Kama kweli tunamuamini Mungu katika majanga ni kwanini tulikatazwa kumuombea Tundu Lissu alipopigwa risasi?

Kama kweli tunamuamini Mungu katika majanga ni kwanini tulikatazwa kumuombea Tundu Lissu alipopigwa risasi?

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
Tuli katazwa kukusanyika na kumuombea kiongozi na mbunge wetu alipopigwa risasi 16. Tulikatazwa kuvaa T-shirts za Pray 4Tundu Lissu.

Ni Mungu yupi huyo anaechagua maombi. Hata kwenda kumjulia hali Tundu Lissu hospitali lilikuwa kosa la jinai.

Nchi imekuwa ya matabaka, viongozi wa upinzani wanaonekana kama wahalifu. Hawa ni viongozi tuliowapigia kura na tuna imani na uongozi wao.
 
Kama haupo ccm sio mtu, we ni mdeki choo za "mabeberu".
Mkoa gani ule waliambiwa hawakumchagua kiongozi wa ccm kwa hiyo wakamuombe kiongozi wao wa upinzani maendeleo?
Hahaha jiwe ana double standard za kijinga sana na hana aibu kuziexpress nje nje sababu anajua watanzania wengi ni vilaza wanamuunga mkono.
 
Kumbe wewe hukumuombea sababu tu ulikatazwa kuvaa tisheti ulitaka Mungu asome ile tisheti ,
Mbona wengi tu tulikua tukimuombea na ukuu wake Mungu akawezesha kupona.
Ukisubiri chakula kwa jirani kwa njaa yako utakufa nayo
Tulikatazwa mikusanyiko ya maombi. Hata kumsomea misa tulikazwa. Leo mnataka tuungane kukaombea ka ugonjwa.
 
Punguzeni Utani na Matabaka kwny Swala Nyeti kama hili.
Mbona mnakuwa kama mafarisayo Ulitaka unapomwombea Lisu kila mtu barabarani aone unaomba? Ndo Mungu angejibu au?,au kwa kuomba vile ungemshurutisha Mungu ajibu.?
Kwani ungemuombea ukiwa chumbani kwako Mungu asingeskia?
Mbona ulipozuiwa bado watu waliomba majumbani kwao Lisu hakufa,alipona Hata sasa anaishi!!!.
Kuna wengine wapenda maombi ya kinafiki,
Hupenda sala zao sikiwe na kila mtu.
 
Tulikatazwa mikusanyiko ya maombi. Hata kumsomea misa tulikazwa. Leo mnataka tuungane kukaombea ja ugonjwa.
Tuungane tu dada angu Hakuna namna sifa kuu ya Mungu ni kusamehe nasi tumeumbwa kwa mfano wake inatubidi kusamehe pia
 
Tulpen katazwa kukusanyika na kumuombea kiongozi na mbunge wetu alipopigwa risasi 16. Tulikatazwa kuvaa T-shirts za Pray 4Tundu Lissu.

Ni Mungu yupo huyo anaechagua maombi. Hata kwenda kumjulia hali Tundu Lissu hospitali lilikuwa kosa la jinai.

Nchi imekuwa ya matabaka, viongozi wa upinzani wanaonekana kama wahalifu. Hawa ni viongozi tuliowapigia kura na tuna imani na uongozi wao.
aisee umenikumbusha hadi hasira,kuna siku bhana kanisani wakasema tunamaombi ya kuliombea taifa na viongozi wa serikali akiwemo raisi,basi kati ya walioteuliwa kuomba nikawemo,ilipofika zamu yangu basi nikapiga maombi nikahitimisha bila kumsahau Tundu Lisu Mungu umponye huyu mtumishi wako nauwakomeshe maadui zake,halo waumini walipigwa butwaa nakuambia nilikuwa naulizwa na kila mmoja baada ya maombi we jamaa hujipendi ehh
 
Tulpen katazwa kukusanyika na kumuombea kiongozi na mbunge wetu alipopigwa risasi 16. Tulikatazwa kuvaa T-shirts za Pray 4Tundu Lissu.

Ni Mungu yupo huyo anaechagua maombi. Hata kwenda kumjulia hali Tundu Lissu hospitali lilikuwa kosa la jinai.

