Comment Bora kabisaAndika kama msomi Basi. Who is Lissu. Ulienda kanisani au msikitini kuomba. Sala. Ikagoma. Au hujui hata maana ya Sala. Tofautisha Lissu na Taifa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bwashee Covid 19 ni shetani sawa ambavyo majambazi pia nao ni mashetani.Bwashee kuna tofauti kati ya Kuvamiwa na majambazi na Covid 19!
Kwanza utamfananishaje raisi na tindo sijui tundu kichefu chefu
Kwa akili yako unadhani Taifa ni kama dubwasha fulani hivi.Andika kama msomi Basi. Who is Lissu. Ulienda kanisani au msikitini kuomba. Sala. Ikagoma. Au hujui hata maana ya Sala. Tofautisha Lissu na Taifa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu mbona umekurupuka na hata haujatathimini mleta mada alikuwa na ujumbe gani kwenye uzi wake.,,,
CCM CHAMA CHA MACHINJACHINJAWeek end huwa nzuri kwa tunalipa kodi nyingi za namna tofauti..
Chupa yangu ikiwa inakaribia kuisha hapa,mara nikakumbuka leo ni siku ya 3 kuliombea taifa.
Sija kaa sawa ITV wanarusha habar ya askari mkoani mbeya.
Nawaza ni askari hawa hawa waliokuwa wanakamata na kuzuia watu waliokuwa na nia ya kufanya maombi ili Tundu Lissu apone haraka.
Leo imekuwaje jinai ya kufanya maombi kufanywa kituo cha polisi,tena kukiwa na hamasa nchi nzima.
Mungu ni mwema daima. Tuendelee kumuomba hata pale tunapowekewa vikwazo na mawakala wa shetani.
Corona ipo,chukua tahadhari,endelea kumuomba Mungu atuepushe na maafa ya corona lakin pia wanasayansi waweze kuipatia tiba.
Sent using iphone pro max
Tuongoze Sala ya kuvamiwa na majambazi na Sala ya covid 19 alafu tuone Kama moja utamuomba mungu na nyingine utamuomba shetani,.... sijui mnafikiri kwa kutumia niniBwashee kuna tofauti kati ya Kuvamiwa na majambazi na Covid 19!
Who the fuvc is lissu....... don't tell me you tryin to compare world pandemic with dipshit...........stop using your butt as a brain.........
It means nobody cares....Inamaana wewe humjui?au unamuonea donge kwa kuwa anakipaji cha sheria ,tuwekeni siasa pembeni,tupambane na covid
Sent using Jamii Forums mobile app
Viongozi wa dini ni matapeliTuli katazwa kukusanyika na kumuombea kiongozi na mbunge wetu alipopigwa risasi 16. Tulikatazwa kuvaa T-shirts za Pray 4Tundu Lissu.
Ni Mungu yupo huyo anaechagua maombi. Hata kwenda kumjulia hali Tundu Lissu hospitali lilikuwa kosa la jinai.
Nchi imekuwa ya matabaka, viongozi wa upinzani wanaonekana kama wahalifu. Hawa ni viongozi tuliowapigia kura na tuna imani na uongozi wao.
Fu-ck you and your whole clan of idiots.Who the fuvc is lissu....... don't tell me you tryin to compare world pandemic with dipshit...........stop using your butt as a brain.........
Mathayo 18:20Punguzeni Utani na Matabaka kwny Swala Nyeti kama hili.
Mbona mnakuwa kama mafarisayo Ulitaka unapomwombea Lisu kila mtu barabarani aone unaomba? Ndo Mungu angejibu au?,au kwa kuomba vile ungemshurutisha Mungu ajibu.?
Kwani ungemuombea ukiwa chumbani kwako Mungu asingeskia?
Mbona ulipozuiwa bado watu waliomba majumbani kwao Lisu hakufa,alipona Hata sasa anaishi!!!.
Kuna wengine wapenda maombi ya kinafiki,
Hupenda sala zao sikiwe na kila mtu.
Tuli katazwa kukusanyika na kumuombea kiongozi na mbunge wetu alipopigwa risasi 16. Tulikatazwa kuvaa T-shirts za Pray 4Tundu Lissu.
Ni Mungu yupi huyo anaechagua maombi. Hata kwenda kumjulia hali Tundu Lissu hospitali lilikuwa kosa la jinai.
Nchi imekuwa ya matabaka, viongozi wa upinzani wanaonekana kama wahalifu. Hawa ni viongozi tuliowapigia kura na tuna imani na uongozi wao.
🙏🏾Mathayo 18:20
Kwa maana popote pale wanapokusanyika wawili au watatu kwa jina langu, mimi nipo hapo kati yao.”
Mpaka misukule inaombewa, lakini Lissu serikali ilikataa! Hii serikali inayopewa tuzo na kanisa!Acha upunyungu wewe, kwani kumwombea mtu mpaka mkusanyike?