Abul Aaliyah
JF-Expert Member
- Nov 8, 2016
- 7,718
- 5,899
Mpaka mthemeHii ni mihemko yenu tu . Lakini hao ni watuhumiwa tu , watakuwa na hatia mpaka pale mahakama itakapothibitisha .
Ila kwa tuliosomea Cuba tunanusa kuwa taarifa ya polisi ina walakini na inatia mashaka .
Tayari huko soon wanaita pressAliropoka vipi wakati wanaye mkononi
Mtamsikia mwenyewe akiunguruma mahakamani
Waandishi wa Habari wa investigative Journalism ingieni kazini
Umesema hapa huyo ni padre!Si kweli, huyo ni Padre wa Parokia ya Rutabo siyo hiyo Polisi wanayoisema. Sijui kuhusu issues za identities, ila nijuavyo mwenye jina hilo ni Padre wa Parokia ya Rutabo na hata ukimpigia namba yake inapatikana.
Sijajua kuhusu upande huu wa taarifa ya Polisi kama ina ukweli au ina makosa
Soma hioMpaka mtheme
Mkuu ulishajibu huyo ni padreSiyo nafasi yangu kuliongelea, maana sipo kishabiki, ila nimetoa maelezo ninayoyafahamu. Wewe yachukue hayo.
Soma acha kukurupukaUmesema hapa huyo ni padre!
Soma acha kukurupuka ovyoMkuu ulishajibu huyo ni padre
Kwa maana ya jina “NDIYO”, huyo ni Padre, ila si wa Parokia hiyo.Umesema hapa huyo ni padre!
Wewe soma alafu ukae kimya wenyewe wameshasemaKwa maana ya jina “NDIYO”, huyo ni Padre, ila si wa Parokia hiyo.
Je, jibu langu lilikuwa na “Padre” pekee au kulikuwa na maelezo mengine? Naona unakusanya na kutoa taarifa katika style ileile inayokaribisha makosa na mkanganyiko.Mkuu ulishajibu huyo ni padre
Hayo ya sio wa parokia hiyo subiri mahakamani itajulikana hukoKwa maana ya jina “NDIYO”, huyo ni Padre, ila si wa Parokia hiyo.
Waandishi wa Investigative journalism ingieni kazini mtandaonwa wafanyabiashara wa viungo vya binadamu naona uko kazini kujitahidi kutaka kumchomoa mwenzao
Hii kitu kitu yaweza ibua mazito kuwa hasa ni akina nani hasa wanahusika na biashara ya albino Kanda ya ziwa
Pandora box inakaribia kufungua
Investigative journalists wa ndani na nje ya nchi ingieni kazini
Hayo ya sio wa parokia hiyo subiri mahakamani itajulikana huko
Sasa akanushe kwani ametajwa kwa jina? Mambo ya uandishi magumu. Siku moja nikiwa newsroom ilikuja caption kutoka kwa mwandishi Zanzibar na kulikuwa na ibada ya Kiislamu na caption ilisomeka: *Sheikh X akiongoza Misa....katika Msikiti Y Zanzibar." Upo hapo?Salaam Wakuu,
Mambo ya dini yanaamsha hisia sana.
Inadaiwa Paroko aliyetajwa si Paroko wala nini. Ni kweli Polisi nao ni Binadamu. Kwa hili tunaomba uwajibikaji.
Inadaiwa Paroko ni Deodatus Tibakwasa na msaidizi wake ni Fr. Mathias.
"Msemaji wa Jeshi la Polisi David Misime amewataja watuhumiwa waliokamatwa ambao walieleza jinsi walivyoshiriki katika tukio hilo ni pamoja Baba mzazi wa mtoto huyo aitwaye Novart Venant, Desideli Evarist ambaye ni mganga wa jadi mkazi wa Nyakahama, Elipidius Rwegoshora Paroko Maidizi wa Parokia ya Bugandika ambaye anadaiwa kumfuata na kumshawishi Baba mzazi wa mtoto ili wafanye biashara ya viungo vya binadamu.".
Huyu Rwegoshora inadaiwa ni teja ambaye alikuwa anaenda kwa Paroko kupata msaada.
Bado naamini Taarifa ya Polisi. Ila pia natamani Msaidizi wa Paroko ajitokeze hadharani kukanusha mwenyewe.
Punguza uropokaji au ndio yule Polisi mropokaji?Hayo ya sio wa parokia hiyo subiri mahakamani itajulikana huko
Sasa akanushe kwani ametajwa kwa jina? Mambo ya uandishi magumu. Siku moja nikiwa newsroom ilikuja caption kutoka kwa mwandishi Zanzibar na kulikuwa na ibada ya Kiislamu na caption ilisomeka: *Sheikh X akiongoza Misa....katika Msikiti Y Zanzibar." Upon hapo?
Hawa wote ni watuhumiwa. Kamatakamata ya mwanzo ya polisi, huwa ni kama fagio. Baada ya kuwahoji, ndipo wanachabuliwa kuona nani ashtakiwe na nani aachwe. Kwa hiyo kukamatwa kwa Paroko au msaidizi wake, siyo ajabu.Salaam Wakuu,
Mambo ya dini yanaamsha hisia sana.
Inadaiwa Paroko aliyetajwa si Paroko wala nini. Ni kweli Polisi nao ni Binadamu. Kwa hili tunaomba uwajibikaji.
Inadaiwa Paroko ni Deodatus Tibakwasa na msaidizi wake ni Fr. Mathias.
"Msemaji wa Jeshi la Polisi David Misime amewataja watuhumiwa waliokamatwa ambao walieleza jinsi walivyoshiriki katika tukio hilo ni pamoja Baba mzazi wa mtoto huyo aitwaye Novart Venant, Desideli Evarist ambaye ni mganga wa jadi mkazi wa Nyakahama, Elipidius Rwegoshora Paroko Maidizi wa Parokia ya Bugandika ambaye anadaiwa kumfuata na kumshawishi Baba mzazi wa mtoto ili wafanye biashara ya viungo vya binadamu.".
Huyu Rwegoshora inadaiwa ni teja ambaye alikuwa anaenda kwa Paroko kupata msaada.
Bado naamini Taarifa ya Polisi. Ila pia natamani Msaidizi wa Paroko ajitokeze hadharani kukanusha mwenyewe.
Dingii nakumbuka ngedule loli uko jamaa wakipiga na kulewa hapakalikiSio paroko ni mlevi mmoja wa ngedule
Kama itakuwa ni kweli amehusika, kwanini wafanye makosa ya makusudi kabisa yatakayopelekea mharifu awe huru?Hayo ya sio wa parokia hiyo subiri mahakamani itajulikana huko