Nchi imekuwa ya matabaka, viongozi wa upinzani wanaonekana kama wahalifu. Hawa ni viongozi tuliowapigia kura na tuna imani na uongozi wao.
Kwa post yako hii umemkosesha heshima huyo mwanamama kwenye avatar yako!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tulpen katazwa kukusanyika na kumuombea kiongozi na mbunge wetu alipopigwa risasi 16. Tulikatazwa kuvaa T-shirts za Pray 4Tundu Lissu.

Ni Mungu yupo huyo anaechagua maombi. Hata kwenda kumjulia hali Tundu Lissu hospitali lilikuwa kosa la jinai.

Nchi imekuwa ya matabaka, viongozi wa upinzani wanaonekana kama wahalifu. Hawa ni viongozi tuliowapigia kura na tuna imani na uongozi wao.
Ni msaliti wa nchi
 
Tulpen katazwa kukusanyika na kumuombea kiongozi na mbunge wetu alipopigwa risasi 16. Tulikatazwa kuvaa T-shirts za Pray 4Tundu Lissu.

Ni Mungu yupo huyo anaechagua maombi. Hata kwenda kumjulia hali Tundu Lissu hospitali lilikuwa kosa la jinai.

Nchi imekuwa ya matabaka, viongozi wa upinzani wanaonekana kama wahalifu. Hawa ni viongozi tuliowapigia kura na tuna imani na uongozi wao.

Kakorona kamemchanganya, anataka hata raia wachanganyikiwe!
Rais asimame na ahesabiwe , vita ya Corona ni halisi, asijifiche kwenye imani ya Mungu!
 
Matthew 23:13
Ole wenu waandishi na Mafarisayo, wanafiki! Kwa kuwa mnawafungia watu ufalme wa mbinguni; ninyi wenyewe hamwingii, wala wanaoingia hamwaachi waingie.
 
Tuli katazwa kukusanyika na kumuombea kiongozi na mbunge wetu alipopigwa risasi 16. Tulikatazwa kuvaa T-shirts za Pray 4Tundu Lissu.

Ni Mungu yupo huyo anaechagua maombi. Hata kwenda kumjulia hali Tundu Lissu hospitali lilikuwa kosa la jinai.

Nchi imekuwa ya matabaka, viongozi wa upinzani wanaonekana kama wahalifu. Hawa ni viongozi tuliowapigia kura na tuna imani na uongozi wao.
Kama kuna serikali ya hovyo duniani hii ya Magufuli na CCM yake ni ya hovyo kupindukia. Ni ya kishamba, Serikali iliyojaa watu wasioelewa wenye mawazo ya kichawi. Nchi yetu katika mahusiano ya kimataifa imekuwa ya hovyo hovyo kwa sababu viongozi hao sijui wametoka sayari gani? Ni wa hovyo mno
 
Punguzeni Utani na Matabaka kwny Swala Nyeti kama hili.
Mbona mnakuwa kama mafarisayo Ulitaka unapomwombea Lisu kila mtu barabarani aone unaomba? Ndo Mungu angejibu au?,au kwa kuomba vile ungemshurutisha Mungu ajibu.?
Kwani ungemuombea ukiwa chumbani kwako Mungu asingeskia?
Mbona ulipozuiwa bado watu waliomba majumbani kwao Lisu hakufa,alipona Hata sasa anaishi!!!.
Kuna wengine wapenda maombi ya kinafiki,
Hupenda sala zao sikiwe na kila mtu.
Kumbe hata hili twaweza omba kila MTU peke yake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe wewe hukumuombea sababu tu ulikatazwa kuvaa tisheti ulitaka Mungu asome ile tisheti ,
Mbona wengi tu tulikua tukimuombea na ukuu wake Mungu akawezesha kupona.
Ukisubiri chakula kwa jirani kwa njaa yako utakufa nayo
Kama ndivyo uaminivyo iweje leo tupewe muongozo wa maombi tena kwa siku tatu? Ameona/amegundua nguvu gani ktk maombi?? Hapo ndipo unapogundua ni aina gani ya viongozi tulionao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom