Sio tena ukipigwa shavu la kulia mgeuzie na la kushoto?Ninakumbuka yule aliykanyaga quruan Kilosa alishughulikiwa haraka sana. Ila kubomolewa kwa kanisa si tatizo.
Makanisa yanapiga kelele ila yale mavipasa sauti ya msikitini siyo tatizo.
Iko siku kisasi kitalipwa.