenda shule halafu hautaki mitihani, kama hautaki kufeli basi unaweza ukaongeza juhudi na kubadilisha hatima yako ya matokeo, hivyo hivyo katika maisha hapa duniani wewe binafsi unauwezo wa kubadilisha hatima yako.
Chakuzingatia ni kwamba kuna nguvu na uhuru,
Nguvu inahitaji majukumu ili kufanya kazi kudhihirisha uwezo wake. Sasa tutajuaje uwezo wa nguvu zako?
Uhuru ili kufurahia uhuru unahitaji sheria, bila hivyo watu watavuka mipaka, na sheria zipo kwaajili yako na sio dhidi yako... Sheria inakulinda wewe.