Kama Marekani ni nchi ya Kishetani ni kwanini mamilioni ya watu duniani hutamani kuishi Marekani?

Kama marekani ni nchi ya kishetani ina maana wanaoenda huko nao wana kaushetani au ?
 
Mbona wanaenda nchi nyingine kama Canada, Uk, South Africa, France nk.
Huoni wahamiaji kutoka Afrika wanakufa maji karibu kila siku Wakikimbilia Ulaya?!
Hii ni Kwa sababu ulaya imepakana na afrika. Laiti kama USA ingekua imepakana na afrika ingekua shida Sana kila mwafrika anataka kuzamia huko. Amin maneno yangu aisee.

Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
 
Huu ndo ukwel mchungu watu hawautaki kuusikia aisee

Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
 
Marekani sio nchi ya kishetani Ila kuna watu wanatumia nguvu aliyonayo marekani kuoneza agenda za kishetani.so marekani kuna watu wa Mungu na pia watu wa shetani.
 
Wewe ndio hujui wanaokimbilia huko wengi ni wale wenye hulka za kishetani pepo ipo Africa
 
Hata kina mudi kila siku wanakimbilia huko

Wachina
Warusi
Wahindi
Waarabu

Hawa wengi hukimbilia Marekani
Kwani wananchi wanasemaje

California School District Votes in Favor of Keeping a Child’s Gender Transition Status from Parents​

...a mother who is currently suing the district. Regino alleged that a school counselor facilitated her 11-year-old daughter’s transition without her consent.



Comments























Na huku

A new bill passed in the state of Washington seeks to undermine parental rights by allowing “shelters” to provide gender transition medical services to minors without parental consent

 
Endelea tu kishupaza shingo, shauriyako!
Bado hujathibitisha.

Yani hata mimi kushupaza shingo ni ushahidi Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.

Angekuwepo, wote tungejua hilo bila utata na kushupaza shingo kusingewezekana.
 
Bado hujathibitisha.

Yani hata mimi kushupaza shingo ni ushahidi Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.

Angekuwepo, wote tungejua hilo bila utata na kushupaza shingo kusingewezekana.
ACHA UJINGA, thibitisha kwamba mungu hayupo
 
ACHA UJINGA, thibitisha kwamba mungu hayupo
Kisichopo, nje ya thibitisho za kidhahania, hakithibitishiki kwamba kipo au hakipo, kwa sababu hakipo, na kama hakipo, hakithibitishiki, kwa sababu ili kithibitishike, nje ya hoja za dhahania, inabidi kiwepo.

Kwenye thibitisho za kidhahania, kama "proof by contradiction", Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, anathibitishika kwamba hayupo, kwa sababu dhana ya kuwepo kwake inakuwa contradicted na ulimwengu tunaouona ambao unaruhusu mabaya.

Ama Mungu huyo yupo na ulimwengu unaorusu mabaya haupo.

Ama ulimwengu unaoruhusu mabaya upo na Mungu huyo hayupo.

Mawili haya hayawezi kuwapo kwa pamoja.

Tunaona ulimwengu unaoruhusu mabaya upo.

Hivyo, Mungu huyo hayupo.

Angaia Epicurean Paradox, halafu uitatue kama utaweza.

 
Jiulize ni kwanini watu wanapenda sana mambo ya kishetena. Hata wewe huo uzinzi unaoupenda ni Shetani huyo. Shetani huvutia ilimradi tu atimize huo ushetani wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…