Che mittoga
JF-Expert Member
- Mar 28, 2017
- 12,658
- 16,205
Polisi wamesema niwabishie mimi ni nani? Pia wameelezea kahusika kivipiUnao uhakika? sina maana ya kubisha ila tunahitaji facts maana hata Askofu Kilaini alihusika kwenye wizi wa pesa za ESCROW
Kwahiyo hao wanajumuia huwa wanalala na kutembea na paroko.Leta ushahidi wewe uliyekuja kupinga. Wanaodai hivyo ni wanajumuia. Uliza swali sasa.
Mkuu Mungu hajwaihi kumuumba Paroko wala polisi Mungu aliumba binadamuSalaam Wakuu,
Mambo ya dini yanaamsha hisia sana.
Inadaiwa Paroko aliyetajwa si Paroko wala nini. Ni kweli Polisi nao ni Binadamu. Kwa hili tunaomba uwajibikaji.
Inadaiwa Paroko ni Deodatus Tibakwasa na msaidizi wake ni Fr. Mathias.
"Msemaji wa Jeshi la Polisi David Misime amewataja watuhumiwa waliokamatwa ambao walieleza jinsi walivyoshiriki katika tukio hilo ni pamoja Baba mzazi wa mtoto huyo aitwaye Novart Venant, Desideli Evarist ambaye ni mganga wa jadi mkazi wa Nyakahama, Elipidius Rwegoshora Paroko Maidizi wa Parokia ya Bugandika ambaye anadaiwa kumfuata na kumshawishi Baba mzazi wa mtoto ili wafanye biashara ya viungo vya binadamu.".
Huyu Rwegoshora inadaiwa ni teja ambaye alikuwa anaenda kwa Paroko kupata msaada.
Bado naamini Taarifa ya Polisi. Ila pia natamani Msaidizi wa Paroko ajitokeze hadharani kukanusha mwenyewe.
Kinachonisikitisha ni padri akihusika kanisa linashiriki kumnasua, hawajali maumivu ya victimNa hii huwa tunasema kila siku huku. Uovu usichanganywe na taasisi. Leo padri, kesho shehe kesho kutea mchungaji. Shida hapa angekuwa shehe au mchungaji ungeona tabu yake.....moja la mitume sijui limefanyaje. Hapa na Padri mbwembwe nyingi. Kipindi Cha Uovu wa Gwajima kila mchungaji alitukanwa. Ikifika kwa padri wa Kilimanjaro yule mbakaji kunakuwa na excuses. Tutumie akili uovu hauna dini
Atajitokeza vipi wakati kanisa lenyewe halijakanusha? Kumbuka polisi wanasema wanamshikilia paroko sasa unajua paroko alivyohojowa kajibu nini? Ila sishangai kama padri kimario aliyefungwa kwa kesi ya ulawiti alitoroshewa msumbiji basi hata hili litapita na baba paroko atabaki salamaKanisa katoliki lina utaratibu wake huwa hawakurupuki kama alivyokurupuka msemaji wa polisi ndiyo maana linaheshimika duniani kote.Aliyekurupuka kumtaja paroko ajitokeze tena kulisafisha kanisa mbele ya vyombo vya habari
Mimi nina uhakika kanisa limekaa kimya hadi muda huu ninapoandika hapa, kama polisi tumewasikia kwanini kanisa tusilisikie? Wao wanatumia media gani ambazo sisi hatuzijui?Una uhakika kanisa limekaa kimya?
Leta ushahidi wewe uliyekuja kupinga. Wanaodai hivyo ni wanajumuia. Uliza swali sasa.
Kumbe wewe hata haumjui na unatuletea uliyoyasikia! Huu ni kama umbeya sasa.Leta ushahidi wewe uliyekuja kupinga. Wanaodai hivyo ni wanajumuia. Uliza swali sasa.
Nani amesema siyo Padre? Soma tena nilichoandikaUpadre ni sacramenti huwa hautoki milele huyo ni padre
Upadre wake haujafutika Kwa hiyo sababu .
Huyo bado ni Padre hizo zingine zote porojo ohhh sijui Teja sio padre sio kweli.Pl
Huyo ni padre asilimia Mia moja
Kanisa limeshikwa pabaya this time kwa tabia zisizoridhisha za viongozi wake. Waachwe wajitetee wenyewe kwa kumkana padre wao. Siyo huyo tu, hata wengine wanatabia mbovu sana kwenye jamii.Salaam Wakuu,
Mambo ya dini yanaamsha hisia sana.
Inadaiwa Paroko aliyetajwa si Paroko wala nini. Ni kweli Polisi nao ni Binadamu. Kwa hili tunaomba uwajibikaji.
Inadaiwa Paroko ni Deodatus Tibakwasa na msaidizi wake ni Fr. Mathias.
"Msemaji wa Jeshi la Polisi David Misime amewataja watuhumiwa waliokamatwa ambao walieleza jinsi walivyoshiriki katika tukio hilo ni pamoja Baba mzazi wa mtoto huyo aitwaye Novart Venant, Desideli Evarist ambaye ni mganga wa jadi mkazi wa Nyakahama, Elipidius Rwegoshora Paroko Maidizi wa Parokia ya Bugandika ambaye anadaiwa kumfuata na kumshawishi Baba mzazi wa mtoto ili wafanye biashara ya viungo vya binadamu.".
Huyu Rwegoshora inadaiwa ni teja ambaye alikuwa anaenda kwa Paroko kupata msaada.
Bado naamini Taarifa ya Polisi. Ila pia natamani Msaidizi wa Paroko ajitokeze hadharani kukanusha mwenyewe.
Ebu Lete picha zaoKanisa linatafuta kujisafisha tu, Baba paroko kahusika
Sasa huko Kagera mapadre wote ni wenyeji wa huko huko , maana naona Majina ni ya huko hukoPunguzeni Utaaahira
Kwa nini li cost ikiwa Paroko Msaidizi yeye mwenyewe kamuandikishia MTeU simu Kwa Jina lakeMsemaji wa jeshi la polisi kachemka na kwenye hili litamkosti
Aliyekamatwa siyo Paroko msaidizi na wala siyo padre.
Ni mraibu ambaye paroko msaidizi alisoma naye aliamua kumchukua parokiani ili aweze kusaidiwa.
Hivyo kumtaja kama baba padre ni watu kutokutumiza majukumu yao katika kufuatilia mambo .
Paroko anaitwa Deodatus Tibakwasa na msaidizi ni Fr.Mathias.
Inasemekana Padre alimsajilia mtu line kwa kutumia kitambulisho chake hivyo wakati wa upelelezi na kutrack simu zilizotumika ndo akatiwa korokoroni kwakuwa jina lilisoma la kwake. Ndo maana huwa daima ninalia na reporters wetu ktk uandishi wa taarifa.
Picha zao wakina nani?Ebu Lete picha zao
Hao ni walevi tu wa Imani lakini Mimi kama mkristo na mzalendo wa utu namkuhukumu huyo paroko kifoWakristo mnapenda kutetea uovu na ukatili ,mmbbbwa