Kama Marekani ni nchi ya Kishetani ni kwanini mamilioni ya watu duniani hutamani kuishi Marekani?

Kama Marekani ni nchi ya Kishetani ni kwanini mamilioni ya watu duniani hutamani kuishi Marekani?

Unakuta wale swala tano kabisa,wanatamani kwenda kuishi marekani,najiulizaga kwanini hawatamani iraq, Syria,Iran kwenye dini na sheria kali
Hapo sasa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
watu wanafuata fursa za kifedha, uasi wao wenyewe sisi tunafuata vibunda mwaisa. uende mataifa ya kumcha Mungu tutakula nin
Utakula utakatifuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ndio hao wanaenda kuwa homeless huko na kujuta kukimbilia
Homeless wengi Marekani ni Wamarekani wazawa! Wageni ni wachache sana.
Wengi ni Wamarekani watumia madawa ya kulevya aka mateja, wengine wameathirika kisaikoloji(mental case), wengine walifanya maovu huko nyuma so wana record chafu, na wengine wamejiamulia tu kuwa homeless.
 
Wewe ndio hujui wanaokimbilia huko wengi ni wale wenye hulka za kishetani pepo ipo Africa

ICI_pic.jpg


Kwa hiyo wanaoswali msikiti huu wana Hulka ya Kishetani? Mimi ni Mkristo, jamaa zangu wengi wana swali msikiti huu.....Uko pembezoni mwa jiji la Dallas, Irving.....Uwe unaandika unachokijua.....!!! Kuna jamaa mmoja Mwarabu ana biashara na magari ya kukodi, katika watu waungwana niliowahi kukutana nao maishan ni huyu jamaa, anaswali msikiti huu....jamaa ni msaada mkubwa kwa watu ambao wanaanza maisha US......
 
Huwa nikiona maelfu ya watu kila siku toka nchi za Amerika ya Kusini na kwingineko duniani wanavyolazimisha kuingia Marekani, huwa najiuliza, inakuwaje nchi inayosemwa kwamba ni mhimili wa Ushetani duniani inagombaniwa na watu kwenda kuishi.

Huoni harakati za watu kwenda kwenye zile nchi zenye "Ustaarab" au za "wacha Mungu" kuliko harakati zinazofanywa na watu kwenda kuishi Marekani. Kwa nini watu wanang'ang'ania kwenda kwenye nchi inayoitwa ya kidhalimu?
Si hata bar na night club zinajaza sana kuanzia ijumaa hadi jpili kuliko misikiti na makanisa
 
Mi navyojua hata mitaani ukisikia mtu katika stori anakuambia habari za "mambele" huwa hamaanishi China, Urusi, Korea, india, Uk, wala Mexico

Hapo ni Marekani inakusudiwa.

Hata mtu akiwa yuko positive kwa kila jambo utasikia "fulani ni mzungu sana" yani huo uzungu haumaanishi huyo mtu amefananishwa na mfaransa sijui au nani... hapo ni MMarekani

Hata slang, lifestyle watu wanaangalia Marekani wanafanya nini.

Hata wasanii wetu wa hapa hawafanyi mziki kwa kumuangalia msanii fulani maarufu wa China, Urusi, Korea, India ili awe motivated au kama role model wake

Marekani ndio inspiration nation karibia kila Carrier, mapungufu yao kwenye maswala madogo madogo ya ushoga yasiwe sababu ya watu kushindwa kuusema ukweli ambao unaonekana dhahiri.

Kulikuwa na wahindi na wachina walikuwa wanajifanya wao wame-stick kwenye utamaduni wao

Hapa ni mchina akiwa na vazi lake la kiasili ambalo ndio walikuwa wabishi kujifanya watunza misingi

View attachment 2590942

Angalia saizi
View attachment 2590947
Na ndio maana hata Bruce Lee alienda kuishi Marekani, aliona home ni miyeyusho

Wahindi ndio kabisaaa kama ulikuwa unafatilia hata zile nyimbo zao kwenye movies wanazoigiza saizi ni tofauti na za miaka ile.

Kumekuja na evolution yenye taste mpya ya kimarekani ambapo humo na rap zipo, hiyo ni department ya sanaa ya upande wa nyimbo tu, ila kuna mengi.

Na ndio maana Mkorea kaskazini akaona bila kutumia nguvu ya ziada kuweka sheria ngumu hapa baada ya miaka kadhaa nitakuwa natawala Taifa ambalo lina falsafa zote za kimarekani.

Na ndio maana akapiga marufuku uvaaji wa jinsi ya blue. Lakini baadaye alipoona hata hizi rangi nyingine nazo zimekuwa zikivaliwa sana akaamua nazo apige marufuku totally.

Nchi yetote ambayo raia wakapewa uhuru bila sheria za kuwabana wote wata adapt culture ya kimarekani.

Ukiona nchi raia wanaishi katika lifestyle tofauti na ya Marekani ujue kuna sheria kali imesimikwa na wala sio jambo la kuwapa pongezi raia kuwa wamekubali asili yao kwasababu wameshurutishwa kuishi hivyo.
Ure mseto wa brack america na wazungu umereta unyamwezi mwingi pare marekani.unyama sana kure.naota kuchanga era za tofari niende kure fluorida
 
Kama unataka kujilipua kwenda huko ni simple tu kama unataka kwenda US tafta dume au jike mwenzio then mjifanye ni LGBT mkifika ubalozi mnasingizia mnataka kukimbia nchi kwasababu za kiusalama kwamba mnapata vitisho juu y usalama wenu.
 
