Kama misikiti inaweza kujengwa mitaani kwa uhuru, kwanini kujengwa kwa makanisa kuwe kero Zanzibar?

Kama misikiti inaweza kujengwa mitaani kwa uhuru, kwanini kujengwa kwa makanisa kuwe kero Zanzibar?

Ninakumbuka yule aliykanyaga quruan Kilosa alishughulikiwa haraka sana. Ila kubomolewa kwa kanisa si tatizo.

Makanisa yanapiga kelele ila yale mavipasa sauti ya msikitini siyo tatizo.

Iko siku kisasi kitalipwa.
Sio tena ukipigwa shavu la kulia mgeuzie na la kushoto?
 
Hoja kwamba makanisa yasijengwe kwenye makazi ya watu haina mashiko maana waumini ni watu na sio rahisi kupeleka huduma mahali ambapo hakuna watu.

Wakijenga maporini huko kuna wanyama na sio watu.
RC mara nyingi wanajenga maporini. Mfano Machui, Tomondo na hata Jumbi at that time.
 
Ukiishi Roma,
behave Kama waroma.

Uhuru kwa mgeni ni ruksa,
Ila Uhuru wako unapohatarisha usalama wa Mila,desturi,utamaduni na ustaarabu wa wenyeji husika unakua HAUFAI.

Zanzibar haijawai kua ya makanisa.
Mtoa mada huna hoja Hapa.

Nb: Mimi Ni mkristo na mtanzania bara[emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
Shida ya hawa ndugu zetu wakiwa ugenini wanataka kushurutisha kilazima wenyeji waifate Imani yao, kwao hawataki mtu aje na Imani yake .. Sasa hapa nimeamini kwanini Myanmar wale mabudha waliamua kuwafurumusha.
 
Nishasema tangu mwanzo,
Uhuru wako wa kuabudu hautakiwi kua KERO kwa wenzio.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo kero mbona hamkuilalamikia miaka yote 600 iliyopita kabla ya kuja dini yenu hiyo?

Afu mungu gani anaruhusu mpigane ilihali mwenyewe kakaa pembeni tu anashuhudia gemu?

Huwa mnapeleka wapi ubongo kufikiri nnje ya boksi badala ya kutumia maamuzi ya kipumbavu namna hiyo?

Kwanini Wakristo hawatumiagi mabavu kupambana na asiyeupenda ukristo, unadhani hawana hayo mabavu?

Kule Afrika ya kati kilitokea nini?

Hinduism, Buddhism, Paganism, Christianity na ninyi Muslims yani kila dini iishi kwa upumbavu kama huo wa huko Zanzibar, dunia itakalika hii?
 
Wewe upo dunia gani sheikh ? Wazinzibar wakristo mbona wapo wengi tu
Siyo Zanzibar tu, hata pale Indonesia ambapo ndipo kuna waislamu wengi sana kama ilivyo Vatican City Italy walipo wakristo wengi sana duniani lakini kuna waislamu, pia wapo Wakristo vile vile Indonesia.

Ni baadhi ya waislamu tu kutojitambua na kuwa na upumbavu mwingi vichwani mwao.
 
Nimeshuhudia taarifa na video mtandaoni ikionyesha kanisa dogo la TAG maeneo ya Zanzibar likivunjwa na greda kwa amri ya wakuu fulani wa serikali wa Zanzibar.

Sababu za kimsingi za hayo kutokea ni kukosekana kwa uvumilivu wa kidini kwa baadhi ya wakazi wa Zanzibar dhidi ya imani zingine, jambo ambalo linalindwa na watawala wa Zanzibar kwa miongo yote. Japokuwa wakuu wa serikali huko Zanzibar wamekuja na sababu nyingine duni na kijinga (wanadai wamevunja kanisa hilo kwa sababu za taarifa za kitisho cha hali ya hewa kuhusu mvua inayoweza kuleta mafuriko maeneo hayo!)

Tunapaswa kutambua haya.
1. Karibu mitaa yote ya Zanzibar kuna misikiti mikubwa au midogo.

2. Karibu misikiti yote ya Zanzibar ina vipaza sauti (horn speaker) zinazopiga adhana kila siku kutwa mara tano.

3. Karibu misikiti yote ya Zanzibar imejengwa kwenye makazi ya watu au jirani kabisa na makazi ya watu.

4. Mpaka sasa Zanzibar haina maeneo rasmi ya wazi yaliyotengwa mahususi kujenga nyumba za Ibada tu na kujulikana kwa watu wote.

5. Serikali ya Zanzibar na serikali ya Tanzania kikatiba zote hazina dini na hazipaswi kufuata mlengo wa imani yoyote ya kidini zaidi ya kuheshimu na kulinda uhuru wa imani zote.

MAMBO MUHIMU YA KUTAFAKARI
-Kwanini kuwe na shida kila mara dhidi ya taasisi za kikristo zinapotaka kujenga makanisa, kuabudu kwa uhuru au kueneza imani yao maeneo ya Zanzibar?

-Kwanini Serikali ya mapinduzi Zanzibar na serikali ya muungano zinashindwa kulinda uhuru wa kuabudu kwa wakristo waliopo Zanzibar?

-Kwanini jamii za imani ya kikristo zionekane kama ni wavamizi, wapitaji na wageni waliokosa mwenyeji kila mara huko Zanzibar?

TAFAKARI
Wazanzibari wamechanganikiwa, utakuta mtu mweusi kama Msudani wa Kusini lakini anajiita ama kujifananisha na mwarabu. Very stupid people.
 
