Hapo sasa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unakuta wale swala tano kabisa,wanatamani kwenda kuishi marekani,najiulizaga kwanini hawatamani iraq, Syria,Iran kwenye dini na sheria kali
Utakula utakatifuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]watu wanafuata fursa za kifedha, uasi wao wenyewe sisi tunafuata vibunda mwaisa. uende mataifa ya kumcha Mungu tutakula nin
Homeless wengi Marekani ni Wamarekani wazawa! Wageni ni wachache sana.Ndio hao wanaenda kuwa homeless huko na kujuta kukimbilia
Wewe ndio hujui wanaokimbilia huko wengi ni wale wenye hulka za kishetani pepo ipo Africa
Si hata bar na night club zinajaza sana kuanzia ijumaa hadi jpili kuliko misikiti na makanisaHuwa nikiona maelfu ya watu kila siku toka nchi za Amerika ya Kusini na kwingineko duniani wanavyolazimisha kuingia Marekani, huwa najiuliza, inakuwaje nchi inayosemwa kwamba ni mhimili wa Ushetani duniani inagombaniwa na watu kwenda kuishi.
Huoni harakati za watu kwenda kwenye zile nchi zenye "Ustaarab" au za "wacha Mungu" kuliko harakati zinazofanywa na watu kwenda kuishi Marekani. Kwa nini watu wanang'ang'ania kwenda kwenye nchi inayoitwa ya kidhalimu?
Ure mseto wa brack america na wazungu umereta unyamwezi mwingi pare marekani.unyama sana kure.naota kuchanga era za tofari niende kure fluoridaMi navyojua hata mitaani ukisikia mtu katika stori anakuambia habari za "mambele" huwa hamaanishi China, Urusi, Korea, india, Uk, wala Mexico
Hapo ni Marekani inakusudiwa.
Hata mtu akiwa yuko positive kwa kila jambo utasikia "fulani ni mzungu sana" yani huo uzungu haumaanishi huyo mtu amefananishwa na mfaransa sijui au nani... hapo ni MMarekani
Hata slang, lifestyle watu wanaangalia Marekani wanafanya nini.
Hata wasanii wetu wa hapa hawafanyi mziki kwa kumuangalia msanii fulani maarufu wa China, Urusi, Korea, India ili awe motivated au kama role model wake
Marekani ndio inspiration nation karibia kila Carrier, mapungufu yao kwenye maswala madogo madogo ya ushoga yasiwe sababu ya watu kushindwa kuusema ukweli ambao unaonekana dhahiri.
Kulikuwa na wahindi na wachina walikuwa wanajifanya wao wame-stick kwenye utamaduni wao
Hapa ni mchina akiwa na vazi lake la kiasili ambalo ndio walikuwa wabishi kujifanya watunza misingi
View attachment 2590942
Angalia saizi
View attachment 2590947
Na ndio maana hata Bruce Lee alienda kuishi Marekani, aliona home ni miyeyusho
Wahindi ndio kabisaaa kama ulikuwa unafatilia hata zile nyimbo zao kwenye movies wanazoigiza saizi ni tofauti na za miaka ile.
Kumekuja na evolution yenye taste mpya ya kimarekani ambapo humo na rap zipo, hiyo ni department ya sanaa ya upande wa nyimbo tu, ila kuna mengi.
Na ndio maana Mkorea kaskazini akaona bila kutumia nguvu ya ziada kuweka sheria ngumu hapa baada ya miaka kadhaa nitakuwa natawala Taifa ambalo lina falsafa zote za kimarekani.
Na ndio maana akapiga marufuku uvaaji wa jinsi ya blue. Lakini baadaye alipoona hata hizi rangi nyingine nazo zimekuwa zikivaliwa sana akaamua nazo apige marufuku totally.
Nchi yetote ambayo raia wakapewa uhuru bila sheria za kuwabana wote wata adapt culture ya kimarekani.
Ukiona nchi raia wanaishi katika lifestyle tofauti na ya Marekani ujue kuna sheria kali imesimikwa na wala sio jambo la kuwapa pongezi raia kuwa wamekubali asili yao kwasababu wameshurutishwa kuishi hivyo.
Hata Sergey Lavrov's Waziri wa mambo ya ndani wa Russia juz juzi alipapatua Visa ya kuingia US kwenye mkutano wa UN, US walielekea kumnyima akalalamika sana maamae.,Huwa nikiona maelfu ya watu kila siku toka nchi za Amerika ya Kusini na kwingineko duniani wanavyolazimisha kuingia Marekani, huwa najiuliza, inakuwaje nchi inayosemwa kwamba ni mhimili wa Ushetani duniani inagombaniwa na watu kwenda kuishi.
