Kama kweli tunamuamini Mungu katika majanga ni kwanini tulikatazwa kumuombea Tundu Lissu alipopigwa risasi?

Kama kweli tunamuamini Mungu katika majanga ni kwanini tulikatazwa kumuombea Tundu Lissu alipopigwa risasi?

Bwashee kuna tofauti kati ya Kuvamiwa na majambazi na Covid 19!
Bwashee Covid 19 ni shetani sawa ambavyo majambazi pia nao ni mashetani.

Madhara yao wote hufanana.

Kuumiza mwili,
Kupoteza maisha,
Kuharibu uchumi, n.k

Sent using iphone pro max
 
Naona wachangia uzi mmeegemea zaidi katika ubishi wa kisiasa,...but police walikamata watu kipindi kile wote waliokusanyika kwa kumuombea lissu as if it was a crime ila leo wao wamekusanyika na kutuaminisha kwamba kusali juu ya tatizo flani Ni sawa
 
Week end huwa nzuri kwa tunalipa kodi nyingi za namna tofauti..

Chupa yangu ikiwa inakaribia kuisha hapa,mara nikakumbuka leo ni siku ya 3 kuliombea taifa.

Sija kaa sawa ITV wanarusha habar ya askari mkoani mbeya.

Nawaza ni askari hawa hawa waliokuwa wanakamata na kuzuia watu waliokuwa na nia ya kufanya maombi ili Tundu Lissu apone haraka.

Leo imekuwaje jinai ya kufanya maombi kufanywa kituo cha polisi,tena kukiwa na hamasa nchi nzima.

Mungu ni mwema daima. Tuendelee kumuomba hata pale tunapowekewa vikwazo na mawakala wa shetani.

Corona ipo,chukua tahadhari,endelea kumuomba Mungu atuepushe na maafa ya corona lakin pia wanasayansi waweze kuipatia tiba.

Sent using iphone pro max
CCM CHAMA CHA MACHINJACHINJA
 
Bwashee kuna tofauti kati ya Kuvamiwa na majambazi na Covid 19!
Tuongoze Sala ya kuvamiwa na majambazi na Sala ya covid 19 alafu tuone Kama moja utamuomba mungu na nyingine utamuomba shetani,.... sijui mnafikiri kwa kutumia nini
 
Who the fuvc is lissu....... don't tell me you tryin to compare world pandemic with dipshit...........stop using your butt as a brain.........
 
Tuli katazwa kukusanyika na kumuombea kiongozi na mbunge wetu alipopigwa risasi 16. Tulikatazwa kuvaa T-shirts za Pray 4Tundu Lissu.

Ni Mungu yupo huyo anaechagua maombi. Hata kwenda kumjulia hali Tundu Lissu hospitali lilikuwa kosa la jinai.

Nchi imekuwa ya matabaka, viongozi wa upinzani wanaonekana kama wahalifu. Hawa ni viongozi tuliowapigia kura na tuna imani na uongozi wao.
Viongozi wa dini ni matapeli
 
Who the fuvc is lissu....... don't tell me you tryin to compare world pandemic with dipshit...........stop using your butt as a brain.........
Fu-ck you and your whole clan of idiots.
 
Punguzeni Utani na Matabaka kwny Swala Nyeti kama hili.
Mbona mnakuwa kama mafarisayo Ulitaka unapomwombea Lisu kila mtu barabarani aone unaomba? Ndo Mungu angejibu au?,au kwa kuomba vile ungemshurutisha Mungu ajibu.?
Kwani ungemuombea ukiwa chumbani kwako Mungu asingeskia?
Mbona ulipozuiwa bado watu waliomba majumbani kwao Lisu hakufa,alipona Hata sasa anaishi!!!.
Kuna wengine wapenda maombi ya kinafiki,
Hupenda sala zao sikiwe na kila mtu.
Mathayo 18:20

Kwa maana popote pale wanapokusanyika wawili au watatu kwa jina langu, mimi nipo hapo kati yao.”
 
Acha upunyungu wewe, kwani kumwombea mtu mpaka mkusanyike?
Tuli katazwa kukusanyika na kumuombea kiongozi na mbunge wetu alipopigwa risasi 16. Tulikatazwa kuvaa T-shirts za Pray 4Tundu Lissu.

Ni Mungu yupi huyo anaechagua maombi. Hata kwenda kumjulia hali Tundu Lissu hospitali lilikuwa kosa la jinai.

Nchi imekuwa ya matabaka, viongozi wa upinzani wanaonekana kama wahalifu. Hawa ni viongozi tuliowapigia kura na tuna imani na uongozi wao.
 
Back
Top Bottom