Nimeshuhudia taarifa na video mtandaoni ikionyesha kanisa dogo la TAG maeneo ya Zanzibar likivunjwa na greda kwa amri ya wakuu fulani wa serikali wa Zanzibar.

Sababu za kimsingi za hayo kutokea ni kukosekana kwa uvumilivu wa kidini kwa baadhi ya wakazi wa Zanzibar dhidi ya imani zingine, jambo ambalo linalindwa na watawala wa Zanzibar kwa miongo yote. Japokuwa wakuu wa serikali huko Zanzibar wamekuja na sababu nyingine duni na kijinga (wanadai wamevunja kanisa hilo kwa sababu za taarifa za kitisho cha hali ya hewa kuhusu mvua inayoweza kuleta mafuriko maeneo hayo!)

Tunapaswa kutambua haya.
1. Karibu mitaa yote ya Zanzibar kuna misikiti mikubwa au midogo.

2. Karibu misikiti yote ya Zanzibar ina vipaza sauti (horn speaker) zinazopiga adhana kila siku kutwa mara tano.

3. Karibu misikiti yote ya Zanzibar imejengwa kwenye makazi ya watu au jirani kabisa na makazi ya watu.

4. Mpaka sasa Zanzibar haina maeneo rasmi ya wazi yaliyotengwa mahususi kujenga nyumba za Ibada tu na kujulikana kwa watu wote.

5. Serikali ya Zanzibar na serikali ya Tanzania kikatiba zote hazina dini na hazipaswi kufuata mlengo wa imani yoyote ya kidini zaidi ya kuheshimu na kulinda uhuru wa imani zote.

MAMBO MUHIMU YA KUTAFAKARI
-Kwanini kuwe na shida kila mara dhidi ya taasisi za kikristo zinapotaka kujenga makanisa, kuabudu kwa uhuru au kueneza imani yao maeneo ya Zanzibar?

-Kwanini Serikali ya mapinduzi Zanzibar na serikali ya muungano zinashindwa kulinda uhuru wa kuabudu kwa wakristo waliopo Zanzibar?

-Kwanini jamii za imani ya kikristo zionekane kama ni wavamizi, wapitaji na wageni waliokosa mwenyeji kila mara huko Zanzibar?

TAFAKARI
Jamaa kaonyesha mikataba ya kununua ardhi/banda lakini haoneshi kibali cha ujenzi alichopewa na serikali
 
Tatizo la waislamu majini yao hayapatani na jina la Yesu Kristo. Likitajwa wanaungua moto. Na ukumbuke waislamu wengi wanaishi na majini na wengi ndiyo chanzo cha vipato.
Heheee! Kerubi moja la zumaridi hili huku
 
Mkuu sio kujenga makanisa tu hata mtanganyika kununua na kumiliki kipande cha ardhi huko visiwani ni ndoto ya alinacha tena ukiwa mgalatia ndio usahau kabisa
Sasa huyu aliyevunjiwa kanisa mbona ni wa bara na ni mkristo?
 
Hapo ndio kutakua na shida zaidi na hujafikiria sawasawa
Una maana sehemu ambazo huku bara Kuna wakristo wengi mtaani , hakupaswi kujengwa msikiti?
Ndio wanachokofanya huko moshi, kuna sehemu ukitaka kujenga msikiti wakikubaini tu biashara imeishia hapo
 
Hatuogopi competition ya imani, hatutaki kupotoshwa na hatutaki kupoteshewa watoto wetu. Ikiwa unasema kuwa tunaogopa kupotoshwa, then yes sawa na wala hatuoni aibu kwa hilo tunaogopa kupoteshewa familia zetu, tunaogopa adhabu ya Mola wetu siku tukirudi kwake.
Wale watoto wanaotolewa matunda mdrasa kila kukicha ndio unaogopa watapotoshwa?
 
Nimeshuhudia taarifa na video mtandaoni ikionyesha kanisa dogo la TAG maeneo ya Zanzibar likivunjwa na greda kwa amri ya wakuu fulani wa serikali wa Zanziba...
kuna mwenzako kaja na thread kma hii hlf akaleta updates kua Uyo alouziwa kiwanja kwenye makubaliano walisema ni kiwanja cha makazi yy akajenga kanisa wakamwambia kuhusu makubaliano akakataa na kma huyajui makanisa ya TAG ulizia vzr jinsi yanavopiga zogo usiku na mchana

Sasa usielemee upande mmoja tafuta ukweli na uhakika kwanza usijepotosha wengi kwa chuki zako na serikali.

Nawasilisha
 
Karume alifanya kosa kubwa sana kukubali huu Muungano, tamaduni za Zanzibar ziko tofauti kabisa na Tanganyika. Yeye kukubali Muungano ni sawa na kukubali kumezwa na watanganyika kiimani, kiutamaduni na kimila kwa sababu Watanganyika wapo wengi sana wakivamia Zanzibar ni rahisi sana kueneza utamaduni wao.

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Mungu gani asiyejipigania mwenyewe hadi mumpiganie ninyi wenyewe?

Inamaana Mungu wenu hajiwezi kiasi ninyi mliyeumbwa naye mnamzidi nguvu hadi mtumie sheria mikononi kumshindia swala dogo kama hilo?

Duniani ukikosa hekima (uwezo wa kupambanua jambo kwa kina zaidi) ni hasara kubwa sana kimaisha.
Uyo Mungu wenu alouliwa mbona hakuweza kujiokoa akaomba msaada kwa Mungu wake yni bora ninyamaze
 
Back
Top Bottom