Huoni harakati za watu kwenda kwenye zile nchi zenye "Ustaarab" au za "wacha Mungu" kuliko harakati zinazofanywa na watu kwenda kuishi Marekani. Kwa nini watu wanang'ang'ania kwenda kwenye nchi inayoitwa ya kidhalimu?
Mashetani lazima watamani kwenda kuishi nchi yao halisi ya mashetaniHuwa nikiona maelfu ya watu kila siku toka nchi za Amerika ya Kusini na kwingineko duniani wanavyolazimisha kuingia Marekani, huwa najiuliza, inakuwaje nchi inayosemwa kwamba ni mhimili wa Ushetani duniani inagombaniwa na watu kwenda kuishi.
Huoni harakati za watu kwenda kwenye zile nchi zenye "Ustaarab" au za "wacha Mungu" kuliko harakati zinazofanywa na watu kwenda kuishi Marekani. Kwa nini watu wanang'ang'ania kwenda kwenye nchi inayoitwa ya kidhalimu?
Lavrov kabadilishwa wizara lini? UN sio taasisi ya marekani so hapaswi kuwanyima watu visa kuhudhuria shughuli za UN kisa Hq iko kwake. Ni uhuni tu. Leo Italia hawezi kueleweka kama kwa siasa zakd za kishamba ataamua kuwanyima makadinali visa kuingia Vatican au Saudia awanyime visa mashehe wanaopaswa kuingia Macca. Tuwe rational tusiwe tunatetea vitu vya ajabuHata Sergey Lavrov's Waziri wa mambo ya ndani wa Russia juz juzi alipapatua Visa ya kuingia US kwenye mkutano wa UN, US walielekea kumnyima akalalamika sana maamae.,
Hii njia nzuri sanaaa, tatizo huko unafikia wapi na uta survive vipii. LolKama unataka kujilipua kwenda huko ni simple tu kama unataka kwenda US tafta dume au jike mwenzio then mjifanye ni LGBT mkifika ubalozi mnasingizia mnataka kukimbia nchi kwasababu za kiusalama kwamba mnapata vitisho juu y usalama wenu.
Shetani anapendwa sana mkuu.Huwa nikiona maelfu ya watu kila siku toka nchi za Amerika ya Kusini na kwingineko duniani wanavyolazimisha kuingia Marekani, huwa najiuliza, inakuwaje nchi inayosemwa kwamba ni mhimili wa Ushetani duniani inagombaniwa na watu kwenda kuishi.
Huoni harakati za watu kwenda kwenye zile nchi zenye "Ustaarab" au za "wacha Mungu" kuliko harakati zinazofanywa na watu kwenda kuishi Marekani. Kwa nini watu wanang'ang'ania kwenda kwenye nchi inayoitwa ya kidhalimu?
wew si una mume tayarHii njia nzuri sanaaa, tatizo huko unafikia wapi na uta survive vipii. Lol
Kwasababu mnakuwa huru kuwa machokoHuwa nikiona maelfu ya watu kila siku toka nchi za Amerika ya Kusini na kwingineko duniani wanavyolazimisha kuingia Marekani, huwa najiuliza, inakuwaje nchi inayosemwa kwamba ni mhimili wa Ushetani duniani inagombaniwa na watu kwenda kuishi.
Huoni harakati za watu kwenda kwenye zile nchi zenye "Ustaarab" au za "wacha Mungu" kuliko harakati zinazofanywa na watu kwenda kuishi Marekani. Kwa nini watu wanang'ang'ania kwenda kwenye nchi inayoitwa ya kidhalimu?
Mkutano wa UN unaweza fanyika nchi yeyote ukipangwa., wewe fahamu alinyimwa visa akalalamika sana pia ufahamu tokea urusi ameekewa vikwazo hakuna kiongozi wa US wala Ulaya aliyeonyesha interest ya kuingia Russia sababu si nchi ambayo ulimwengu inaihitaji ndio maana Russia wanapapatua visa kuingia US.Lavrov kabadilishwa wizara lini? UN sio taasisi ya marekani so hapaswi kuwanyima watu visa kuhudhuria shughuli za UN kisa Hq iko kwake. Ni uhuni tu. Leo Italia hawezi kueleweka kama kwa siasa zakd za kishamba ataamua kuwanyima makadinali visa kuingia Vatican au Saudia awanyime visa mashehe wanaopaswa kuingia Macca. Tuwe rational tusiwe tunatetea vitu vya ajabu