Kama kweli tunamuamini Mungu katika majanga ni kwanini tulikatazwa kumuombea Tundu Lissu alipopigwa risasi?

Kama kweli tunamuamini Mungu katika majanga ni kwanini tulikatazwa kumuombea Tundu Lissu alipopigwa risasi?

Kwenye swala la kumuabudu Mungu kamwe usiamini mtu na ogopa sana yule ambaye kila wakati anamtajataja Mungu, huyo ndio muovu mkubwa na wa kutupwa.

Ukiangalia vizuri huwezi kukuta watu weupe wakitajataja jina la Mungu, achana na waarabu.

Kwenye mambo na changamoto zinazokukabili Mungu aliishakupa akili na kukuweka hapa duniani hivyo ni jukumu lako sasa kupambana na kwa hili ndio maana watu weupe wanafaulu sana.

Kubaki kumtajataja jina hakusaidii lolote na inakufanya uonekane mnafiki tu kwani wakati unamtaja taja utakuta una maovu kibau ambayo wakati huo unamtaja taja wala utakuta hauwezi kuzitubu na ndio maana hata hizo sala hazijibu. Anawaona wasanii na wanafiki tu.
Kweli kabisa.
 
Hzo T-shirts zina uhuaiano gani na maombi ya jamaa mmoja.
Wanasiasa wana njaa kma nn hasa wapinzani.😂😂😂😂 kujipendekeza kwa wazungu na kulialia eti wanaonewa😂😂
Njaa ikiwazidia wanarudu chama tawaka😂😂
Bora nikamulilie Babu yangu kwenye kaburi lake, kulko kujipendekeza au kulilia mwanasiasa.
 
Hzo T-shirts zina uhuaiano gani na maombi ya jamaa mmoja.
Wanasiasa wana njaa kma nn hasa wapinzani.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kujipendekeza kwa wazungu na kulialia eti wanaonewa[emoji23][emoji23]
Njaa ikiwazidia wanarudu chama tawaka[emoji23][emoji23]
Bora nikamulilie Babu yangu kwenye kaburi lake, kulko kujipendekeza au kulilia mwanasiasa.

chama tawala ndio chama rahis sana kupata nafasi sababu ukipata nafasi wanakuja kuiba kura wanashinda au wananunua mabalot, nilifanya research jamaa nlowah kusoma nao wale walokuwa wanakuwa wa mwisho ndio wengi wapo ccm (ndio kuna urahis kwao na sio makosa they are trying to survive) na ndio wanaropoka kweli , ila ukikutana nao sababu unawajua wanakuwa wapole 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣. Ndio mana sipend siasa.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
chama tawala ndio chama rahis sana kupata nafasi sababu ukipata nafasi wanakuja kuiba kura wanashinda au wananunua mabalot, nilifanya research jamaa nlowah kusoma nao wale walokuwa wanakuwa wa mwisho ndio wengi wapo ccm (ndio kuna urahis kwao na sio makosa they are trying to survive) na ndio wanaropoka kweli , ila ukikutana nao sababu unawajua wanakuwa wapole 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣. Ndio mana sipend siasa.


Sent from my iPhone using JamiiForums
Mkuu Dunia hii kila mtu anatafuta sehemu ya kushibia haijalishi ni njia sahii au sio sahii!
Walioichagua siasa kama sehemu ya maisha yao wanajua mengi.
 
Tuli katazwa kukusanyika na kumuombea kiongozi na mbunge wetu alipopigwa risasi 16. Tulikatazwa kuvaa T-shirts za Pray 4Tundu Lissu.

Ni Mungu yupo huyo anaechagua maombi. Hata kwenda kumjulia hali Tundu Lissu hospitali lilikuwa kosa la jinai.

Nchi imekuwa ya matabaka, viongozi wa upinzani wanaonekana kama wahalifu. Hawa ni viongozi tuliowapigia kura na tuna imani na uongozi wao.
Tuwaombee Tundu Lissu ili apone haraka, tuwaombe na wale wote waliopotezwa akina Ben Saanane, Azory Gwanda na wale waliouawa bila makosa akina Alphonce Mawazo na wengineo. Mwenyezi Mungu aziweke roho zao mahali pema. Awaadhibu wale wote waliohusika na kuwaonea wengine na kuwanyima wengine haki za kuishi, walipwe hapa hapa duniani.
 
Ha ha ha ha
aisee umenikumbusha hadi hasira,kuna siku bhana kanisani wakasema tunamaombi ya kuliombea taifa na viongozi wa serikali akiwemo raisi,basi kati ya walioteuliwa kuomba nikawemo,ilipofika zamu yangu basi nikapiga maombi nikahitimisha bila kumsahau Tundu Lisu Mungu umponye huyu mtumishi wako nauwakomeshe maadui zake,halo waumini walipigwa butwaa nakuambia nilikuwa naulizwa na kila mmoja baada ya maombi we jamaa hujipendi ehh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe wewe hukumuombea sababu tu ulikatazwa kuvaa tisheti ulitaka Mungu asome ile tisheti ,
Mbona wengi tu tulikua tukimuombea na ukuu wake Mungu akawezesha kupona.
Ukisubiri chakula kwa jirani kwa njaa yako utakufa nayo
Ni kwanini walikatazwa kuvaa zile Tshirts

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuwa ccm ni laana
 

Attachments

  • IMG_20200125_220632.jpg
    IMG_20200125_220632.jpg
    121.5 KB · Views: 1
Punguzeni Utani na Matabaka kwny Swala Nyeti kama hili.
Mbona mnakuwa kama mafarisayo Ulitaka unapomwombea Lisu kila mtu barabarani aone unaomba? Ndo Mungu angejibu au?,au kwa kuomba vile ungemshurutisha Mungu ajibu.?
Kwani ungemuombea ukiwa chumbani kwako Mungu asingeskia?
Mbona ulipozuiwa bado watu waliomba majumbani kwao Lisu hakufa,alipona Hata sasa anaishi!!!.
Kuna wengine wapenda maombi ya kinafiki,
Hupenda sala zao sikiwe na kila mtu.
Kwanini walizuiwa wasiombe wakati sio kinyume na katiba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio maana hawa mbwa ccm wakisema kitu nawaangalia tu ni serikali ya kishetani hii.......
Wkt tulipigwa vita tusimuombee NABII na MZALENDO wa kweli Tundu Lissu rais wa malaika alikua kila siku anataka aombewe na watz
 
Duh kwa hiyo Lissu mmoja analinganishwa na janga la corona linaloua watu elfu mbili kwa siku moja!.

Marekani imetangaza kuwa na raia milioni 22 wasiokuwa na kazi na bado idadi inaongezeka, halafu corona inalinganishwa na mwanaharakati fulani wa Tanzania.
Mungu hapendi hata mtu mmoja apotee, maombi yanatakiwa kwa madhara ya mmoja na wengi vilevile

Sent using Jamii Forums mobile app
 
WAKATI HUO UKIKUTWA NA TISHETI PRAY FOR LISSU UNAWEKWA LUPANGO
 
Back
Top Bottom