Kama kweli tunamuamini Mungu katika majanga ni kwanini tulikatazwa kumuombea Tundu Lissu alipopigwa risasi?

Kama kweli tunamuamini Mungu katika majanga ni kwanini tulikatazwa kumuombea Tundu Lissu alipopigwa risasi?

Tuli katazwa kukusanyika na kumuombea kiongozi na mbunge wetu alipopigwa risasi 16. Tulikatazwa kuvaa T-shirts za Pray 4Tundu Lissu.

Ni Mungu yupo huyo anaechagua maombi. Hata kwenda kumjulia hali Tundu Lissu hospitali lilikuwa kosa la jinai.

Nchi imekuwa ya matabaka, viongozi wa upinzani wanaonekana kama wahalifu. Hawa ni viongozi tuliowapigia kura na tuna imani na uongozi wao.
Kwani hilo likikua ni janga?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Dunia hii kila mtu anatafuta sehemu ya kushibia haijalishi ni njia sahii au sio sahii!
Walioichagua siasa kama sehemu ya maisha yao wanajua mengi.
Hapo nimekubali mkuu ila ukweli ndio huo, watu wanatafuta wepesi na wepesi upo ccm na ndio mana wengi wanakimbilia huko, wala me sijamhukumu mtu mkuu, enjoy
 
Tuli katazwa kukusanyika na kumuombea kiongozi na mbunge wetu alipopigwa risasi 16. Tulikatazwa kuvaa T-shirts za Pray 4Tundu Lissu.

Ni Mungu yupo huyo anaechagua maombi. Hata kwenda kumjulia hali Tundu Lissu hospitali lilikuwa kosa la jinai.

Nchi imekuwa ya matabaka, viongozi wa upinzani wanaonekana kama wahalifu. Hawa ni viongozi tuliowapigia kura na tuna imani na uongozi wao.
Mate well said!
 
Swala la kumuombea mtu hadi mtengeneze mashati?

Ndio maana huwa naona sawa tu mkipigwa bakora na polisi

Sent using Jamii Forums mobile app
sa kuna tatizo gani ? jaman mashati ya picha ya mtu au maneno yakumuombea heri ni tatizo ? kwan nyie jamaa kichwani huwa mna nini ? ebu sema hapa logically shati yenye maandish ya kumtakia mtu kheri ina tatizo gani mpaka watu wakamatwe na police ?
 
Nyie mliingiza siasa kwenye maisha ya lissu
Nyie wabaya sana,
sa kuna tatizo gani ? jaman mashati ya picha ya mtu au maneno yakumuombea heri ni tatizo ? kwan nyie jamaa kichwani huwa mna nini ? ebu sema hapa logically shati yenye maandish ya kumtakia mtu kheri ina tatizo gani mpaka watu wakamatwe na police ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tulikatazwa mikusanyiko ya maombi. Hata kumsomea misa tulikazwa. Leo mnataka tuungane kukaombea ka ugonjwa.
Hata kuchangia damu ikageuka kua kosa la jinai na uhujumu uchumi!!
 
Tuli katazwa kukusanyika na kumuombea kiongozi na mbunge wetu alipopigwa risasi 16. Tulikatazwa kuvaa T-shirts za Pray 4Tundu Lissu.

Ni Mungu yupo huyo anaechagua maombi. Hata kwenda kumjulia hali Tundu Lissu hospitali lilikuwa kosa la jinai.

Nchi imekuwa ya matabaka, viongozi wa upinzani wanaonekana kama wahalifu. Hawa ni viongozi tuliowapigia kura na tuna imani na uongozi wao.
hapo sasa!
 
Tuli katazwa kukusanyika na kumuombea kiongozi na mbunge wetu alipopigwa risasi 16. Tulikatazwa kuvaa T-shirts za Pray 4Tundu Lissu.

Ni Mungu yupo huyo anaechagua maombi. Hata kwenda kumjulia hali Tundu Lissu hospitali lilikuwa kosa la jinai.

Nchi imekuwa ya matabaka, viongozi wa upinzani wanaonekana kama wahalifu. Hawa ni viongozi tuliowapigia kura na tuna imani na uongozi wao.

Kua uone. Sijawahi kufikiria itafika siku, utakutana na watu wapumbavu kiasi hiki. Mungu akusaidie. Wala sitakueleza why u mpumbavu. Najua utakuwa unajua. Kujua kwako kulianza pale ulipoanza kuumwa ugonjwa wa kutumika kijinga. Umesahau hata mantiki katika maisha.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Washukuru Mungu tu kuwa kuna wanaoombea hii nchi na viongozi wake wote bila kinyongo,unless otherwise tungekua tunaongea mengine sahivi!
Tuli katazwa kukusanyika na kumuombea kiongozi na mbunge wetu alipopigwa risasi 16. Tulikatazwa kuvaa T-shirts za Pray 4Tundu Lissu.

Ni Mungu yupo huyo anaechagua maombi. Hata kwenda kumjulia hali Tundu Lissu hospitali lilikuwa kosa la jinai.

Nchi imekuwa ya matabaka, viongozi wa upinzani wanaonekana kama wahalifu. Hawa ni viongozi tuliowapigia kura na tuna imani na uongozi wao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji848]uko vzr
aisee umenikumbusha hadi hasira,kuna siku bhana kanisani wakasema tunamaombi ya kuliombea taifa na viongozi wa serikali akiwemo raisi,basi kati ya walioteuliwa kuomba nikawemo,ilipofika zamu yangu basi nikapiga maombi nikahitimisha bila kumsahau Tundu Lisu Mungu umponye huyu mtumishi wako nauwakomeshe maadui zake,halo waumini walipigwa butwaa nakuambia nilikuwa naulizwa na kila mmoja baada ya maombi we jamaa hujipendi ehh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sababu inasemekana alijipiga mwenyewe risasi kwa kushirikiana na dereva wake(alisikika mlevi mmoja aliyepo karantini)😆😆😆
 
Tuli katazwa kukusanyika na kumuombea kiongozi na mbunge wetu alipopigwa risasi 16. Tulikatazwa kuvaa T-shirts za Pray 4Tundu Lissu.

Ni Mungu yupo huyo anaechagua maombi. Hata kwenda kumjulia hali Tundu Lissu hospitali lilikuwa kosa la jinai.

Nchi imekuwa ya matabaka, viongozi wa upinzani wanaonekana kama wahalifu. Hawa ni viongozi tuliowapigia kura na tuna imani na uongozi wao.
wewe mama upo smart.ntumie number yako PM nikupe ya soda

Hittin Blunts and Bustin Nuts
 
Damu ya Lisu itamfata huyo baba hadi mafichoni alikojichimbia.
Maombi yake hata afanye mwaka,bila toba na kumwomba Lisu msamaha ni bure.
Corona itamtafuna tu!
 
Kichwa huongoza mwili, ila nacho huponzwa na ulimi
 
Back
Top Bottom