Huwa nikiona maelfu ya watu kila siku toka nchi za Amerika ya Kusini na kwingineko duniani wanavyolazimisha kuingia Marekani, huwa najiuliza, inakuwaje nchi inayosemwa kwamba ni mhimili wa Ushetani duniani inagombaniwa na watu kwenda kuishi.

Huoni harakati za watu kwenda kwenye zile nchi zenye "Ustaarab" au za "wacha Mungu" kuliko harakati zinazofanywa na watu kwenda kuishi Marekani. Kwa nini watu wanang'ang'ania kwenda kwenye nchi inayoitwa ya kidhalimu?
Hata Sergey Lavrov's Waziri wa mambo ya ndani wa Russia juz juzi alipapatua Visa ya kuingia US kwenye mkutano wa UN, US walielekea kumnyima akalalamika sana maamae.,
 
Huwa nikiona maelfu ya watu kila siku toka nchi za Amerika ya Kusini na kwingineko duniani wanavyolazimisha kuingia Marekani, huwa najiuliza, inakuwaje nchi inayosemwa kwamba ni mhimili wa Ushetani duniani inagombaniwa na watu kwenda kuishi.

Huoni harakati za watu kwenda kwenye zile nchi zenye "Ustaarab" au za "wacha Mungu" kuliko harakati zinazofanywa na watu kwenda kuishi Marekani. Kwa nini watu wanang'ang'ania kwenda kwenye nchi inayoitwa ya kidhalimu?
Mashetani lazima watamani kwenda kuishi nchi yao halisi ya mashetani
 
Hata Sergey Lavrov's Waziri wa mambo ya ndani wa Russia juz juzi alipapatua Visa ya kuingia US kwenye mkutano wa UN, US walielekea kumnyima akalalamika sana maamae.,
Lavrov kabadilishwa wizara lini? UN sio taasisi ya marekani so hapaswi kuwanyima watu visa kuhudhuria shughuli za UN kisa Hq iko kwake. Ni uhuni tu. Leo Italia hawezi kueleweka kama kwa siasa zakd za kishamba ataamua kuwanyima makadinali visa kuingia Vatican au Saudia awanyime visa mashehe wanaopaswa kuingia Macca. Tuwe rational tusiwe tunatetea vitu vya ajabu
 
Kama unataka kujilipua kwenda huko ni simple tu kama unataka kwenda US tafta dume au jike mwenzio then mjifanye ni LGBT mkifika ubalozi mnasingizia mnataka kukimbia nchi kwasababu za kiusalama kwamba mnapata vitisho juu y usalama wenu.
Hii njia nzuri sanaaa, tatizo huko unafikia wapi na uta survive vipii. Lol
 
Huwa nikiona maelfu ya watu kila siku toka nchi za Amerika ya Kusini na kwingineko duniani wanavyolazimisha kuingia Marekani, huwa najiuliza, inakuwaje nchi inayosemwa kwamba ni mhimili wa Ushetani duniani inagombaniwa na watu kwenda kuishi.

Huoni harakati za watu kwenda kwenye zile nchi zenye "Ustaarab" au za "wacha Mungu" kuliko harakati zinazofanywa na watu kwenda kuishi Marekani. Kwa nini watu wanang'ang'ania kwenda kwenye nchi inayoitwa ya kidhalimu?
Shetani anapendwa sana mkuu.
Au wimbo wa Bahati Bukuku hujawahi kuona video yake?
 
Huwa nikiona maelfu ya watu kila siku toka nchi za Amerika ya Kusini na kwingineko duniani wanavyolazimisha kuingia Marekani, huwa najiuliza, inakuwaje nchi inayosemwa kwamba ni mhimili wa Ushetani duniani inagombaniwa na watu kwenda kuishi.

Huoni harakati za watu kwenda kwenye zile nchi zenye "Ustaarab" au za "wacha Mungu" kuliko harakati zinazofanywa na watu kwenda kuishi Marekani. Kwa nini watu wanang'ang'ania kwenda kwenye nchi inayoitwa ya kidhalimu?
Kwasababu mnakuwa huru kuwa machoko
 
Shetani siku zote ana vishawishi ndio maana alimjaribu Yesu kwa kumwahidi kumpa Mali na utukufu wa dunia
 
Lavrov kabadilishwa wizara lini? UN sio taasisi ya marekani so hapaswi kuwanyima watu visa kuhudhuria shughuli za UN kisa Hq iko kwake. Ni uhuni tu. Leo Italia hawezi kueleweka kama kwa siasa zakd za kishamba ataamua kuwanyima makadinali visa kuingia Vatican au Saudia awanyime visa mashehe wanaopaswa kuingia Macca. Tuwe rational tusiwe tunatetea vitu vya ajabu
Mkutano wa UN unaweza fanyika nchi yeyote ukipangwa., wewe fahamu alinyimwa visa akalalamika sana pia ufahamu tokea urusi ameekewa vikwazo hakuna kiongozi wa US wala Ulaya aliyeonyesha interest ya kuingia Russia sababu si nchi ambayo ulimwengu inaihitaji ndio maana Russia wanapapatua visa kuingia US.

Urusi wana umoja wao unaitwa BRICS kwanini hawafanyi vikao vyao huko Brazil, India na South Africa nchi yenye mgao wa umeme wanangangania Visa za kuingia US??
 
Back
Top Bottom